NDOTO: Kila nikiota jambo hutokea kama nilivyoota; nifanyeje?

NDOTO: Kila nikiota jambo hutokea kama nilivyoota; nifanyeje?

Poleni na mihangaiko ya hapa na pale.

Mwenye ujuzi anisaidie jambo hili maana linanitesa mno wakati mwingine nakonda kabisa.

Jambo hili lilishamiri nilipokuwa sekondari miaka kadhaa iliyopita, yaani nikilala usingizi mchana ama usiku usingizi mzuri ule tulivu usiokuwa na maruwe ruwe nikaota jambo lolote kama halipo basi week, muda fulani ukipita ama siku mbili haziishi hutokea bila kupinda yaani kama movie yake inajirudia.

Ikiwa nikaota mambo anayonifanyia mtu jambo lolote inakuwa ni hivyo hata nikijisahaulisha najidanganya ni hivyo.

Watu wa karibu yangu ama ninaowafahamu kwa ukaribu naota mambo yao yanatokea wakati mwingine nawaambia hawachukulii serious ila baadae hutokea hadi nimeacha siwaambii tena. [emoji43]

Niliwahi kuwa na mchumba nikaota ni mshirikina nikapuuzia kesho yake alinitembelea nikamuacha nikaenda dukani kumletea soda kurudi nikambamba laivu akirushia mambo yake dirishani na mambo mengi tu nikaaachana naye. Hata ikiwa ni mpenzi nikiota anacheat na mtu wa hivi na vile nikiacha naacha tu but nikichunguza nakuta ni 100%. Yaani kwenye mahusiano ndo inanitesa sana maana naota vitu nikijikausha najikausha tu but ni fact unakuta unakaa na mtu hujamkamata ila mipango kando yake unaijua, plan zake najipa moyo tu maana utaanzaje kabla hujamkamata but baadae hutokea tu.

Marafiki ndugu wanaojifanya wananipenda naota mambo mengi juu ya unafiki wao na wanachofanya ila NASALI SANA Mungu aniondolee hayo mawazo juu yao but at last reality haikwepeki.

Mtu akiwa anafanya jambo lake kama ni wa karibu yangu najua matokeo ila nanyamaza tu maana... Hata nikipoteza kitu naota alochukua ama namjua na kama simjui picha na sura yake naviona siku ikitokea nikakutana naye namjua.

NAJITAHIDI KUSWALI MUNGU ANIPUNGUZIE HILI JAMBO LINANISUMBUA

Wajuzi nisaidieni.
 
Poleni na mihangaiko ya hapa na pale.

Mwenye ujuzi anisaidie jambo hili maana linanitesa mno wakati mwingine nakonda kabisa.

Jambo hili lilishamiri nilipokuwa sekondari miaka kadhaa iliyopita, yaani nikilala usingizi mchana ama usiku usingizi mzuri ule tulivu usiokuwa na maruwe ruwe nikaota jambo lolote kama halipo basi week, muda fulani ukipita ama siku mbili haziishi hutokea bila kupinda yaani kama movie yake inajirudia.

Ikiwa nikaota mambo anayonifanyia mtu jambo lolote inakuwa ni hivyo hata nikijisahaulisha najidanganya ni hivyo.

Watu wa karibu yangu ama ninaowafahamu kwa ukaribu naota mambo yao yanatokea wakati mwingine nawaambia hawachukulii serious ila baadae hutokea hadi nimeacha siwaambii tena. [emoji43]

Niliwahi kuwa na mchumba nikaota ni mshirikina nikapuuzia kesho yake alinitembelea nikamuacha nikaenda dukani kumletea soda kurudi nikambamba laivu akirushia mambo yake dirishani na mambo mengi tu nikaaachana naye. Hata ikiwa ni mpenzi nikiota anacheat na mtu wa hivi na vile nikiacha naacha tu but nikichunguza nakuta ni 100%. Yaani kwenye mahusiano ndo inanitesa sana maana naota vitu nikijikausha najikausha tu but ni fact unakuta unakaa na mtu hujamkamata ila mipango kando yake unaijua, plan zake najipa moyo tu maana utaanzaje kabla hujamkamata but baadae hutokea tu.

