Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani Lizzy una Power banker,salio la kutosha hata kurudisha na kusema nipe nusu saa nasuka ya kuzuga si dharau hizo.Mimi kuna siku Baby mama alitoka na Dada zangu out nikamwambia saa fulani awe amerudi.Kwa kuwa alikuwa na sisters zangu wakamrudisha kachelewa kapoteza na funguo,kagonga sikufungua mlango wakarudi pamoja kwa sister na nikamchimba mkwara sister asilete ujinga kwenye mahusiano yangu.Jamani...hata wewe Blackcornshman ? 😆😆
Hivi nyie watu mbona mnataka kulazimisha watu wote wawe na akili za kufanana.sio kila mtu ana busara na sio kila mtu ni mvumilivu.Kuna kitu kinaitwa BUSARA kikikosekana ndio mambo kama haya yanatokea
Ndyo maana nikasema huyo mama atakuwa ni underground kwenye kuchepukaKweli anaweza kua nao ila jiulize hua anameletea dharau mke wake? Sisi wanaume hua swala la wewe kukogogwa halitusumbui kama halitakubadirisha tabia yako na kubakia myenyekevu kwa mume ila shida ni ile dharau ambayo hua tunahisi umeipata sababu ya kupelekewa moto uko nje ya ndoa ndo hua inaleta shida.
Hapo kweli alizingua maana hamna excuse anaweza kutoa akaeleweka.Yaani Lizzy una Power banker,salio la kutosha hata kurudisha na kusema nipe nusu saa nasuka ya kuzuga si dharau hizo.
Kibongo bongo mtu anaweza kupiga hata zikafika miss call milioni moja🤣. Trust me, sisi wabongo, ni wachache ambao akipiga simu moja usipopokea ataacha. Back kwa hao wanandoa: inaonyesha ndoa yao ina kutoaminiana, yaani mume anahisi mkewe anachepuka. Na ndoa ikishafika kwenye stage hii vi-ugomvi vidogo vidogo haviishi.Mara nyingi kumpigia mtu missed call zizidi 2 ni kumtafutia kosa, kwani huyo mke ni daktari kusema kuna emergency au dereva wa ambulance?
Btw, Unaishije na mke ambaye anaonesha dalili zote za kutokukuheshimu? Aisee mengine mnajitafutia, hata kama kids are involved ya’ll can do better.
Watu wasiokuwa na akili wanachosha hata kuwafikiria sembuse kuishi nae.
Ni ngumu sana mke achepuke na heshima kwa mumewe iendelee kuwepo. Kwanza kitendo cha kuchepuka kinaonyesha kuwa ameshakudharau. Angekuwa anakuheshimu hawezi.Kweli anaweza kua nao ila jiulize hua anameletea dharau mke wake? Sisi wanaume hua swala la wewe kukogogwa halitusumbui kama halitakubadirisha tabia yako na kubakia myenyekevu kwa mume ila shida ni ile dharau ambayo hua tunahisi umeipata sababu ya kupelekewa moto uko nje ya ndoa ndo hua inaleta shida.
Mkuu kwa hiyo ungechapiwa halafu tayari mna watoto ungeendelea naye?Mwisho kupiga simu Mara 2 tu,ukilazimisha kupiga cm mara kwa mara unalazimisha ubongo ujenge taswira tofauti
Wasirekodi kwanini??Mambo kama hayo sio ya kurecord watu hawana ustaarabu....
Makofi mawili ni ya kuagana.Ndiyo maana tunachepukaga,mchepuko call moja tu amejibu yaani baby una maisha marefu nilikuwa nawaza kukupigia nimekumiss na uwongo mwingi na tunafahamu tunaibiwa lakini kwa akili siyo dharau.Hapo kweli alizingua maana hamna excuse anaweza kutoa akaeleweka.
Lakini msitupige wala msitufukuze bana.😔
Kama hivi ehhhh.....😁😁Makofi mawili ni ya kuagana.Ndiyo maana tunachepukaga,mchepuko call moja tu amejibu yaani baby una maisha marefu nilikuwa nawaza kukupigia nimekumiss na uwongo mwingi na tunafahamu tunaibiwa lakini kwa akili siyo dharau.
Ni ngumu sana mke achepuke na heshima kwa mumewe iendelee kuwepo. Kwanza kitendo cha kuchepuka kinaonyesha kuwa ameshakudharau. Angekuwa anakuheshimu hawezi.
Habari wadau.
Video inatrend ya kaka mwenye gari aina ya IST namba T 290 CBR
Ambaye alisimamisha gari yake na kuanza kumkaba mkewe nusu kumuua huku akiongea maneno makali kwamba mkewe sio muaminifu
Tazameni video ya tukio
bomani sio ndoa?Wanaosema mwanaume ni mnyanyasaji labda wao hajaolewa au kuoa au kufunga ndoa au hawajui matunzo ya mke au watoto na uchungu mwanaume anaopitia kuhakikisha familia inakula, kuvaa, na kulala. Kwa mtu aliefunga ndoa kihalali (kanisani/msikitini, sio za bomani) na anawajibika ipasavyo kwa familia na alimuamini mke wake hawezi kuona km anachofanya huyu bwana ni ukatili.
Kwa hiyo huyo mwanamke kutopokea sm Mara 16 kutoka kwa mke wake wa ndoa ndo siyo ukatili. Au huo ukatili ni kwa mwanamke pekee. Tusiendekeze kulea upuuzi kwa kigezo Cha ukatili. Huyo alitakiwa anyooshwe maana itakuwa hakukunjwa na wazazi.
Serious kweli missed call 16 with no response, MKE wa mtu tena usiku then unamtetea eti ananyanyaswa bora waachane. Hapo inatakiwa wanaachana lakini akiwa amebaki na utabulisho wa milele kwa ujinga aloufanya.
unawajua wanawake unawasikia?Ni ngumu sana mke achepuke na heshima kwa mumewe iendelee kuwepo. Kwanza kitendo cha kuchepuka kinaonyesha kuwa ameshakudharau. Angekuwa anakuheshimu hawezi.
ukiwa umelelewa kwenye vituo vya watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu huwez kuelewa hii kitu kwamba ukimtendea ukatili wa waz sista angu nikaona bas sehemu zako za haja kubwa zitakua rehaniWewe kwako ni dada..ila huyo huyo mwamba ndio anamla k ambayo wewe hawez kukupa kwahiyo tulia wanandoa wayamalize..ikikuuma sana na wewe kaolewe nae il msaidiane