Ndoa zimekuwaje? Kuna Video inatrend leo Mume akimkaba mkewe na kutaka kumuua live barabarani

Ndoa zimekuwaje? Kuna Video inatrend leo Mume akimkaba mkewe na kutaka kumuua live barabarani

Habari wadau.

Video inatrend ya kaka mwenye gari aina ya IST namba T 290 CBR

Ambaye alisimamisha gari yake na kuanza kumkaba mkewe nusu kumuua huku akiongea maneno makali kwamba mkewe sio muaminifu

Tazameni video ya tukio

Mwanamke wa aina hii huwa haridhishwi na mwanaume wa aina yoyote. Labda adinywe na punda ndipo ataridhika.
 
Ukute jamaa ndo kamsomesha, kamtafutia kazi na kamaliza mahari yote ukweni n kuwajengea nyumba wakwe na kila mwezi sio chini ya 50k wanatumiwa.
Haya ndio madhara ya kuwasomesha wanawake wenye ny3g3 kama za mbwa.
 
jamani mwenzio na umia

Kwani mwenzako alivyo kua anapiga mara 16 alikua aumii

Alafu kuna kiumbe kenzie dhaifu sana kinamwambia mwamba eti huyo ni mkeo wa ndoa.

Mwamba kilia hiyo kifua nyofoa na hizo nywele mpaka aseme alikua wapi huyo malayer


Mimi kwa upande wangu nikipigia mara tatu mpenzi wangu kwa mpishano wa dakika 10 apokei atakuta tuu meseji kwamba mahusiano na yeye basi awe huru tuu.
Duhh kwa mwendo huu mbona utaachana na wengi mkuu maana kuna sababu nyingi zinaweza kupelekea mtu kushindwa kuhudhuria simu kwa wakati, tatizo linapokuja ni pale wengi mnapowaza kuwa mwenzio hapokei simu ni sababu anakusaliti
 
Back
Top Bottom