Marafiki ndugu wanaojifanya wananipenda naota mambo mengi juu ya unafiki wao na wanachofanya ila NASALI SANA Mungu aniondolee hayo mawazo juu yao but at last reality haikwepeki.

Mtu akiwa anafanya jambo lake kama ni wa karibu yangu najua matokeo ila nanyamaza tu maana... Hata nikipoteza kitu naota alochukua ama namjua na kama simjui picha na sura yake naviona siku ikitokea nikakutana naye namjua.

NAJITAHIDI KUSWALI MUNGU ANIPUNGUZIE HILI JAMBO LINANISUMBUA

Wajuzi nisaidieni.
Terepathy.... Hiyo
 
Kaka hiyo ni karama.... japo yanguniko tofauti kidogo na yako.
Lakini hiyo ni karama.. hiyo Mungu anakuonyesha yanayokuja kwa hiyo ninkuomba Mungu akuepushe nayo.
 
Fafanua kidogo ndugu
Inaitwa telepath..hii ni namna unavyokuwa connected na supernatural power...(God) kwahiyo ni namna gani onavyofanya kazi bado wasaikolojia wa ulimwengu wanahangaika kupata jawabu...na Mara nyingi hivi vitu hutokea hata kwa watu wanaofanya meditation....but majibu mengine utayoyapata najua yatapitia kwenye nature of your family + how environment yalivyokutengeneza....pamoja na personality ...pia inaweza kuwa ni sehemu ya disorder
 
Inaitwa telepath..hii ni namna unavyokuwa connected na supernatural power...(God) kwahiyo ni namna gani onavyofanya kazi bado wasaikolojia wa ulimwengu wanahangaika kupata jawabu...na Mara nyingi hivi vitu hutokea hata kwa watu wanaofanya meditation....but majibu mengine utayoyapata najua yatapitia kwenye nature of your family + how environment yalivyokutengeneza....pamoja na personality ...pia inaweza kuwa ni sehemu ya disorder
Tafuta wasaikolojia ndugu utapata msaada zaidi
 
Poleni na mihangaiko ya hapa na pale.

Mwenye ujuzi anisaidie jambo hili maana linanitesa mno wakati mwingine nakonda kabisa.

Jambo hili lilishamiri nilipokuwa sekondari miaka kadhaa iliyopita, yaani nikilala usingizi mchana ama usiku usingizi mzuri ule tulivu usiokuwa na maruwe ruwe nikaota jambo lolote kama halipo basi week, muda fulani ukipita ama siku mbili haziishi hutokea bila kupinda yaani kama movie yake inajirudia.

Ikiwa nikaota mambo anayonifanyia mtu jambo lolote inakuwa ni hivyo hata nikijisahaulisha najidanganya ni hivyo.

Watu wa karibu yangu ama ninaowafahamu kwa ukaribu naota mambo yao yanatokea wakati mwingine nawaambia hawachukulii serious ila baadae hutokea hadi nimeacha siwaambii tena. [emoji43]

Niliwahi kuwa na mchumba nikaota ni mshirikina nikapuuzia kesho yake alinitembelea nikamuacha nikaenda dukani kumletea soda kurudi nikambamba laivu akirushia mambo yake dirishani na mambo mengi tu nikaaachana naye. Hata ikiwa ni mpenzi nikiota anacheat na mtu wa hivi na vile nikiacha naacha tu but nikichunguza nakuta ni 100%. Yaani kwenye mahusiano ndo inanitesa sana maana naota vitu nikijikausha najikausha tu but ni fact unakuta unakaa na mtu hujamkamata ila mipango kando yake unaijua, plan zake najipa moyo tu maana utaanzaje kabla hujamkamata but baadae hutokea tu.

