umeshakuwa brainwashed siwezi kukusaidia lolote.kwann waseme some na si zote,wanajaribu janjajanja ili wapige pesa kwa baadhi ya wajinga kama wewe pindi mnapoota ndoto mbaya muende kutafsiriwa ili wawatandike za uso .
mimi nisiyeamini hizo porojo ndio mpumbavu au mpumbavu ni yule mpuuzi anayeamini ukiota umeokota hela kesho utaokota kweli.majinga hayataisha milele waganga na wachungaji waongeze vilinge tu mipoyoyo haiishiWapumbavu kama wewe wanazidi kuongezeka Tanzania. Mwelekeo wa nchi kutokana na huu utitiri wa Wapumbavu si mzuri hata kidogo.
mimi nisiyeamini hizo porojo ndio mpumbavu au mpumbavu ni yule mpuuzi anayeamini ukiota umeokota hela kesho utaokota kweli.majinga hayataisha milele waganga na wachungaji waongeze vilinge tu mipoyoyo haiishi
haya nenda kwa mwamposa katabiriwe ndoto yako hiyo uliyoota unamla wema sepetu🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Siku ukitia akili kichwani utaelewa ukweli ni upi na labda kujiondoa kwenye huo utitiri wa Wapumbavu nchini.
haya nenda kwa mwamposa katabiriwe ndoto yako hiyo uliyoota unamla wema sepetu
Nitakujibu siku nyingine nikipata muda nishaelewa swali lako.Mkuu sijui kama tunaelewana ndio maana unanipeleka huku kwengine kabisa, nimekwambia polisi wanafanya uchunguzi sasa hizo memory kama CCTV na sijui kifungo yanapatikana ukifanya uchunguzi, hivyo kitu tofauti na nachozungumzia mimi hapa,bila kufanya uchunguzi ni vp polisi atapata hiyo memory kama kujua sura ya suspect ambayo imenaswa kwenye CCTV au kwenye camera ya simu ya mtu? labda sasa unielimishe kuhusu memory kwa mtu ambaye ameweza kujua wapi kilipo kitu kilichopotea kwa kutumia ndoto hali ya kuwa hakuwa akijua kabisa ni wapi kilipopotelea hicho kitu?
Wengine tukiota jambo linatokea kama lilivyo...hata kama nilisahau ndoto...jambo likikaribia kutokea fasta naikumbuka ile ndoto...Habari wakuu,
Kama unaota unakimbizwa na majini, unaota mtoto wako wa kumzaa sio wako, unaota upo darasani mnafundishwa na lecturer ilihali ulishamaliza chuo kitambo na upo kazini tayari, unaota ndugu yako kafariki, unaota umekuwa Raisi wa JMT ili hali hujawahi kuwa hata barozi wa nyumba kumi n.k
View attachment 1912293
Puuza hizo ni ndoto tu hazina maana yeyote, usihangaike kutafuta mtu akutafsirie atakujaza ujinga na imani mbovu mbovu,
Mtu anayeamini ktk ndoto hana utofauti na yule anayeamini kuwa dunia ni bapa, hana utofauti na mtu anayeamini kuwa ukiwa vitani ukitamka neno maji risasi zinazopigwa kuelekea kwako zitageuka kuwa maji.
Hii thread itaendeshwa kwa njia/mtindo wa maswali, maana nikisema nianze kueleza kila kitu ni ngumu sana kumaliza kueleza mambo yote maelezo ni mengi sana, ila maswali yataniguide na nitafafanunua kiundani zaidi (deep) kila mtu ataelewa vizuri kabisa.
Nakaribisha maswali.
Sasa hapo huoni mkuda na mpuuzi ni wewe mwenyewe.Ndoto ni ukuda na upuuzi tu, imagine jana nilikuwa na stress zangu, nikachelewa kupata usingizi, maana nililala sa kumi na moja. Mara naota napigana,mara naota nasex, mara naota napga stories, nikigeuka ndoto inabadilika, mara naota nappa mara mang'amung'amu, yawning ni ujinga tu ila nikajiuliza mbona nikilalaga mapema huwa siotioti ovyo?
Swali langu la kwanza. BAROZI ni nani mkuu.....,unaota umekuwa Raisi wa JMT ili hali hujawahi kuwa hata barozi wa nyumba kumi n.k
.
Nakaribisha maswali.
Mwezi January 2024 niliota jirani yetu kijijini amefariki, kesho yake nikampigia mzee wangu kupiga naye story nione kama taarifa yoyote, nikaona kimya, nikajua itakuwa useless, baada ya siku nne taarifa ikaja yule jirani kweli kafaHabari wakuu,
Kama unaota unakimbizwa na majini, unaota mtoto wako wa kumzaa sio wako, unaota upo darasani mnafundishwa na lecturer ilihali ulishamaliza chuo kitambo na upo kazini tayari, unaota ndugu yako kafariki, unaota umekuwa Raisi wa JMT ili hali hujawahi kuwa hata barozi wa nyumba kumi n.k
View attachment 1912293
Puuza hizo ni ndoto tu hazina maana yeyote, usihangaike kutafuta mtu akutafsirie atakujaza ujinga na imani mbovu mbovu,
Mtu anayeamini ktk ndoto hana utofauti na yule anayeamini kuwa dunia ni bapa, hana utofauti na mtu anayeamini kuwa ukiwa vitani ukitamka neno maji risasi zinazopigwa kuelekea kwako zitageuka kuwa maji.
Hii thread itaendeshwa kwa njia/mtindo wa maswali, maana nikisema nianze kueleza kila kitu ni ngumu sana kumaliza kueleza mambo yote maelezo ni mengi sana, ila maswali yataniguide na nitafafanunua kiundani zaidi (deep) kila mtu ataelewa vizuri kabisa.
Nakaribisha maswali.
Dah hili neno mkuda umenikumbusha mbali sanaNdoto ni ukuda na upuuzi tu, imagine jana nilikuwa na stress zangu, nikachelewa kupata usingizi, maana nililala sa kumi na moja. Mara naota napigana,mara naota nasex, mara naota napga stories, nikigeuka ndoto inabadilika, mara naota nappa mara mang'amung'amu, yawning ni ujinga tu ila nikajiuliza mbona nikilalaga mapema huwa siotioti ovyo?
Ndoto ni Ulimwengu wa Kiroho, so kama haujui, maana yake haujaanza kuishi badoHabari wakuu,
Kama unaota unakimbizwa na majini, unaota mtoto wako wa kumzaa sio wako, unaota upo darasani mnafundishwa na lecturer ilihali ulishamaliza chuo kitambo na upo kazini tayari, unaota ndugu yako kafariki, unaota umekuwa Raisi wa JMT ili hali hujawahi kuwa hata barozi wa nyumba kumi n.k
View attachment 1912293
Puuza hizo ni ndoto tu hazina maana yeyote, usihangaike kutafuta mtu akutafsirie atakujaza ujinga na imani mbovu mbovu,
Mtu anayeamini ktk ndoto hana utofauti na yule anayeamini kuwa dunia ni bapa, hana utofauti na mtu anayeamini kuwa ukiwa vitani ukitamka neno maji risasi zinazopigwa kuelekea kwako zitageuka kuwa maji.
Hii thread itaendeshwa kwa njia/mtindo wa maswali, maana nikisema nianze kueleza kila kitu ni ngumu sana kumaliza kueleza mambo yote maelezo ni mengi sana, ila maswali yataniguide na nitafafanunua kiundani zaidi (deep) kila mtu ataelewa vizuri kabisa.
Nakaribisha maswali.