Ndoa za siku hizi ni majanga

Bila kusahau ushirikina na uchawi,ndg ni hatari nimemwacha mke nimezaa nae watoto 6 ni mshirikina na mchawi hata shetani hamfikii,nimekula malimbwata ya kila namna ila mungu ni mkubwa mwisho wa siku nikagundua na kumuacha kwa talaka3 ila moto wake si wa nchi hii.
 
Bado tu mnaoa mi nafikiri kuishi na mwanamke ni vizuri kuliko kufunga pingu za kinafiki
 
Mmh
 
Aliambiwa bikra huyo mwishowe kakuta shimo
 
Mi naishi na mwanamke na nimezaa nae toto mbili!Lakini sina mpango wa kufunga ndoa!!Nimegundua hizi sherehe zinazoitwa ndoa ni Laana za kipagani na kishetani ndio maana baada ya kufunga tu raha na matarajio hutoweka ghafla!!!Asili ya sherehe hizi ni kuzimu na shetani mwenyewe!!NI KARAMU ZA KUZIMU HIZI ZIMEPAKWA MAFUTA KWA IBADA ZA KANISANI!!YESU ALISEMA TUTAJUA KWA MATUNDA YAKE!!KAMA MATUNDA NI MABAYA HATA NDOA NI MTI MBAYA!!!!nashauri ishi tu na mwenzi wako bila kufunga ndoa!mtaishi vizuri sana!!mkifunga tu mmekwisha!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…