Ndoa yangu ya JF imenipatia mtoto

Ndoa yangu ya JF imenipatia mtoto

Bahati mb

Bahati mbaya shemeji yako hana ID humu yeye ni mpita njia tu.
Siku akijisajili nitakupa ID yake.
Nimepitia bandiko lako, ambalo uliweka kwa ajili ya kupata mwenza, uandishi wako ulikuwa safi sana..

mzabzab mwanawane fanya ukopi desa la mwana utundike tena danya ku edit vitu kadhaaa.. Lazima upate..
C.c mjumbe Mzee wa kupambania

Tuchukueni huu udesa 😅😅

Natafuta mke
 
Nimepitia bandiko lako, ambalo uliweka kwa ajiri ya kupata mwenza, uandishi wako ulikuwa safi sana..

mzabzab mwanawane fanya ukopi desa la mwana utundike tena danya ku edit vitu kadhaaa.. Lazima upate..
C.c mjumbe Mzee wa kupambania

Tuchukueni huu udesa 😅😅

Natafuta mke
Aaah wewe hata usihangaike. Subiri subiri ufikishe 46 ndio uoe. Kwasasa utamtesa tu mtoto wa watu.
 
Back
Top Bottom