'Ndoa' za Wanachuo hosteli 'bubu'

Mtu anamaliza chuo kikuu ikiangalia mwandiko wake tu unashangaa, muulize basi yanayohusu jiografia ya nchi au ya dunia hajui chochote.
 
Kumbe unapiga pisa ngoja tuanze na wewe maana kuwauzia ni kama kuwahamasiaha.
 
Sindano moja kwamwezi 3 mdundo mdondoni habari yakubeba vikoba Zama zinabadilika vikoba kukosa soko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila huyu mtoa mada n muongo, hao wanachuo hawaja athirika kihivyo, mweeeeh
 
Kuna mmoja aliniomba kazi nikamwambia awashe PC afungue microsoft excel anifanyie hesabu ya 25+60 ni ngapi

Hakujua lolote

Nikampa nauli nikamwambia nitakucheck mambo ikikaa sawa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
majuto n mjukuuu, waache wavunje vunje mifupa hakuna namna..........
 
Kama lemutuz vile [emoji2]
 
Hata kama hajasomea mambo ya IT mtu yeyote anayejiita msomi anatakiwa ajue

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Napinga, si lazima. Inaweza kuwa lazima kujua basic things tu kama typing, printing n.k. sio kutumia excel, haina ulazima. Hiyo excel ni part ya word, ni kama PowerPoint tu, kuna kozi sio lazima ufahamu kutumia excel.
 
Napinga, si lazima. Inaweza kuwa lazima kujua basic things tu kama typing, printing n.k. sio kutumia excel, haina ulazima. Hiyo excel ni part ya word, ni kama PowerPoint tu, kuna kozi sio lazima ufahamu kutumia excel.
Hivyo eeh? Mimi nakumbuka nilisomaga course ya computer kwa mwezi mmoja tu na vyote hivyo tulifundishwa kwa hiyo nikajua ni moja ya vitu basic kwenye computer ingawa mimi mwenyewe nimesahau[emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli, ila wewe ulifundishwa kwa faida yako ya baadaye, si kila field excel ni applicable at large.
 
Bila shaka hujafika chuo

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Bila shaka hujafika chuo

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Lofa na mpumbavu wewe, nimefika chuo wakati wewe bado unatoa kamasi lakini uchafu wa siku za mwisho na wendawazimu wa kizazi cha wapumbavu kama wewe unatia kinyaa mpaka akili zenu inaonyesha ni mbovu,
Kwani enzi gani uliwahi ona watoto wakiume wa chuo wakiposti video yao wakisodomiana halafu mpumbavu wewe unatuambia sisi huku tuwasubiri eti mmalize chuo muwe wataalamu kwenye jamii, rubbish, robots zinawazidi akili, you are outwitted by robotts, nincompoops!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…