Fallback
JF-Expert Member
- Aug 12, 2023
- 3,686
- 6,958
Sio wanawake Ila wanaume? Au wote?Almost wanaume wote wanachepuka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wanawake Ila wanaume? Au wote?Almost wanaume wote wanachepuka.
WeeAlikua anakupasua kichwa
Wote tu .Sio wanawake Ila wanaume? Au wote?
Mimi nimepata na kiulizo umkaribishe azuie hilo gepuSijui anamaanisha nini
Wanawake wanaongozaWote tu .
Way! Sijaona mabanzi hapo.Habari wadau.
Video inatrend ya kaka mwenye gari aina ya IST namba T 290 CBR
Ambaye alisimamisha gari yake na kuanza kumkaba mkewe nusu kumuua huku akiongea maneno makali kwamba mkewe sio muaminifu
Tazameni video ya tukio
Jamani...hata wewe Blackcornshman ? 😆😆Missed call 16 zote za nini? kwani katekwa?Mwisho miss call mbili tu asiporudisha kwa muda wa dakika kumi bila maelezo ya msingi akirudi unampa masaa 24 apaki mizigo yake na kofi mbili nzito.
Hahaha safi kabisa ndio mambo hayo 🍆 muhimuNimepata wa kusogeza life.
binti kiziwi amua basi kama umeamua kutuchekesha au kuwa serious. 😁😁Mara nyingi kumpigia mtu missed call zizidi 2 ni kumtafutia kosa, kwani huyo mke ni daktari kusema kuna emergency au dereva wa ambulance?
Btw, Unaishije na mke ambaye anaonesha dalili zote za kutokukuheshimu? Aisee mengine mnajitafutia, hata kama kids are involved ya’ll can do better.
Watu wasiokuwa na akili wanachosha hata kuwafikiria sembuse kuishi nae.
Sana.Hahaha safi kabisa ndio mambo hayo 🍆 muhimu
Kwa kweli.Mimi nilivunja yangu fantastic, sitaki stress mimi. We live once.
Labda alikuwa kutafuta fedha ya vikoba maana hivi sasa ndiyo habari ya mjiniHabari wadau.
Video inatrend ya kaka mwenye gari aina ya IST namba T 290 CBR
Ambaye alisimamisha gari yake na kuanza kumkaba mkewe nusu kumuua huku akiongea maneno makali kwamba mkewe sio muaminifu
Tazameni video ya tukio
Hii hata mimi kwa ukulya wangu, siwezi kufanya hv, najua kugongewa inauma,lakini hii si sawa, sawa, mfukuze, mrudishe kwao, tafuta msambwanda mwingine.Habari wadau.
Video inatrend ya kaka mwenye gari aina ya IST namba T 290 CBR
Ambaye alisimamisha gari yake na kuanza kumkaba mkewe nusu kumuua huku akiongea maneno makali kwamba mkewe sio muaminifu
Tazameni video ya tukio
Sijui kwanini tunaamini ukioa/kuolewa unamiliki mwnadamu.Watu wabishi tu Mkuu.
Ebu wewe vaa viatu vya huyo jamaa. Kitanda usichokilalia huwezi kujua kunguni wake, better to stay calm.Sijui kwanini tunaamini ukioa/kuolewa unamiliki mwnadamu.
Hakutaki mwacheeee, endelea na mengine!
Jamaa yuko sahihi kabisa!....Huyo mwanaume naye ana akili za kitoto sana.
Kama anahisi mkewe anamsaliti kwanini asiachane naye?
Kwani ndoa ni jambo la kulazimishana?
Nani anampa huyo mwanaume haki ya kumtesa au kumkaba ili kumuua huyo mkewe?
Hicho kipigo chake aisee awashe inasoma asilimia 68% dah[emoji23] Yesu nitie nguvu nimalize mwendo salama (in William Yilima sound)
Alafu anawasha infinix yake ina 64%.
Upo sahihi aisee unavumilia ujinga hpo ni kutwanga kma unapiga mwizi mahari milioni 5 nisikuzibue na mibanzi hapana aiseeJamaa yuko sahihi kabisa!....
Ukiisha kumnunua mwanamke.... Kwa currency-iitwayo MAHARI... Una haki ya kumfanya vile utakavyo!...!!!
Maana huyo ni wako... MAHARI yako iliyokuchagulia!!....!
Mama avumilie tu.. ya kawaida kabisa hayo huku Tarime!...
Kwanza naona kama jamaa anamchelewesha!!! Anampeti peti! Badala ya kumtengeneza!