women empowerment ndo inawatetea na kutukandamiza sisi wanaume
Mkuu, kwa uzoefu wangu..."system" zote nzuri za usasa zinalenga kumkandamiza mwanaume. System inayokulazimsha utoe child maintenace kwa kila mtoto uliyemzaa bila kujali ex-wife wako anaishi na ka boyfriend tu tena jobless..., hili ni jaka moyo bana!
...swadaktaa neno juu ya msitari!
Hata hivyo, sheria ya ndoa ya Tanzania inatoa nafasi ya mzazi mwenye uwezo kuwachukua watoto endapo wamepita umri ambao ni lazima wake na mama tu (sina hakika ila nadhani ni hadi miaka 10)!!
Ila kama mke wangu kaolewa na mume mwingine siwezi kukubali aende na mtoto wangu hata kama ana mwezi 1!!
Bado upo upo?Bora mimi sina mume kha?
Bora mimi sina mume kha?
Hata hivyo, sheria ya ndoa ya Tanzania inatoa nafasi ya mzazi mwenye uwezo kuwachukua watoto endapo wamepita umri ambao ni lazima wake na mama tu (sina hakika ila nadhani ni hadi miaka 10)!!
Ila kama mke wangu kaolewa na mume mwingine siwezi kukubali aende na mtoto wangu hata kama ana mwezi 1!!
lol....nini tena?
sijakusoma kitambo, ati kwa mtazamo wako kwanini siku hizi ndoa hazidumu tofauti na awali?
....Temea mate chini DA...unakumbuka ile thread yako uliyokuwa umeudhiwa na mtu mzima!? ila usiwe na wasiwasi sitaifukunyua lol!
Bado upo upo?
nimejituma baada ya kuona jina lakoBAK, Excelent na Mbu mmetumwa? Acheni hizo bana
sio mpangoEeehe ndo maana yake
sio mpango
usihangaike hata kunikamata,mi kwako najikamataisha mwenyeweHalafu wewe nikikukamata?
usihangaike hata kunikamata,mi kwako najikamataisha mwenyewe
...maskini wee,...Mwenyezi Mungu akujaalie 2012 yenye heri na baraka zoite na wewe. Amen.
bado bado kulalaHa ha ha halafu wewe hulali?