Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Inauma sana, ingawa hutakiwi kufanya maamuzi ukiwa na hasira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28][emoji28] kama ume nigusa vile ..Wanaume mna vijitabia vya , ukishapiga cm mara moja haijapokelewa basi ndo utarudia kila sekunde ili ionekane cm imeita muda mrefu
Yaani ile unapiga unakata unapiga unakata
Tabia mbaya tu
Relief ipi zaidi ya kujidhalilisha [emoji16][emoji16]
Kwa hyo umeona kosa la mme tu sio?acha double standardHuyo mbaba nae anatia aibu.. mnyanyasaji.. mp*mbavu, mke amuache libaki lenyewe.. akwende zake. *henzwi taipu.. kwani ndoa lazima.. aibu kwake sasa.. hata kazi afukuzwe mnyanyasaji wa wanawake.
Nila kidunia.Tanzania ni jamii moja haijalishi mkristo au muislamu ,athari kama hizo ni kwa wote ...linapokuja suala la maadili ni mtihani kwa malezi yetu hasw watoto wanakuwa pamoja huko shule wanakuwa pamoja wa dini zote hata makabila yote.
Sasa hivi tabia zinafanana karibia mikoa yote hamna kipya sio kama zamani ,watu wa jamii fulani nao wanapoteza sifa zao za asili kutokana na mchanganyiko..
Hili ni suala la kitaifa ,tukae tufanye overhaul ya malezi yetu hali sio nzuri huko mbele..
Hawa wapumbavu wanapata wapi muda wa kuchukua video na kumbembeleza huyo?Habari wadau.
Video inatrend ya kaka mwenye gari aina ya IST namba T 290 CBR
Ambaye alisimamisha gari yake na kuanza kumkaba mkewe nusu kumuua huku akiongea maneno makali kwamba mkewe sio muaminifu
Tazameni video ya tukio
Yaani uue sababu ya mahusiano, huo ni ugonjwa wa akili. Kama unaona mmeshidwana muache aende zake. Haisaidii kupigana na kudhalilisha utu wako barabarani.Si alijua kati kati ya barabara watatokea watu wawaamue..aliona akifika nae home anaweza akamuua..
Kwanza hata huko home wasingeweza fika kwa hasira hizo wangeweza hata kupata ajal
Ni ujinga tu. Hawajui maisha yana thamani kuliko kila kitu.Uharibu maisha yako kisa mtu ambae hata hujazaliwa nae. Hivi haiwezekan mtu kama kakushinda ukamuacha aende zake?
Aisee hatari....hope hukuvunja becoz jamaa alichepukaMimi nilivunja yangu fantastic, sitaki stress mimi. We live once.
Mambo mengi sana. Kuchepuka, ujinga mwingi, nikaona huyu atanizeesha tu.Aisee hatari....hope hukuvunja becoz jamaa alichepuka
Sasa unakula life kwenye mjengo wako single and free au sio. Dah nikaribishe basiMambo mengi sana. Kuchepuka, ujinga mwingi, nikaona huyu atanizeesha tu.
Alikua anakupasua kichwaMambo mengi sana. Kuchepuka, ujinga mwingi, nikaona huyu atanizeesha tu.
Kuchepuka haikuwa sababu kubwa. Almost wanaume wote wanachepuka. Ukiolewa ni lazima uelewe hilo.Mambo mengi sana. Kuchepuka, ujinga mwingi, nikaona huyu atanizeesha tu.
Ukaribishwe? Au sijaelewa vizuriSasa unakula life kwenye mjengo wako single and free au sio. Dah nikaribishe basi
Nimepata wa kusogeza life.Sasa unakula life kwenye mjengo wako single and free au sio. Dah nikaribishe basi
Sijui anamaanisha niniUkaribishwe? Au sijaelewa vizuri