Ndoto ni matokeo ya ubongo kupumzika, hazina maana yeyote zipuuzeni

Ndoto ni matokeo ya ubongo kupumzika, hazina maana yeyote zipuuzeni

Mkuu hii hutokea mara chache sana kuna sakati upande wa ubongo unaohusika na kutembea ukijiwasha ukiwa usingizini wkati huo huo sehemu zingine zikijiwasha na kuzima utajikuta unatembea kama huyo dogo,

Kuna wengine huwa wanaota wanafanya malenzi (means kumbu kumbu ya ufanyaji mapenzi imejiwasha) na kufika kileleni kabisa yaani wanapiga bao.
kwamba unataka kusema ishu ya kutembea mtu akiwa amelala inakua fiction sio real?
 
Ukipozingua ni hiyo story ya majimaji acha ujinga huo unaamini story za wazungu kuwa wazee wetu walisema maji
Belief + belief = perception
Pengine nimegusa vitu unavyo amini ndio maana unaona nmezingua unasahau kuwa huo ni mfano na wala sijataja vita vya maji maji
 
Belief + belief = perception
Pengine nimegusa vitu unavyo amini ndio maana unaona nmezingua unasahau kuwa huo ni mfano na wala sijataja vita vya maji maji
Usitake kubadilisha maneno . Mimi siamini katika ndoto ila kusema sijui wazee wetu walienda vitani kupigania kutotawaliwa kwa kusema maji ni ujinga ntupu
 
kwamba unataka kusema ishu ya kutembea mtu akiwa amelala inakua fiction sio real?
Ni real mkuu pengine umenielewa vibaya
d_06_cr_mou_1a.jpg

Hiyo sehemu yenye red hapo inahusika na motor activities, ikijiwasha wakati upo usingizini utajikuta unatembea, au kutafuna godoro ukizani ni mkate.
 
Mwaka 2014 mwezi wa nne, niliota Rais atafia madarakani na nchi kuongozwa na mwanamke, nilisubiri kutimia kwake, na nilipoona inachelewa kutimia, nikaanza kuipuuzia na kuipa tafsiri tofauti. Mwaka 2019 Magufuli alipozushiwa kifo nikajua ndoto inatimia, lakini siku ya tatu akajitokeza hadharani. Hata Rais aliye madarakani nafahamu atakavyouishi urais.


hivyo, nimekupuuza mwandishi, inawezekana unaota ndoto za kufukuzwa na simba na nyoka pekee.
 
Usitake kubadilisha maneno . Mimi siamini katika ndoto ila kusema sijui wazee wetu walienda vitani kupigania kutotawaliwa kwa kusema maji ni ujinga ntupu
Wrwe kwa akili yako unadhani risasi ikifyatuliwa kuelekea usawa wako ukitamka maji risasi kweli itageuka kuwa maji??? Jibu ndio au hapana
 
Siamini kwenye kutafsiriwa ndoto.
Siamini kwenye utabiri wa ndoto nje ya muotaji mwenyewe na mambo yake binafsi.
Na yes ndoto nyingi hazina maana ni sehemu ya human consciousness kupumzika huku subconscious ikiendelea kufanya kazi


Mimi ni shahidi kwenye hili kwamba kuna baadhi ya ndoto unaota ambazo zinakuonyesha baadhi ya vitu muhimu kwako ambavyo vinakwenda kutokea baadae "in the future".

Isipokuwa vyenyewe vinakuwa kwenye mafumbo ambayo mtu binafsi pekee ndio anaweza kufumbua.

Bila shaka kuna siri kubwa juu ya uwepo wa binadamu chanzo chake na mengi tusiyoyajua kuhusu the universe its existence and its creation.

Bila shaka kutakuwa na part ya mind ya binadamu ambayo ipo connected na higher dimensions beyond our 3rd dimensional space where we're limited on how we perceive time.
But in higher dimensions where time can exist simultaneously in the present.

Kwa ambao hawajaelewa.
Yaani kuna uwezekano wa kwamba kuna sehemu ya mind ambayo ipo connected na dimensions za juu nje kabisa ya dimension yetu ya tatu.

Ambapo kwenye hizo dimension za juu time (muda) unaexist ndani ya present (sasa hivi) kwa kujumuishwa yaani past(zamani) present (sasa hivi) na future (baadae).

Hivyo labda binadamu anapolala mind yake mara chache inakuwa connected na higher dimensions labda the 4th dimension.
Ambapo muda unaexist simultaneously in the present hivyo binadamu anapata hinsts juu ya nini kinatokea in the future.

Sababu kinachotokea na kitakachotokea tayari vyote vimeshatokea.
 
