NDOTO: Kila nikiota jambo hutokea kama nilivyoota; nifanyeje?

NDOTO: Kila nikiota jambo hutokea kama nilivyoota; nifanyeje?

Wewe ni bonge la mwanamke, ingekuwa sijaoa ninhekutolea posa. Mm mke wangu nihivyohivyo duuu full mabalaaaa, hatari san nyie watu.

Wakati fulani tulitaka kuhama kutoka sehemu moja kwenda nyingine basi full picha la vurugu za uhamisho aliliona kabla. Na akaniambia mawili utaondoka uniache kwa kuanza kuhama wewe au kuacha kazi.

Mm niliacha kazi na yeye baadae kidogo walimpa uhamisho. Safi sana. Huko kwenye vidosho ndio balaa full network bando 5000gb.

Basi nikiamka tu namuuliza leo vipi hujaota? Kama unafanya sana ibada usiache. Mwambie shem aoe kama hujaolewa na kama tayari au bado zinaa usifanye utaoata mambo mazuri sana.

Mke wangu aliniambia hadi kifo cha mama yake alikiona ndotoni, wakati huo akiwa mgonjwa.
Niliwahi juzi juzi kuota shem wako kakutana na kidada kidogo kinauza mama ntilie kikawa kina mtega kila akiwa peke yake kinakuja na kanga moja mara anakiomba kimuoe hata mke wa pili halafu nkkihuni cha mtaa! Nikashtuka nikasali sana usiku nikasahau nikaendelea na shughuli zangu siku amerudi nilishangaa anapigiwa simu mara 50 kwa siku halafu haipokei nilivyoona too much nikafuatilia ohooooo mzigo huoooo jaman njoe basi sijui nini nikamwambia tu ' nakupenda sana ila kuna sehemu ambayo sio salama umetumbukia tafakari upya' akaniona chizi ila nilivyomweleza A to Z akaona nataka kumpanda kichwani.
 
Ingekuwa hivyo ningejiotesha inakujanga tu hasa mambo yanayoigusa nafsi yangu kama furaha, huzuri n. K
Ohhh polee sana kumbe huna uwezo wa kucontrol hizo njozi zako, basi huo bado ni ugonjwa endelea kutafuta tiba mkuu.
 
Niliwahi juzi juzi kuota shem wako kakutana na kidada kidogo kinauza mama ntilie kikawa kina mtega kila akiwa peke yake kinakuja na kanga moja mara anakiomba kimuoe hata mke wa pili halafu nkkihuni cha mtaa! Nikashtuka nikasali sana usiku nikasahau nikaendelea na shughuli zangu siku amerudi nilishangaa anapigiwa simu mara 50 kwa siku halafu haipokei nilivyoona too much nikafuatilia ohooooo mzigo huoooo jaman njoe basi sijui nini nikamwambia tu ' nakupenda sana ila kuna sehemu ambayo sio salama umetumbukia tafakari upya' akaniona chizi ila nilivyomweleza A to Z akaona nataka kumpanda kichwani.
Kwa wanaume wajinga hawata kuamini. Huyo jamaa akitulia atafaidi sana. Baada ya kuacha kazi ya chaki nilikaa kitaa mwaka mzima sina kazi, nawaibia watu wanaosoma masters kuwaandikia proposal wakati mm nina degree ya ualimu.

One day wifiyo akaota nimeletewa box limejaa madilari kibaoooo. Akaniambia kama umeapply kazi umepata. Two days naitwa inyerview na nikapewa contract siku hiyohiyo. Namshukuru sana Muumba kunipa this wife. Daaa nainjoy sana.

Nikitaka kuchepuka najistukia[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa wanaume wajinga hawata kuamini. Huyo jamaa akitulia atafaidi sana. Baada ya kuacha kazi ya chaki nilikaa kitaa mwaka mzima sina kazi, nawaibia watu wanaosoma masters kuwaandikia proposal wakati mm nina degree ya ualimu.

One day wifiyo akaota nimeletewa box limejaa madilari kibaoooo. Akaniambia kama umeapply kazi umepata. Two days naitwa inyerview na nikapewa contract siku hiyohiyo. Namshukuru sana Muumba kunipa this wife. Daaa nainjoy sana.

Nikitaka kuchepuka najistukia[emoji23][emoji23][emoji23]

Yaani karibia tutaachana ukifanyaga maujinga nikimkamata anasema wewe mwanamke sikutaki unanicontroll eeehhh hahaha sasa najiuliza sasa moyo kwa baby ukiona simu za nuclear utawezaje vumilia jaman yaani Mungu anisaidie tu.
 
