Ndoa za siku hizi ni majanga

Ndoa za siku hizi ni majanga

Mbona mnajiuliza maswali mengi wakati jibu ni rahisi tu?
Ndoa inahitaji “kujitoa” ili umpende mtu kwa mapungufu yake, sio kwa ukamilifu wake. Ili mradi tu mapungufu hayo isiwe ni zinaa au uasherati. Maana haya hata Biblia (kwa wanaoamini imani ya Kikrito) imerudu ndoa ivunjike. Hii ni kuthibitisha yote yanavumilika na kusameheka ila hilo unaruhusiwa kutosamehe na kuvunja ndoa.

Mtu ukiweza kumpenda mkeo au mumeo kupitia udhaifu wake unaouona, na ikawa hivyo kwa pande zote mbili, amini kuwa mtaishi muda mrefu pamoja.
Bila kusahau ushirikina na uchawi,ndg ni hatari nimemwacha mke nimezaa nae watoto 6 ni mshirikina na mchawi hata shetani hamfikii,nimekula malimbwata ya kila namna ila mungu ni mkubwa mwisho wa siku nikagundua na kumuacha kwa talaka3 ila moto wake si wa nchi hii.
 
Bado tu mnaoa mi nafikiri kuishi na mwanamke ni vizuri kuliko kufunga pingu za kinafiki
 
Km wewe ni mwanamke usijaribu kusema maneno haya kwake, ni dalili ya kiburi, jeuri & likes dhidi ya mwanaume....

Sisi wanaume ni natural hunters, simu zetu zina siri nyingi ambazo mwanamke anayeyapenda mahusiano yake anatakiwa kukaa mbali nayo.,

Hakuna mwanaume kamili, mwenye uchumi imara, afya nzuri asiyechepuka...hajazaliwa bado.
Mmh
 
Habari zenu wana jf?

Ndoa za sisi vijana wa siku hizi tatizo nini? Embu twende moja kwa moja kwenye mada.

Nina rafiki yangu sana tumekuwa kama ndugu, amefunga ndoa na mchumba wake wa muda kidogo (BONGE MOJA LA HARUSI)

Kiufupi kwao pesa zipo na kwa binti pia zipo, ndugu jamaa na marafiki wamechanga sana michango, harusi yake ilikuwa na bajeti ya 27 ml. Harusi ilifanyika diamond Jubilee hall

Baada ya harusi wakapaa zao uk kwenda kunyanduana huko, kinachonisikitisa ndoa yao ina miezi miwili tu na hakuna ndoa tena.

Wote ni wakristo, Roman Catholic mpaka sasa ivi hatujajua tatizo ni nini? Kipindi cha uchumba wao walikuwa vizuri sana.

Vijana wenzangu tatizo nini? Mbona siku hizi tunaacha kirahisi sana? Nilicho kigundua siku hizi kumekuwa na ndoa za show off, utayari wa kuishi kwenye ndoa hatuna.

Watu tunajitutimua kuwachangia alafu mnaishia njiani?
Aliambiwa bikra huyo mwishowe kakuta shimo
 
Mi naishi na mwanamke na nimezaa nae toto mbili!Lakini sina mpango wa kufunga ndoa!!Nimegundua hizi sherehe zinazoitwa ndoa ni Laana za kipagani na kishetani ndio maana baada ya kufunga tu raha na matarajio hutoweka ghafla!!!Asili ya sherehe hizi ni kuzimu na shetani mwenyewe!!NI KARAMU ZA KUZIMU HIZI ZIMEPAKWA MAFUTA KWA IBADA ZA KANISANI!!YESU ALISEMA TUTAJUA KWA MATUNDA YAKE!!KAMA MATUNDA NI MABAYA HATA NDOA NI MTI MBAYA!!!!nashauri ishi tu na mwenzi wako bila kufunga ndoa!mtaishi vizuri sana!!mkifunga tu mmekwisha!!!
 
Back
Top Bottom