Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,071
- 6,753
Kipi cha ajabu hapo, wakina Ronaldo, diamond, mbwana samatta n.k. wanatumia vipaji vyao kutajirika, wewe unashangaa nini, kweli masikini ni masikini tu hata Mungu akimpa haoni
Kwa kipato siko level ya masikini sijafikia tu kwenye bilionea ila chini ya hapo nipo siwezi muambia Mungu ni masikini! Tema chini.