Ndoa za kikristo hazifati maandiko ya kwenye biblia, zinafata sheria za viongozi wa makanisa

Musa alipooa mke zaidi ya moja alikuwa na ;engo la kuzaa kama Panya ??
wewe zaa tu
wakristo wanafuata injili
agano la kale ni kwa ajili ya visa vya zamani
ndio maana tukafundishwa jinsi ya kusali na amri kuu ni upendo
 
ukweli mchungu
 
mbona hujamalizia mstari vizuri, malizia na watakua "mwili moja"

Mwanaume ni mwili moja na kila mwanamke ataekutana nae kimwili, iwe ni kwenye ndoa yenye baraka zake Mungu ama Nje ya ndoa akiwa na malaya, Kwa hio pale mwanaume anapokuwa mwili moja na mke wake bado haiondoi kwake kuwa mwili moja na wake wengine. hata sisi wanadamu tupo zaidi ya bilioni lakini Mungu yupo moja ila kila anaeungana roho yake Mungu hutengeneza roho moja, Ndivyo ilivyo hivi kwa wanawake wengi wakiolewa na mwanaume moja kila moja wao huwa ni mwili moja na mme moja.

Siongei maneno matupu bila maandiko ya biblia 1-wakorintho 6:16

Au hamjui ya kuwa hata yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, Wale wawili watakuwa mwili mmoja, Lakini yeye aliyeungwa na Bwana ni roho moja naye.
 
Sikuona haja ya kuandika kwa kurefu, by the way mkuu sijaelewa point yako hapa. Unamaamisha ndoa za kikristo hazifuati maandiko? Personalky nadhani ndoa zinafungwa kwa kufuata maandiko lakini wanandoa wanashindwa kutimiza maagizo yaliyotolewa kwenye maandiko ikiwa ni pamoja na kubunja viapo vya ndoa, kushindwa kutimiza majukumu ya ndoa, nk.
 
wewe zaa tu
wakristo wanafuata injili
agano la kale ni kwa ajili ya visa vya zamani
ndio maana tukafundishwa jinsi ya kusali na amri kuu ni upendo
Agano jipya halijazungumzia chochote kuhusu kukataza kuoa mke moja, uje na ushahidi
 
Umeulizwa Mussa alikia Malaya?
Mimi mambo ya kabla Yesu kuja kutuokoa huwa
Si ukaoe serikalini na kwenye cheti kuna option ya ndoa ya wake wengi.
 
Yes!! Ndoa za kikristo haifati maandiko kikamilifu, rudia kusoma uzi nimeshaelezea

Tukianza na viapo tu hapo, Hivi viapo kumbuka vilitungwa na viongozi wa makanisa na wala havipo sehemu yoyote kwenye biblia,,,
 
Mimi mambo ya kabla Yesu kuja kutuokoa huwa

Si ukaoe serikalini na kwenye cheti kuna option ya ndoa ya wake wengi.
Nimekuuliza swali huko nyuma kuhusu kauli yako kwamba mwanaume kuoa wake wengi ni umalaya,

Nakuuliza upya tena, Kina Musa walikuwa malaya ??
 
Yes!! Ndoa za kikristo haifati maandiko kikamilifu, rudia kusoma uzi nimeshaelezea

Tukianza na viapo tu hapo, Hivi viapo kumbuka vilitungwa na viongozi wa makanisa na wala havipo sehemu yoyote kwenye biblia,,,
Kwani ulitaka viapo vya ndoa vitungwe na nani mkuu? Au Yesu ashuke atunge? Hata Biblia imeandikwa na wanaadamu, Mungu ametupa utashi wa kujiongoza au kutengeneza miongozo ndio maana hata nchi inakua na viongozi, sheria za nchi zinatungwa na wanaadamu na hii yote ni utashi ambao mwanadamu amepatiwa na Mungu.
 
Mathayo 19:8-10
Yesu akajibu, “Musa aliwaruhusu kuwataliki wake zenu kwa sababu mlikataa kupokea mafundisho ya Mungu. Lakini talaka haikuruhusiwa hapo mwanzo. 9 Ninawaambia kuwa, kila anayemtaliki mke wake, isipokuwa kutokana na uzinzi, na akamwoa mwanamke mwingine, anazini.”

Acha uzwazwa kuwa unasoma biblia
 
Nimekuuliza swali huko nyuma kuhusu kauli yako kwamba mwanaume kuoa wake wengi ni umalaya,

Nakuuliza upya tena, Kina Musa walikuwa malaya ??
Mathayo 19:8-10

Yesu akajibu, “Musa aliwaruhusu kuwataliki wake zenu kwa sababu mlikataa kupokea mafundisho ya Mungu. Lakini talaka haikuruhusiwa hapo mwanzo. 9 Ninawaambia kuwa, kila anayemtaliki mke wake, isipokuwa kutokana na uzinzi, na akamwoa mwanamke mwingine, anazini.”
 
Ndiyo alikuwa malaya.
Mathayo 19:8-10
Yesu akajibu, “Musa aliwaruhusu kuwataliki wake zenu kwa sababu mlikataa kupokea mafundisho ya Mungu. Lakini talaka haikuruhusiwa hapo mwanzo. 9 Ninawaambia kuwa, kila anayemtaliki mke wake, isipokuwa kutokana na uzinzi, na akamwoa mwanamke mwingine, anazini.”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…