Bonge la fursa hyo itumie vzur naamini 90% ya vitu aotavyo mtu ndivyo afanyavyo kwa hyo tumia kama fursa naamini kabla hujafanya jambo lolote lazima uote so kama Jambo baya unatengeneza kinga kabla
 
Yaani karibia tutaachana ukifanyaga maujinga nikimkamata anasema wewe mwanamke sikutaki unanicontroll eeehhh hahaha sasa najiuliza sasa moyo kwa baby ukiona simu za nuclear utawezaje vumilia jaman yaani Mungu anisaidie tu.
Kaa nae chini vizuri mueleweshe hali ya maisha. Akiwa mbishi sukuma pembeni aende kwa mama ntiliye
 
Kama unaota ndoto zinazohusisha ndugu zako waliokwisha kufa, basi fahamu kuwa jicho lako la tatu limeanza kufunguka. Ndiyo maana nilitaka kujua dini yako. Ndoto in dalili za mwanzo . Hatua zitakazofuata in kuwaona wafu (ghosts), pia utaona hata viumbe ambao hawapo katika maisha yetu ya kwawaida. Hapo elewa kuwa pineal gland yako imekuwa activated. Tatizo ulilo nalo husababishwa na vitu hivi:-- kufanya meditation ya kutoka kwenye mwili wako bila ya field protection. 2. Ulaji wa aina Fulani ya vyakula hasa matunda au juice yenye rangi nyekundu au zambarau, ambayo huifanya pineal gland kuwa activated. 3. Kujisomea kwa muda mrefu saa za usiku ikiwa in pamoja na kukariri , humfanya msomi kuingia katika trance ambayo hugeuka kuwa meditation. 4. Uvutaji wa bangi (cannabis), in njia mojawapo ya city vinavyoactivate pineal gland na hata kufunguka jicho la tatu. Ndiyo maana wavutaji wa bangi huwa wanaonekana wamechanganyikiwa na wengine huongea peke yao.. Kama tatizo hili lilikuanzia shuleni, ujue in kwa ajili ya kusoma, baada ya muda litaisha. Kama ni vyakula, epuka ulaji wa matunda au juice yenye rangi ya zambarau.. Kama ulifanya meditation yoyote kama vile yoga, kuondoka katika hali hiyo, itakuwa ni vigimu kwa sababu kama ulifanya meditation bila field protection, itakuwa alien energy imeingia na kupossess mwili wako. Hizo ndoto so ndoto bali unaonyeshwa mambo katika ulimwengu wa roho ambapo hujui in roho ipi inyokuletea hizo ndoto.. Ushauri wangu in kuwa, kama we we no mkristo , nenda kanisani ukaombewe maombi ya kubumoa madhabahu iliyoingia ndani yako. Huyo ni mmoja kati ya malaika wabaya(fallen angels). Wala usidanganyike kuwa jicho in kipawa. Kipawa toka kwa mungu hakiwezi kukufanya uone nduguzo walokufa, wala watu wanaotarajia kufa. Je, unaonaje kama ukiota kumhusu make au mtoto wako.? Ndugu elewa hiyo in roho inayokupeleka katika mateso na hatimaye kuvaa kitanzi. Wahi kanisani uvunje madhabahu hiyo...Angalizo:- Tafadhalini acheni kufanya meditations za kufungua jicho la tatu mtajuta..
 
Kama unaota ndoto zinazohusisha ndugu zako waliokwisha kufa, basi fahamu kuwa jicho lako la tatu limeanza kufunguka. Ndiyo maana nilitaka kujua dini yako. Ndoto in dalili za mwanzo . Hatua zitakazofuata in kuwaona wafu (ghosts), pia utaona hata viumbe ambao hawapo katika maisha yetu ya kwawaida. Hapo elewa kuwa pineal gland yako imekuwa activated. Tatizo ulilo nalo husababishwa na vitu hivi:-- kufanya meditation ya kutoka kwenye mwili wako bila ya field protection. 2. Ulaji wa aina Fulani ya vyakula hasa matunda au juice yenye rangi nyekundu au zambarau, ambayo huifanya pineal gland kuwa activated. 3. Kujisomea kwa muda mrefu saa za usiku ikiwa in pamoja na kukariri , humfanya msomi kuingia katika trance ambayo hugeuka kuwa meditation. 4. Uvutaji wa bangi (cannabis), in njia mojawapo ya city vinavyoactivate pineal gland na hata kufunguka jicho la tatu. Ndiyo maana wavutaji wa bangi huwa wanaonekana wamechanganyikiwa na wengine huongea peke yao.. Kama tatizo hili lilikuanzia shuleni, ujue in kwa ajili ya kusoma, baada ya muda litaisha. Kama ni vyakula, epuka ulaji wa matunda au juice yenye rangi ya zambarau.. Kama ulifanya meditation yoyote kama vile yoga, kuondoka katika hali hiyo, itakuwa ni vigimu kwa sababu kama ulifanya meditation bila field protection, itakuwa alien energy imeingia na kupossess mwili wako. Hizo ndoto so ndoto bali unaonyeshwa mambo katika ulimwengu wa roho ambapo hujui in roho ipi inyokuletea hizo ndoto.. Ushauri wangu in kuwa, kama we we no mkristo , nenda kanisani ukaombewe maombi ya kubumoa madhabahu iliyoingia ndani yako. Huyo ni mmoja kati ya malaika wabaya(fallen angels). Wala usidanganyike kuwa jicho in kipawa. Kipawa toka kwa mungu hakiwezi kukufanya uone nduguzo walokufa, wala watu wanaotarajia kufa. Je, unaonaje kama ukiota kumhusu make au mtoto wako.? Ndugu elewa hiyo in roho inayokupeleka katika mateso na hatimaye kuvaa kitanzi. Wahi kanisani uvunje madhabahu hiyo...Angalizo:- Tafadhalini acheni kufanya meditations za kufungua jicho la tatu mtajuta..

