Ndoto ni matokeo ya ubongo kupumzika, hazina maana yeyote zipuuzeni

Ndoto ni matokeo ya ubongo kupumzika, hazina maana yeyote zipuuzeni

Unajua ni kwanini biblia haijaandikwa ktk mtililiko, pia ukisoma kifungu au mstari mmoja au miwili ile inayofuata haihusiani na mingine inabidi uunganishe na mstari wa kwenye kurasa zingine ili upate maana??? Tueleze sababu??

Je unajua kwanini ukiota unaota kwa vipande vipande ambavyo ukiviunganisha havihusiani wala kuleta maana, tunaomba ujibu?

Je unaelewa nini kuhusu ndoto?

Je unaelewa nini kuhusu probability? Mfano mimi nikiota nimekutana na mzungu halafu kesho yake nikaenda mjini ktk mizunguko nkakutana na mzungu je hapo malaika waliniotesha??? Kwanini mambo yote unayo yaota hayatokei?
UNA JIDHARIRISHA MBONA.

Sikutegemea uwe na ID's mbili.. maana hii uki-quote jina lina kuja LUCKDUBE.. Japo nilihisi hiki kitu ndio maana nikakuambia mapema kwenye komenti yangu ya kwanza.

PILI nikajuwa wewe ndiye mwenye KNOWLEDGE kuwa watu wakuulize maswali, cha kushangaza unajiuliza na kujijibu kwa ID nyingine tena, yaani una ID zaidi ya mbili..

Umesema utajibu maswali, lakini wewe ndo umekuwa wa kwanza kuuliza maswali... NILICHOGUNDUA NI KUWA HUNA MAARIFA YOYOTE JUU YA NDOTO, SASA UNATAKA HAYO MAARIFA KWA KIVULI CHA KUANZISHA HII MADA..

Wewe Bwana mdogo ni WA KUPUUZWA, HUJITAMBUI BADO.
 
Mwaka 2014 mwezi wa nne, niliota Rais atafia madarakani na nchi kuongozwa na mwanamke, nilisubiri kutimia kwake, na nilipoona inachelewa kutimia, nikaanza kuipuuzia na kuipa tafsiri tofauti. Mwaka 2019 Magufuli alipozushiwa kifo nikajua ndoto inatimia, lakini siku ya tatu akajitokeza hadharani. Hata Rais aliye madarakani nafahamu atakavyouishi urais.


hivyo, nimekupuuza mwandishi, inawezekana unaota ndoto za kufukuzwa na simba na nyoka pekee.
Ni wa KUPUUZWA kabisa, HANA ILIMU YOYOTE KATIKA MASUALA YA MAWASILIANO KIROHO.

Badili hiyo avatar, UNAMFEDHEHESHA sana "Pundamilia"
 
To make it short, biblia ni masimulizi ya ndoto ambazo watu walikuwa wakiota, siamini ktk ndoto unaponipa facts kwa kurejea ndoto hizo hizo unakuwa hujajibu wala kufafanua chochote.
HUJUI LOLOTE KUHUSU NENO LA MUNGU, PEPO LA UJUAJI NA KIHEREHERE NYAMAZAAAA.

HUJUI LOLOTE TULIA nikupashe.

Neno la MUNGU limepatikana kwa njia zote, ila njia kubwa ni MAONO (Maono ni tofauti na Njozi/Ndoto), njia nyingine ni Ndoto, Mungu kuwasiliana moja kwa moja na manabii (Kama Musa na Elisha) Lakini pia Maisha halisi.. mfano wana waisraeli KUTOKA utumwani kama ilivyoelezwa katika kitabu cha KUTOKA.

Hujui kitu
 
Imani potofu
Hahahah, UMEJIGAMBA Ooh, nitaendesha Mada kwa maswali kumbe huna kitu kichwani..

Ukiambiwa unaishia "Ndoto ni useless"... Hujui kitu, omba tukujuze kaka.

Nimekupuuza kabisa, na naomba toba kwasababu ya kukupuza ambako nimekupuuza... Graded as zero brain Injection Gentamicin look-like.
 
