Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
women empowerment ndo inawatetea na kutukandamiza sisi wanaume
Mkuu, kwa uzoefu wangu..."system" zote nzuri za usasa zinalenga kumkandamiza mwanaume. System inayokulazimsha utoe child maintenace kwa kila mtoto uliyemzaa bila kujali ex-wife wako anaishi na ka boyfriend tu tena jobless..., hili ni jaka moyo bana!
...swadaktaa neno juu ya msitari!