Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuuHerufi sijaiweka hapa maana nikiiweka tu kila mtu atamjua,herufi naogopa kuitaja maana ntaleta taharuki kwa muhusika.Lakini sijui nini kitamtokea MAMA hausiki kabisa na hii ndoto mwacheni ale BATA bila wasi wasi
Nasikia December 26December 20.
Mwaka hajaisha bado tusubiri tuone, tusimuhukumu kwenye Uzi huu.Tunaitafuta January au miss alishakufa na hatujui [emoji23]
Mungu amrudishe kwa njia nyingine, Amen. Nchi imechezewa Sana hii.Sanduku la kura lilipoibwa, ndoto za Mwanaume kushinda miss Tz Dec 6 ikayeyuka.
TAYARI PM ameshaenda Bondeni !Herufi sijaiweka hapa maana nikiiweka tu kila mtu atamjua,herufi naogopa kuitaja maana ntaleta taharuki kwa muhusika.Lakini sijui nini kitamtokea MAMA hausiki kabisa na hii ndoto mwacheni ale BATA bila wasi wasi
Huwa wanamsubiria Hadi mwaka uishe Ndio watangaze,unakumbuka Ruge!!?Safari hii maharage ya ukweni Kama unataka kuingia chaka Ila nisimalize maneno[emoji850]zimebaki siku mbili.
Kama ikitokea hiyo,ita signal mwendelezo wa matukio mengine!!!Mwaka mpya na mambo mapya.
Tunasubiri Kwa hamu. Aamen
Ngoja tuoneHuwa wanamsubiria Hadi mwaka uishe Ndio watangaze,unakumbuka Ruge!!?
Alikuwa mgombea mwenza wa CDMMwezi wa 12 ni wa mwaka gani?
Inawezekana kwa kuwa rais ni mwanamke, basi mwanamme atakayemfuatia ndio anaonekana kama anautwaa umiss? Kuwa December sio tatizo, nakimbuka uchaguzi fulani mgombea mwenza wa cuf alifariki, uchaguzi ukasogezwa mbele na ukafanywa December, nafikiri ilikuwa 2005, hivyo hiyo shindano pengine ndio uchaguzi.
Wewe umeoneshwa kila kitu, unaogopa tu kuweka wazi.
Kulikoni!?Alililililililili