Mwaka 2014 mwezi wa nne, niliota Rais atafia madarakani na nchi kuongozwa na mwanamke, nilisubiri kutimia kwake, na nilipoona inachelewa kutimia, nikaanza kuipuuzia na kuipa tafsiri tofauti. Mwaka 2019 Magufuli alipozushiwa kifo nikajua ndoto inatimia, lakini siku ya tatu akajitokeza hadharani. Hata Rais aliye madarakani nafahamu atakavyouishi urais.


hivyo, nimekupuuza mwandishi, inawezekana unaota ndoto za kufukuzwa na simba na nyoka pekee.
Kwanza kabisa ili uote kitu ni lazima kiwe kwenye kumbu kumbu zako (akili/ubongo) either ulikisikia sehu, ulikisoma mahali au kuona kwenye movie ila wahusika sio lazima wawe uliowaota, then baadae ukilala sehemu iliyotunza hizo kumbu kumbu ikajiwasha ukiwa usingizini kweli utaota raisi kafariki na nchi inaongozwa na mwanamke

Kwa vile ni jambo zito utalitilia maanani na kusahau yale ya kawaida uliyoyaota then ikitokea probability kweli tumepata msiba kama ule wa juzi utaanza kujiita nabii
 
Siamini kwenye kutafsiriwa ndoto.
Siamini kwenye utabiri wa ndoto nje ya muotaji mwenyewe na mambo yake binafsi.
Na yes ndoto nyingi hazina maana ni sehemu ya human consciousness kupumzika huku subconscious ikiendelea kufanya kazi


Mimi ni shahidi kwenye hili kwamba kuna baadhi ya ndoto unaota ambazo zinakuonyesha baadhi ya vitu muhimu kwako ambavyo vinakwenda kutokea baadae "in the future".

Isipokuwa vyenyewe vinakuwa kwenye mafumbo ambayo mtu binafsi pekee ndio anaweza kufumbua.

Bila shaka kuna siri kubwa juu ya uwepo wa binadamu chanzo chake na mengi tusiyoyajua kuhusu the universe its existence and its creation.

Bila shaka kutakuwa na part ya mind ya binadamu ambayo ipo connected na higher dimensions beyond our 3rd dimensional space where we're limited on how we perceive time.
But in higher dimensions where time can exist simultaneously in the present.

Kwa ambao hawajaelewa.
Yaani kuna uwezekano wa kwamba kuna sehemu ya mind ambayo ipo connected na dimensions za juu nje kabisa ya dimension yetu ya tatu.

Ambapo kwenye hizo dimension za juu time (muda) unaexist ndani ya present (sasa hivi) kwa kujumuishwa yaani past(zamani) present (sasa hivi) na future (baadae).

Hivyo labda binadamu anapolala mind yake mara chache inakuwa connected na higher dimensions labda the 4th dimension.
Ambapo muda unaexist simultaneously in the present hivyo binadamu anapata hinsts juu ya nini kinatokea in the future.

Sababu kinachotokea na kitakachotokea tayari vyote vimeshatokea.
Kwanza kabisa nimefurahi kuona unauelewa kidogo kuhusu mambo ya mind hasa hasa aya yako ya kwanza,

Lakini hoja yako ya kusema kuwa sehemu ya mind iko connected na universe ni sawa na kusema human mind eixist out of the body DUALITY THEORY ya karne ya kumi na saba ndiyo unayoiongelea hapa wewe ya bwana RENE DISCARTE ambayo ilikuwa proved wrong baadae,

Kiufupi ni kwamba
Human mind does not exist outside the body
ukihitaji proof nitakuelewesha.
 
mimi nimechallenge pale uliposema mtu akilala physical activities kama kutembea zinakua off
Yes zinakuwa off ktk mtindo wa bulb inayofifia mwanga lakini ikitokea ziko on ambayo ni mara chache mtu atatembea akiwa usingizini

Nikisema on namaanisha zinakuwa ktk mtindo wa bulb yenye mwanga mkali
 
Kwanza kabisa ili uote kitu ni lazima kiwe kwenye kumbu kumbu zako (akili/ubongo) either ulikisikia sehu, ulikisoma mahali au kuona kwenye movie ila wahusika sio lazima wawe uliowaota, then baadae ukilala sehemu iliyotunza hizo kumbu kumbu ikajiwasha ukiwa usingizini kweli utaota raisi kafariki na nchi inaongozwa na mwanamke

Kwa vile ni jambo zito utalitilia maanani na kusahau yale ya kawaida uliyoyaota then ikitokea probability kweli tumepata msiba kama ule wa juzi utaanza kujiita nabii
Sina access na mkubwa yeyote. Kiufupi, hakuna mtu aliyewahi kuniambia, si jambo hilo pekee bali kila nililoliota. Ni sawa na stori ya nabii Elisha na washami ambao kila walipokuwa wakitaka kuvamia Israeli, Elisha alimtahadharisha mfalme wa Israeli kuwa asipite njia flani na hivyo akajiepusha na mashambulizi ya washami.