Vitu ulivyovitaja namba 1-4 vyote havinihusu sinywi juice za rangi hiyo sisomi sana, sivuti. Na hii ni kwa sababu hujaeldwa post sijasema naota ndugu zangu waliokufa hapana! Nayakta mambo yatakayotokea na yanatokea, oia mtu wa karibu yangu anaweza kuwa na tabia, mambo anayoyafanya tofauti na anavyoigiza halafu nayaota n. k hukusoma post vyema.
 
Hii hali mimi pia nnayo ila mimi hua inakuja kwa njia ya mawazo, naweza waza kitu fulani then ghafla kinapotea ila baadae lazima kitokee kama nilivyowaza
 
Mwenyezi Mungu aniepushe na anisitiri sitamani kuwa mganga wa kienyeji wa namna yoyote ile hata iwe kwa jani fulani.
Hahaha sicheki kama ni mazuri Bali kua unaomba mungu hutaki kua mganga wa kienyeji...m primary nlkua kma ww nlikua nawza kujua kitu kinachotokea kutkana Na mazingira wakati mwingine nawaambia marafiki zangu hiki kitu kinajirudia..Na kama siku hiyo itakua ni ya ugomvi basi ntaondoka au kuepuka mazingira hayo..now hiyo Hali sina nayo tena imebaki Ile ninapokua Na shida ya dhati ya kifedha hua napata kwa mazingira nisiyoyategemea lkini mpka nwe nmebanwa haswaa.yani sina kitu...USHAURI OMBA MUNGU KADRI YA UWEZO WAKO..
 
Pole sana. Tatizo lako nimelisoma vizuri tu, ila ujue tatizo lako liko kwenye pineal gland yako, ambayo imekuwa activated. Kuna alien energy imeingia ktk mwili wako. Kwa vile wewe in Muislamu, labda uende msiktini. Vile vile Subiri Mshana Jr, anaweza akakushauri zaidi.
 
Hahaha sicheki kama ni mazuri Bali kua unaomba mungu hutaki kua mganga wa kienyeji...m primary nlkua kma ww nlikua nawza kujua kitu kinachotokea kutkana Na mazingira wakati mwingine nawaambia marafiki zangu hiki kitu kinajirudia..Na kama siku hiyo itakua ni ya ugomvi basi ntaondoka au kuepuka mazingira hayo..now hiyo Hali sina nayo tena imebaki Ile ninapokua Na shida ya dhati ya kifedha hua napata kwa mazingira nisiyoyategemea lkini mpka nwe nmebanwa haswaa.yani sina kitu...USHAURI OMBA MUNGU KADRI YA UWEZO WAKO..
Asante
 
Pole sana. Tatizo lako nimelisoma vizuri tu, ila ujue tatizo lako liko kwenye pineal gland yako, ambayo imekuwa activated. Kuna alien energy imeingia ktk mwili wako. Kwa vile wewe in Muislamu, labda uende msiktini. Vile vile Subiri Mshana Jr, anaweza akakushauri zaidi.
Mmmhhh mshana na mambo yake ya buthist* atanipeleka sijui wapi
 
Hilo ni jambo jema ,cha msingi tuliza akili na hofu mungu amekupa kikubwa sana. Naamini ata manabii walikuwa hivyo.
 
Hii ninayo pia. Mie tofauti ni kwamba km kuna ishu nahitaji kuifahamu ndio hupata jibu lake. Ukiwa mchafu wa nafsi na roho hutoweka. Inasaidia sana kufanya maamuzi ya maisha.
 
Poleni na mihangaiko ya hapa na pale.

Mwenye ujuzi anisaidie jambo hili maana linanitesa mno wakati mwingine nakonda kabisa.

