Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Nini babu?Mungu wangu! Khaaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini babu?Mungu wangu! Khaaa!
😂😂😂😂....mi napiga wanaume...onhoo! But asante kwa kujali💋Mwamba hongera Sana Kwa kupata mke Jf na mtoto pia
Na Leo ndio nimesoma Uzi wako wa kutafuta mke, Mashallah nimependa maelezo yako juu ya kesho yako na kutambua duniani hapa tunapita Tu
Mungu awajalie mwisho mwema wewe na mkeo na kubwa zaidi mdumu katika ibada
Haya mambo ya mitandaoni yanawezekana Sana tatizo watu wanachukulia poa Tu.
Ngoja nimtafute kipenz changu To yeye pm akikubali kubadilisha Dini tunayajenga 🤣🤣
Messi litolewe tafadhaliHongera mkuu,
Napendekeza
Mtoto aitwe Messi au Argentina.
Namkubali andunje, ila siwezi kumpa jina hilo, ningekuwa mkristu badi angepata jina la thierry Henry kichogo. 😂Hongera mkuu,
Napendekeza
Mtoto aitwe Messi au Argentina.
Amin inshaallah kaka.Kongole kwako na hongera kwa mkeo.
Allah awajaalie kila la heri.
Mchezaji aliyeukamata moyo wangu haswaa ni thierry Henry kichogo, ila mimi ndio muislam, kisha Zidane, kisha clatous chama, halafu wa mwisho ni mimo baba yake 😂 🤣Hongera mkuu kwa hyo leo haupo kwenye Uzi wetu wa FIFA
Bas mtot mpe jina la mchezaji aliyekukosha [emoji41]
Ahsante mkuuWow hongera sana mkuu, wasalimu mama na mtoto😘 kumbe inawezekana kabisa humu.
Saaana 😂🤣Amakweli wanawake tuko na huruma sana🤣🤣
Shukrani mkuu
Ahsante ndugu yangu.Hongera sana Kaveli, hivi mpaka ndugu yangu anapata mke, mimi sijui kabisa, uzi huo wa kumtafuta na kumpata ndio nimeupitia saa hii...
Kila lenye heri ndugu, na hongera tena kwa kupata mtoto.
Ahsante ndugu yangu.Hongera sana Kaveli, hivi mpaka ndugu yangu anapata mke, mimi sijui kabisa, uzi huo wa kumtafuta na kumpata ndio nimeupitia saa hii...
Kila lenye heri ndugu, na hongera tena kwa kupata mtoto.
Aahh.. Mtoto atakuwa na majigambo, atafanya mungu aone mie ni trilionea naweza kuwakopesha kina bakhresa, akaninyima mi hela wakati mie ni lakionea a.k.a mgagaa na upwa hali wali mkavu 🤣Au KIDUKULILO
Nawe umlee tu kijana, 😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwenyewe nalelewa sa' Itakuwaje?
Shukrani kaka.Mwamba hongera Sana Kwa kupata mke Jf na mtoto pia
Na Leo ndio nimesoma Uzi wako wa kutafuta mke, Mashallah nimependa maelezo yako juu ya kesho yako na kutambua duniani hapa tunapita Tu
Mungu awajalie mwisho mwema wewe na mkeo na kubwa zaidi mdumu katika ibada
Haya mambo ya mitandaoni yanawezekana Sana tatizo watu wanachukulia poa Tu.
Ngoja nimtafute kipenz changu To yeye pm akikubali kubadilisha Dini tunayajenga 🤣🤣
Ni mchepuko wako, anasema we una magoma mengi umemshinda tabia 😂Umemuoa mwanaJF gani? Isije ukawa umeoa michepuko wangu...
Hongera na Kila la kheri mkuu ndugu yangu