'Ndoa' za Wanachuo hosteli 'bubu'

'Ndoa' za Wanachuo hosteli 'bubu'

Vyuo vishakua useless Tanzania

Kama una vijihela vyako ukajibana komaa mtoto mpeleke hata USA au Canada akakimbizane na competition huko zinazochukua watoto worldwide

Goddamn hata Kenya tu hapo si mbaya maana wapo namba 6 kwa Africa,au hata Africa Kusini

Western countries kuna real competition,ethics za kazi,za kujifunza,real timetable,unakutana na best of the best,unajitahidi kupambana,na pia wanadamu wanaheshimiana maana lawsuits ni nje nje...ubaguzi upo ila usiwe mtu sensitive sana,na ni katatiza kadogo compared na upumbavu mitoto inafanya huko changanyikeni inatoka hata haijui kuandika official email na presentantion

Tanzania kielimu tupo mavini kule kabisa..hata Uganda na Kenya hatuwawezi..what a Shame!
Mtu anamaliza chuo kikuu ikiangalia mwandiko wake tu unashangaa, muulize basi yanayohusu jiografia ya nchi au ya dunia hajui chochote.
 
Sindano moja kwamwezi 3 mdundo mdondoni habari yakubeba vikoba Zama zinabadilika vikoba kukosa soko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila huyu mtoa mada n muongo, hao wanachuo hawaja athirika kihivyo, mweeeeh
 
Kuna mmoja aliniomba kazi nikamwambia awashe PC afungue microsoft excel anifanyie hesabu ya 25+60 ni ngapi

Hakujua lolote

Nikampa nauli nikamwambia nitakucheck mambo ikikaa sawa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wala haina shida

Waliwe wasiliwe wala sina tatizo

Mimi nina tatizo na mtoto hana real skills na ethics za kazi mpaka kazi zifanikiwe

Ukitaka kujua watu wanafanyakazi seriously na hawana utani njoo nchi za West uone

Sasa ukimleta mtoto huku chuoni mwaka wa kwanza labda ana 16 au 17 1u 18 years old akae na hizi human competition huku a-survive mpaka anamaliza Masters 6 or 7 years later,then ataondoka na culture ya msingi sana ya kujituma hapa duniani

Eti mtu ameishi the most competitive place on earth kama New York City downtown,halafu eti aje Dar es Salaam ataona hii lightweight kabisa
Kama lemutuz vile [emoji2]
 
Hata kama hajasomea mambo ya IT mtu yeyote anayejiita msomi anatakiwa ajue

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Napinga, si lazima. Inaweza kuwa lazima kujua basic things tu kama typing, printing n.k. sio kutumia excel, haina ulazima. Hiyo excel ni part ya word, ni kama PowerPoint tu, kuna kozi sio lazima ufahamu kutumia excel.
 
Napinga, si lazima. Inaweza kuwa lazima kujua basic things tu kama typing, printing n.k. sio kutumia excel, haina ulazima. Hiyo excel ni part ya word, ni kama PowerPoint tu, kuna kozi sio lazima ufahamu kutumia excel.
Hivyo eeh? Mimi nakumbuka nilisomaga course ya computer kwa mwezi mmoja tu na vyote hivyo tulifundishwa kwa hiyo nikajua ni moja ya vitu basic kwenye computer ingawa mimi mwenyewe nimesahau[emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hivyo eeh? Mimi nakumbuka nilisomaga course ya computer kwa mwezi mmoja tu na vyote hivyo tulifundishwa kwa hiyo nikajua ni moja ya vitu basic kwenye computer ingawa mimi mwenyewe nimesahau[emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ni kweli, ila wewe ulifundishwa kwa faida yako ya baadaye, si kila field excel ni applicable at large.
 
Inakuja dawa yao, wataalamu wameshajua kuwa vitu walivyoleta kama FACEBOOK, INSTA, MA MOVIE PLATFORMS MBALIMBALI, NA VITU PHYSICAL VYA ANASA , wameshamaliza hiki kizazi, hakuna watu tena , wanaleta mbadala sasa hivi unaitwa ARTIFICIAL INTELLIGENCY (A. I). Unaambiwa sasa hivi wanakaribia kupata roboti zinazomzidi akili na uelewa mwanadamu, na wameshaorodhesha kazi zaidi ya 30 ambazo binadamu hatahitajika tena.
Kumbuka roboti hazichoki, haziombi ruhusa, hazidai mshahara, haziongei wala stori kazini n.k wala hazingonoki ofisini.

Kwa hayo mazezeta ya chuo yanajidanganya tu, hayana lolote , ulimwengu unaokuja muda si mrefu kutokana na mambo kama ya korona haya, mataahira hayo hayana chao. Roboti havai barakoa wala haambukizwi.
Bila shaka hujafika chuo

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Bila shaka hujafika chuo

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Lofa na mpumbavu wewe, nimefika chuo wakati wewe bado unatoa kamasi lakini uchafu wa siku za mwisho na wendawazimu wa kizazi cha wapumbavu kama wewe unatia kinyaa mpaka akili zenu inaonyesha ni mbovu,
Kwani enzi gani uliwahi ona watoto wakiume wa chuo wakiposti video yao wakisodomiana halafu mpumbavu wewe unatuambia sisi huku tuwasubiri eti mmalize chuo muwe wataalamu kwenye jamii, rubbish, robots zinawazidi akili, you are outwitted by robotts, nincompoops!
 
Back
Top Bottom