Gemini Are Forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 1,508
- 2,619
Hongera mkuu,
Weka ID ya shemeji tumtumie vijizawadi PM
Weka ID ya shemeji tumtumie vijizawadi PM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zimefika hizoHongera sana,mpe hi mwanetu wanajf
Bahati mbaya shemeji yako hana ID humu yeye ni mpita njia tu.Hongera mkuu,
weka ID ya shemeji tumtumie vijizawadi PM
Ahsante saana ndugu mjumbe.Hongera sana Makaveli..
Ahsante mkuuCongratulations mkuu
Nimepitia bandiko lako, ambalo uliweka kwa ajili ya kupata mwenza, uandishi wako ulikuwa safi sana..Bahati mb
Bahati mbaya shemeji yako hana ID humu yeye ni mpita njia tu.
Siku akijisajili nitakupa ID yake.
Tatizo la mzabzab anataka kuchovya na kukimbia, mwanangu ni mende hatari 😂🤣Nimepia bandiko lako, ambalo uliweka kwa ajiri ya kupata mwenza, uandishi wako ulikuwa safi sana..
mzabzab mwanawane fanya ukopi desa la mwana utundike tena danya ku edit vitu kadhaaa.. Lazima upate..
C.c mjumbe Mzee wa kupambania
Tuchukueni huu udesa 😅😅
Natafuta mke
Aaah wewe hata usihangaike. Subiri subiri ufikishe 46 ndio uoe. Kwasasa utamtesa tu mtoto wa watu.Nimepitia bandiko lako, ambalo uliweka kwa ajiri ya kupata mwenza, uandishi wako ulikuwa safi sana..
mzabzab mwanawane fanya ukopi desa la mwana utundike tena danya ku edit vitu kadhaaa.. Lazima upate..
C.c mjumbe Mzee wa kupambania
Tuchukueni huu udesa 😅😅
Natafuta mke
Ahsante sana mzee mwenzanguHongera sana mzee mwenzangu.
Shukrani kakaHongera sana mkuu mlee mwanao uhakikishe anasongesha kizazi chako
Ni ajabu fulani hivi eeh!! 😂Aisee kumbe na huyu mwamba alipata mke humu humu jf!
kweli Jf ni kisima cha mafanikio😂
Hongera kaka.
Ni ajabu fulani hivi eeh!!Aisee kumbe na huyu mwamba alipata mke humu humu jf!
kweli Jf ni kisima cha mafanikio😂
Hongera kaka.
Ajabu?Ni jambo jema kupata Mke. Tena ni jambo jema zaidi kupata na mtoto pia. Hongereni sana.
By the way, Mke kutoka JF siyo mchezo, mmmh!!!
Akamsikilize mandonga alivyokuwa anameambia shaban kaoneka, adiingie kwenye ngumi kwa kupampiwa au kugeza 🤣Aaah wewe hata usihangaike. Subiri subiri ufikishe 46 ndio uoe. Kwasasa utamtesa tu mtoto wa watu.