NDOTO: Kila nikiota jambo hutokea kama nilivyoota; nifanyeje?

Kuna watu wanaexperience hii hali and they think they posses special ability. Lakini unapaswa uelewe, haya yote yanatokea on the subconscious level of the mind and without basic understanding of how human mind works you won't get a clue nachotaka kueleza.

Mosi, precognition kwakiasi kikubwa ni coincidence tu hata kama utadai ulikuwa unaona na unajua unachokielezea. Tafiti zilizofanywa kuhusu precognition zinathibitisha precognition ni coincidence na kwasababu bongo zetu zinapata taarifa labda "mtoto amepata ajali" na other day uliota event inayofanana na hii, basi kwa hali ya haraka sana mfano wa light bongo yako inajazia information uliyodokezwa. Sasa mtu wa namna hii akitokewa na hali hii mara moja huanza kuchunguza anachokiota na kitakachotokea, na kwasababu anachunguza basi kwa asilimia fulani ataona anapata ukweli na atazidi kuwa na imani kali juu ya ndoto. Hapa yapaswa ukumbuke precognition inapingana sana na law ya causality. Effect haiwezekani bila cause.
 
Mke wangu alikuwa akiota sherehe wanakula vyakula na nyama n.k basi haipiti siku lazma usikie taarifa mbaya za mcba

yeah uko sahihi kabisa,ndoto mara nyingi huwa kinyume nyume mfano ukiota harusi au sherehe ya mtu ujue kutatokea msiba hapo
 
Wakuu naomba niongezee, mbona wengi hatukumbukagi, mwanzo na kati ya ndoto ila tunakumbukaga mwisho wa ndoto??? Hii imekaaje?? Halafu inakuwaje unaweza kuongea au kukutana na jambo jipya lakini ukawa very sure kwamba kwako so jipya na hats mwendelezo wake ukauujua na ikaendelea hivyohivyo?????

Cc Mshana , @@@ mtimkav@mwelewa and other Great Thinkers please respond ASAP
 
Ndoto gani hizi?
Unaota kufa tuuuuuuu ukibadilisha unaota kuzaa.
Hivi INA maana huna Ndoto za kuwa na miradi mikubwa duniani na kuacha historia kama kina Steve Jobs
 
Ndoto gani hizi?
Unaota kufa tuuuuuuu ukibadilisha unaota kuzaa.
Hivi INA maana huna Ndoto za kuwa na miradi mikubwa duniani na kuacha historia kama kina Steve Jobs

mkuu,ndomana zinaitwa ndoto,huwezi kupanga ndoto.
ndomana zipo tofauti na ndoto zingne,izo ndoto za mafanikio hazijawahi nitokea
 
Mkuu naunga mkono topic yako ila nadhani hii hali huwa siyo kwa kila MTU.....na pia kuna wengine si kila anacho ota lazima kitokee...na mawazo yako ukiyapeleka kuwa ulicho oota ndo lazima kutakuwa hivyo huo ni uongo na hakita tokea.
Mfano Nina kama wiki 4 hivi niliota nikiambiwa na sauti kuwa kanga wadogo wanahitajiks na wachawi kwa matumizi yao...na by that time nilikuwa na mayai ya kanga home kwangu nimewawekea Kuku wameatamia...
Sasa wiki hii j2 wametoto km 7 viwili vikafa katika hali ya kutatanisha bado vikiwa ndani kabla ya kutoka nje,, kesho yake j3 badala ya kuona vifaranga 5 nikaishia kuona 4....Jst within 3 minutes bado viko ndani vikapotea kurudi kutoka nje nikakuta hewa yaani ni Kuku tu bila vifaranga....
Nilibaki kuwa mpole tuuu si kuwa na la kufanya wala hyo hali ya kusikia sauti/mazungumzo ya kunipa taarifa iliyonitokea katika usingiI sikumwambia MTU ndo Leo naandika hapa....
 

mkuu pole sana,inawezekana ulipewa alert na wazee wa anga
 
Hizi ndoto hua ni mala moja moja sana,namaanisha ndoto zingine hua naota kila siku na hazina madhara,ni kawaida kabisaaa,
tatizo ya hizi ndoto hujitokeza tena wakati niko comfortable kabisa bila kua na stress zozote labda ndo useme husababisha
 
Niote mie hapa CHIKIRA MTABARI nimeokota begi la RIZImoja basi angalau iwe kweli niwe tajiri
 
hata mim kuna ndoto huwa sielewi, mwaka 2001 niliota nimekufa alafu ninazikwa lakin nkawa najishuhudia kwamba anayezikwa ni mim, 2004 niliota kufaulu std seven hyo ikawa kweli nilshnda. 2009 niliota nimevaa sare za shule wakat skuwa na wazo la kwenda shule, lakn 2012 nkaingia chuo cha ufundi,
NDOTO KWA WATU FULANI HUWA ZA KWELI, KWA WENGINE HUWA HAZINA MAANA
 
You pretermit the power of Divine?
 
Niote mie hapa CHIKIRA MTABARI nimeokota begi la RIZImoja basi angalau iwe kweli niwe tajiri

mkuu mi sio mtabiri,wala hua sioti kwa kupewa maagizo,bali hizi ni ndoto ambazo hua zinanitokea zikihusisha watu wangu wa kalibu kama ndugu na marafiki wa kalibu,sometime na matukio makubwa kama uchaguzi ila mpaka niwe na mgombea ambaye mimi kama mimi namkubali,na hii hua naota kwa matukio ambayo mimi hua yananigusa ila sio nafsi ya mwingine,,
 
katika Saikolojia tunaamini kwamba nje ya sensi (Sences) za binadamu ambazo ni tano (zilizozoeleka) kuna nyingine mbili moja wapo ni Extra Sensory Perception (ESP), mfano unamwaza mtu unashika simu naye kumbe alikuwa anakuwaza...Je hii inaweza kuhusishwa na ndoto-kama namna binadamu wanavyoweza kuwasaliana...
 
mkuu ndoto zako ndo chanzo cha hao watu kufa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…