Ukiwa karibu na Mungu, hatakuficha lolote. na hilo la Rais kufia madarakani, Mungu alinionyesha kama uthibitisho wa mwisho kuwa, kila aliloniambia kuhusu maisha yangu ni la kweli,

yaani kwamba, kama siamini, basi nikiona hilo jambo limetokea, kama nina akili timamu nitajua hata mambo yanihusuyo aliyoniambia, yalikuwa sahihi hata kama niliyapuuzia.
 
unaota unakojoa, afu ukawa unakojoa kweli. Hiyo ndoto ni useless sio ukweli?
Thought proceses za kwenye ubongo ni command, huu command mwili, anythought means recall of memmory,

Kwa hiyo unapokuwa umelala sehemu flani ya ubongo ikijiwasha ile ni recall of memmory, utajiona unaota, ikijiwasha ile ukiwa unafanya mapenzi itau command mwili na uta ejaculate kweli
 
Sina access na mkubwa yeyote. Kiufupi, hakuna mtu aliyewahi kuniambia, si jambo hilo pekee bali kila nililoliota. Ni sawa na stori ya nabii Elisha na washami ambao kila walipokuwa wakitaka kuvamia Israeli, Elisha alimtahadharisha mfalme wa Israeli kuwa asipite njia flani na hivyo akajiepusha na mashambulizi ya washami.

Ukiwa karibu na Mungu, hatakuficha lolote. na hilo la Rais kufia madarakani, Mungu alinionyesha kama uthibitisho wa mwisho kuwa, kila aliloniambia kuhusu maisha yangu ni la kweli,

yaani kwamba, kama siamini, basi nikiona hilo jambo limetokea, kama nina akili timamu nitajua hata mambo yanihusuyo aliyoniambia, yalikuwa sahihi hata kama niliyapuuzia.
To make it short, biblia ni masimulizi ya ndoto ambazo watu walikuwa wakiota, siamini ktk ndoto unaponipa facts kwa kurejea ndoto hizo hizo unakuwa hujajibu wala kufafanua chochote.
 
Huwa ninapata ujumbe mzito unaohusu maisha yangu kupitia ndoto. Nilioteshwa kifo cha mzee wangu wiki mbili kabla hakijatokea.
Ndoto ni useless,
Kwa vile umeota jambo zito mengine yote uliyoyaota ukayasahau, ikitokea probability kweli mzee kafariki utasema roho mtakatifu alikushukia,
I bet wakati unaota mzee wako alikuwa mgonjwa?
 
kwamba unataka kusema ishu ya kutembea mtu akiwa amelala inakua fiction sio real?
Ni real namaanisha unatembea kweli, ni sawa na yule anaye ejaculate in real kwa kuota na hicho nilichokielezea ni mechanism yake, umenielewa mkuu????
 
To make it short, biblia ni masimulizi ya ndoto ambazo watu walikuwa wakiota, siamini ktk ndoto unaponipa facts kwa kurejea ndoto hizo hizo unakuwa hujajibu wala kufafanua chochote.
Naishia hapa. Natamani upate nafasi ya kuambiwa hata kitakachotokea wiki moja mbele kupitia ndoto. Kwa sasa nitaeleweka kwa mtu aliyewahi kupewa iwe maonyo, taarifa, n.k kupitia ndoto na kikatokea kama alivyokiota.
 
Ndoto ni useless,
Kwa vile umeota jambo zito mengine yote uliyoyaota ukayasahau, ikitokea probability kweli mzee kafariki utasema roho mtakatifu alikushukia,
I bet wakati unaota mzee wako alikuwa mgonjwa?
Not really, ingawa alikuwa mtu mzima sana. Lakini ilishanitokea kwa mjomba wangu pia. Huwa ninakuwa alerted two weeks prior msiba.
 
Naishia hapa. Natamani upate nafasi ya kuambiwa hata kitakachotokea wiki moja mbele kupitia ndoto. Kwa sasa nitaeleweka kwa mtu aliyewahi kupewa iwe maonyo, taarifa, n.k kupitia ndoto na kikatokea kama alivyokiota.
Ndoto ni useless
 
Back
Top Bottom