Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,071
- 6,753
Kipi cha ajabu hapo, wakina Ronaldo, diamond, mbwana samatta n.k. wanatumia vipaji vyao kutajirika, wewe unashangaa nini, kweli masikini ni masikini tu hata Mungu akimpa haoni
Tatizo lenu nyie waswahili ukiwa na kanyumba ka vyumba viwili na kabajaji basi unarizika kweli, unajifanya mlokole, haya banaKwa kipato siko level ya masikini sijafikia tu kwenye bilionea ila chini ya hapo nipo siwezi muambia Mungu ni masikini! Tema chini.
Duh, aseee hatari. Kwahiyo ukiota hivyo huwa unawaambia au?Rejea post yangu hujaisoma ukaelewa, kukurahisishia wapo nnaowaota wamekuwa na baada ya muda flan wanakufa! Hata baadhi ya ndugu zangu waliotangulia niota.
Mkuu kikubwa cha kukushauri jaribu kuichukulia hiyo hali positively, kisha watembelee magwiji wa mambo ya kiroho wakushauri namna bora ya kutumia hiyo karama kwa manufaa yako na manufaa ya watu wengine!
Tatizo lenu nyie waswahili ukiwa na kanyumba ka vyumba viwili na kabajaji basi unarizika kweli, unajifanya mlokole, haya bana
Asante nduguMungu anasema na wewe,hutakiwi kuomba iondeke hiyo ni kalama. Unatakiwa usali zaidi Ili upate kuonyeshwa zaidi. Hiyo ni nguvu ya kipekee Sana ambayo watu wachache hutunukiwa. Mshukuru Mungu tena jiepushe na dhambi Ili upate kuwa Karibu na Mungu. Kama upo instagram mtafute kaka mmoja anitwa Emanuel of Jesus, kwa Maana Hata Mimi Nina kalama inayoshabihiana na ya kwako,Mimi inakuja kwa mtindo wa mawazo na kuhisi. Huyo kaka alinisaidia Sana kuielewa hii kitu. Au tafuta kiongozu wa kidini aweze kukusaidia zaidi.
Ndoto ni macho ya nafsi, maono ni macho ya rohoni kama ilivyo macho ya mwilini. Kila mtu huota ila wengi husahau kwa sababu mbalimbali ikiwemo aina ya vyakula tunavyokula, madawa ya hospitali, uchovu, uzembe na hila za maadui n.k. Nafsi ndo mtu mwenyewe, mwili ni jumba tu (cover). Mungu na maadui kama wachawi akiwemo shetani mwenyewe hutumia nafsi kumfikia mtu kwa njia ya ndoto. Hivyo usipuuze ndoto wala usiseme hutaki ndoto maana utazikosa fursa za maisha yako au kujiona mwenye mikosi, bali tafuta wataalam wa kutafsiri ndoto zako au omba Mungu akupe karama ya kutafsiri ndoto zako. Kwa wakristo-kumbuka Yesu alipotaka kuuawa na Herode, ndoto ya yusuph ilimponya mtoto Yesu. Hivi Yusuph angepuuza kama wengi leo tunavyofanya ingetokea nini? (kumbuka ni ndoto ngapi umepuuza leo zinakugharimu). Mfalme Suleiman alipata hekima ile ndotoni. Ndoto ni za binadam wote bila kujali dini ila matumizi ya ndoto hizo ndo yanatuweka ktk makundi tofauti tofauti kiimani na itikadi. Visivyoonekana ndo vinaoongoza vinavyoonekana. Mwisho soma Ayubu 33:14
Kwaharaka naweza sema Una Majini Ya Ruhani tena ni mazuri ,,Hayana shida isipokuwa labda ww uwe Against nayo ,,,sijui hata nikusaidie VP ,,iLa jingine kwakuwa umesema Familia yenu pia Ina watu hawakupendi ,,basi Kuwa makini Sana ,,,
Nakupongeza kwa kuwa na uwezo huo,, tambua nguvu zako za ndani unaweza kuwa mtabiri
Madam Mwajuma mbona hilo boonge la deal......Yaani ningekuwa mimi ningefanya mpango wa kuota nanunua bomberdier tu fasta yaan.
Wewe ni bonge la mwanamke, ingekuwa sijaoa ninhekutolea posa. Mm mke wangu nihivyohivyo duuu full mabalaaaa, hatari san nyie watu.Poleni na mihangaiko ya hapa na pale.
Mwenye ujuzi anisaidie jambo hili maana linanitesa mno wakati mwingine nakonda kabisa.
Jambo hili lilishamiri nilipokuwa sekondari miaka kadhaa iliyopita, yaani nikilala usingizi mchana ama usiku usingizi mzuri ule tulivu usiokuwa na maruwe ruwe nikaota jambo lolote kama halipo basi week, muda fulani ukipita ama siku mbili haziishi hutokea bila kupinda yaani kama movie yake inajirudia.
Ikiwa nikaota mambo anayonifanyia mtu jambo lolote inakuwa ni hivyo hata nikijisahaulisha najidanganya ni hivyo.
Watu wa karibu yangu ama ninaowafahamu kwa ukaribu naota mambo yao yanatokea wakati mwingine nawaambia hawachukulii serious ila baadae hutokea hadi nimeacha siwaambii tena. [emoji43]
Niliwahi kuwa na mchumba nikaota ni mshirikina nikapuuzia kesho yake alinitembelea nikamuacha nikaenda dukani kumletea soda kurudi nikambamba laivu akirushia mambo yake dirishani na mambo mengi tu nikaaachana naye. Hata ikiwa ni mpenzi nikiota anacheat na mtu wa hivi na vile nikiacha naacha tu but nikichunguza nakuta ni 100%. Yaani kwenye mahusiano ndo inanitesa sana maana naota vitu nikijikausha najikausha tu but ni fact unakuta unakaa na mtu hujamkamata ila mipango kando yake unaijua, plan zake najipa moyo tu maana utaanzaje kabla hujamkamata but baadae hutokea tu.
Marafiki ndugu wanaojifanya wananipenda naota mambo mengi juu ya unafiki wao na wanachofanya ila NASALI SANA Mungu aniondolee hayo mawazo juu yao but at last reality haikwepeki.
Mtu akiwa anafanya jambo lake kama ni wa karibu yangu najua matokeo ila nanyamaza tu maana... Hata nikipoteza kitu naota alochukua ama namjua na kama simjui picha na sura yake naviona siku ikitokea nikakutana naye namjua.
NAJITAHIDI KUSWALI MUNGU ANIPUNGUZIE HILI JAMBO LINANISUMBUA
Wajuzi nisaidieni.