Jambo hili lilishamiri nilipokuwa sekondari miaka kadhaa iliyopita, yaani nikilala usingizi mchana ama usiku usingizi mzuri ule tulivu usiokuwa na maruwe ruwe nikaota jambo lolote kama halipo basi week, muda fulani ukipita ama siku mbili haziishi hutokea bila kupinda yaani kama movie yake inajirudia.

Ikiwa nikaota mambo anayonifanyia mtu jambo lolote inakuwa ni hivyo hata nikijisahaulisha najidanganya ni hivyo.

Watu wa karibu yangu ama ninaowafahamu kwa ukaribu naota mambo yao yanatokea wakati mwingine nawaambia hawachukulii serious ila baadae hutokea hadi nimeacha siwaambii tena. [emoji43]

Niliwahi kuwa na mchumba nikaota ni mshirikina nikapuuzia kesho yake alinitembelea nikamuacha nikaenda dukani kumletea soda kurudi nikambamba laivu akirushia mambo yake dirishani na mambo mengi tu nikaaachana naye. Hata ikiwa ni mpenzi nikiota anacheat na mtu wa hivi na vile nikiacha naacha tu but nikichunguza nakuta ni 100%. Yaani kwenye mahusiano ndo inanitesa sana maana naota vitu nikijikausha najikausha tu but ni fact unakuta unakaa na mtu hujamkamata ila mipango kando yake unaijua, plan zake najipa moyo tu maana utaanzaje kabla hujamkamata but baadae hutokea tu.

Marafiki ndugu wanaojifanya wananipenda naota mambo mengi juu ya unafiki wao na wanachofanya ila NASALI SANA Mungu aniondolee hayo mawazo juu yao but at last reality haikwepeki.

Mtu akiwa anafanya jambo lake kama ni wa karibu yangu najua matokeo ila nanyamaza tu maana... Hata nikipoteza kitu naota alochukua ama namjua na kama simjui picha na sura yake naviona siku ikitokea nikakutana naye namjua.

NAJITAHIDI KUSWALI MUNGU ANIPUNGUZIE HILI JAMBO LINANISUMBUA

Wajuzi nisaidieni.

Beef Lasagna huyu Madam Mwajuma ni mtu anaetawaliwa na mashetani kichwani na mganga mpiga ramli chonganishi,,,,huwa mapepo yake hayapendi mambo ya Kheri
 
Poleni na mihangaiko ya hapa na pale.

Mwenye ujuzi anisaidie jambo hili maana linanitesa mno wakati mwingine nakonda kabisa.

Jambo hili lilishamiri nilipokuwa sekondari miaka kadhaa iliyopita, yaani nikilala usingizi mchana ama usiku usingizi mzuri ule tulivu usiokuwa na maruwe ruwe nikaota jambo lolote kama halipo basi week, muda fulani ukipita ama siku mbili haziishi hutokea bila kupinda yaani kama movie yake inajirudia.

Ikiwa nikaota mambo anayonifanyia mtu jambo lolote inakuwa ni hivyo hata nikijisahaulisha najidanganya ni hivyo.

Watu wa karibu yangu ama ninaowafahamu kwa ukaribu naota mambo yao yanatokea wakati mwingine nawaambia hawachukulii serious ila baadae hutokea hadi nimeacha siwaambii tena. [emoji43]

Niliwahi kuwa na mchumba nikaota ni mshirikina nikapuuzia kesho yake alinitembelea nikamuacha nikaenda dukani kumletea soda kurudi nikambamba laivu akirushia mambo yake dirishani na mambo mengi tu nikaaachana naye. Hata ikiwa ni mpenzi nikiota anacheat na mtu wa hivi na vile nikiacha naacha tu but nikichunguza nakuta ni 100%. Yaani kwenye mahusiano ndo inanitesa sana maana naota vitu nikijikausha najikausha tu but ni fact unakuta unakaa na mtu hujamkamata ila mipango kando yake unaijua, plan zake najipa moyo tu maana utaanzaje kabla hujamkamata but baadae hutokea tu.

Marafiki ndugu wanaojifanya wananipenda naota mambo mengi juu ya unafiki wao na wanachofanya ila NASALI SANA Mungu aniondolee hayo mawazo juu yao but at last reality haikwepeki.

Mtu akiwa anafanya jambo lake kama ni wa karibu yangu najua matokeo ila nanyamaza tu maana... Hata nikipoteza kitu naota alochukua ama namjua na kama simjui picha na sura yake naviona siku ikitokea nikakutana naye namjua.

NAJITAHIDI KUSWALI MUNGU ANIPUNGUZIE HILI JAMBO LINANISUMBUA

Wajuzi nisaidieni.

Uswali wapi we mshirikina mkubwa,,,Nna uhakika wa asilimia 100% we umeolewa na sheteni wa kijini,,,,,
 
Back
Top Bottom