Marafiki ndugu wanaojifanya wananipenda naota mambo mengi juu ya unafiki wao na wanachofanya ila NASALI SANA Mungu aniondolee hayo mawazo juu yao but at last reality haikwepeki.

Mtu akiwa anafanya jambo lake kama ni wa karibu yangu najua matokeo ila nanyamaza tu maana... Hata nikipoteza kitu naota alochukua ama namjua na kama simjui picha na sura yake naviona siku ikitokea nikakutana naye namjua.

NAJITAHIDI KUSWALI MUNGU ANIPUNGUZIE HILI JAMBO LINANISUMBUA

Wajuzi nisaidieni.
Wewe muislam au mkristo
 
Mwenyezi Mungu aniepushe na anisitiri sitamani kuwa mganga wa kienyeji wa namna yoyote ile hata iwe kwa jani fulani.
Sisemi Uwe mganga wa kienyeji, ninachosema ni kwamba, tumia hali hiyo kwa faida, hicho ni kipaji, kwa mfano umeota mtu fulani ataokota hela nyingi sehemu fulani, unamwambia leo utaokota hela nyingi sehemu fulani lakini kabla hujaanza kuzitumia njoo hapa nikuombee ili usipate matatizo yoyote
 
Sisemi Uwe mganga wa kienyeji, ninachosema ni kwamba, tumia hali hiyo kwa faida, hicho ni kipaji, kwa mfano umeota mtu fulani ataokota hela nyingi sehemu fulani, unamwambia leo utaokota hela nyingi sehemu fulani lakini kabla hujaanza kuzitumia njoo hapa nikuombee ili usipate matatizo yoyote
[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Hiyo kitu kweli ipo mi pia nilikuwa nayo hata nilipokuwa chuo flani miaka kadhaa nyuma ilikuwa naota hadi exams na kweli nilikuwa naikuta vile. Nadhani ni power flani lkn huenda baadae hupungua labda na majukumu yakiongezeka. Vema unapoota ukiamka muda huo soma aya za imani yako itasaidia.
 
Hiyo kitu kweli ipo mi pia nilikuwa nayo hata nilipokuwa chuo flani miaka kadhaa nyuma ilikuwa naota hadi exams na kweli nilikuwa naikuta vile. Nadhani ni power flani lkn huenda baadae hupungua labda na majukumu yakiongezeka. Vema unapoota ukiamka muda huo soma aya za imani yako itasaidia.

Asante. Nilijua nikiwa busy ndo itapungua ila nikichoka nikalala fofofo ndo inakuja series.
 
Yakufa mimi sijaota ila wengine naota sana na wanakufa labda niote kimaruwe ruwe ndo hafi
Nimejaribu kuwaza kwa sauti!

Na je naomba kuuliza umesema "ila wengine naota (nadhani umesahau " wa") sana na wanakufa" je ulijuaje kama wanaota kuwa wamekufa na kweli wakafa? Walikuhadithia?
 
[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Kipi cha ajabu hapo, wakina Ronaldo, diamond, mbwana samatta n.k. wanatumia vipaji vyao kutajirika, wewe unashangaa nini, kweli masikini ni masikini tu hata Mungu akimpa haoni
 
Nimejaribu kuwaza kwa sauti!

Na je naomba kuuliza umesema "ila wengine naota (nadhani umesahau " wa") sana na wanakufa" je ulijuaje kama wanaota kuwa wamekufa na kweli wakafa? Walikuhadithia?

Rejea post yangu hujaisoma ukaelewa, kukurahisishia wapo nnaowaota wamekuwa na baada ya muda flan wanakufa! Hata baadhi ya ndugu zangu waliotangulia niota.
 
Mkuu kikubwa cha kukushauri jaribu kuichukulia hiyo hali positively, kisha watembelee magwiji wa mambo ya kiroho wakushauri namna bora ya kutumia hiyo karama kwa manufaa yako na manufaa ya watu wengine!
 
Back
Top Bottom