Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
Jea Son au?Jamaa wa ikulu kanipuna hela yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jea Son au?Jamaa wa ikulu kanipuna hela yangu
Ha ha ha ww umeamia na hukuJamaa wa ikulu kanipuna hela yangu
NdioHa ha ha ww umeamia na huku
Ha ha ha nlikuona na Bango lako la kusifuNdio
Katika harakati za kutafuta connection nikajikuta nipo katikati ya maandamano ya wakulima tukimpongeza muheshimiwa
Mstaafu aliyekwisha kustaafu Lakini hataki kustaafu kustaafishwa!!!Yule Rais anayekuja kuongoza miaka 12 naona muda unasogea.
Mkuu wewe si @eli79 kweli. Dah kama kweli Kwa nini ulibadilisha jina?Kutakua na vita kali..ila mshindi ni wa kiume na ni mwanasiasa..herufi kuchanganyana maana yake ni kwamba atakashinda ataongozwa na mtu mwingine
Nimekusoma
Sio Kwamba Kassim ana resign halafu JM anashika hatamu? Maana Maghole Ghole na babaake wanachawia kwenye vilinge vibaya mno ili kijana either awe CEO au hiyo ya KassimKuna msiba wa mtu mkubwa waja
OyaKutakua na vita kali..ila mshindi ni wa kiume na ni mwanasiasa..herufi kuchanganyana maana yake ni kwamba atakashinda ataongozwa na mtu mwingine