Allahmdulilah.. aya ndio mambo yanakufaa sio zile mada za kimasihara sheikh wangu, TUMTUMIKIE MOLA WETU.
Sawa mkuu humu JF kuna kila aina ya vitu kuna muda mwingine unataka kuburudika na muda mwingine kujielimisha sasa wewe unatuingilia mpaka sehemu za kuburudika unaanza kutuelimisha.
Intelligence ni km Shule na kule Kimasihara ni km Bar au Maskani 😁😁😁
 
Sawa mkuu humu JF kuna kila aina ya vitu kuna muda mwingine unataka kuburudika na muda mwingine kujielimisha sasa wewe unatuingilia mpaka sehemu za kuburudika unaanza kutuelimisha.
Intelligence ni km Shule na kule Kimasihara ni km Bar au Maskani 😁😁😁
Kumbuka Mungu hataki shirki.. na shirki sio za giza tu, uchafu wowote ule Mungu ni Msafi na Mtakatifu..

Kumtumikia yeye huku unatumikia miungu ya ngono au ulevi HAIMPENDEZI.

Heri uchague Moto au Baridi...
 
HUJUI LOLOTE KUHUSU NENO LA MUNGU, PEPO LA UJUAJI NA KIHEREHERE NYAMAZAAAA.

HUJUI LOLOTE TULIA nikupashe.

Neno la MUNGU limepatikana kwa njia zote, ila njia kubwa ni MAONO (Maono ni tofauti na Njozi/Ndoto), njia nyingine ni Ndoto, Mungu kuwasiliana moja kwa moja na manabii (Kama Musa na Elisha) Lakini pia Maisha halisi.. mfano wana waisraeli KUTOKA utumwani kama ilivyoelezwa katika kitabu cha KUTOKA.

Hujui kitu
Mimi siamini ktk ndoto, biblia ni masimulizi ya ndoto ambazo watu walikuwa wakiota, sasa wewe unataka unieleweshe kwa kutumia ndoto hizo hizo, maana yake ni kwamba hakuna ulichojibu leta facts usilete ndoto
 
Mhubiri 5:3
Kwa maana ndoto huja kwa sababu ya shughuli nyingi; na sauti ya mpumbavu kwa njia ya wingi wa maneno.
 
Sawa jibu zuri....
Katika uislaam kuna nabii alioteshwa amchinje mwanae na mpaka leo kuna maadhimisho maalum inaitwa sikukuu ya kuchinja haya Hebu nipe uelewa wako kwenye hii ndoto ni ukweli au ndio ubongo ulikua umepumzika ukamuelekeza hvyo?
Ubongo ulikuwa unapumzika, pengine ndio akaota hivo, kimsingi ndoto ni uselles,
 
Mimi siamini ktk ndoto, biblia ni masimulizi ya ndoto ambazo watu walikuwa wakiota, sasa wewe unataka unieleweshe kwa kutumia ndoto hizo hizo, maana yake ni kwamba hakuna ulichojibu leta facts usilete ndoto
Kaka najua hili ni somo la philosophy ambalo na mie pia nna ujuzi nalo, naomba ni kuulize maswali mawili ndo ya ta niongoza jinsi ya kujadili nawewe:
1. In life every thing is probability true or false?.
2. There four/ three source of human knowledge one metaphysics, plz mention the other two/ three.

Naomba majawabu plz..... ili niku-prove kwamba some deams are reality
 
LUCKYDUBE.

Kumbe ile ya MFALME Farao na Yusuf niliyokupa kwenye lile jukwaa UMEINYAKA Japo kule hujajibu, umeamua kuja kujibu huku... Ubarikiwe pia.

Ngoja nikuambie.. Ndoto huja kutokana na mambo mengi sana, machache kati yao ni haya yafuatayo.

1.Mungu anapotaka kuzungumza na wewe.. Mungu Mtakatifu huzungumza na wanadamu kwa njia nyingi, Maono, Njozi/Ndoto, Neno lake TAKATIFU, ama hata kwa njia ya hali ya hewa ama kutumia watu ama wanyama na ndege...

2.Ndoto huja kama sehemu ya kuonyeshwa hali yako ya kiroho, vita na changamoto upitiazo... Hapa hata shetani ana weza kukuonyesha UCHAFU wake kusudi akutie najisi (USIPOTUBU, kimekuganda hicho).

3.Ndoto huja kama sehemu ya shughuli nyingi ambazo mwanadamu anakua nazo...

Ni JUKUMU LAKO wewe uliyeota kuitafuta Maana na Chanzo cha hiyo ndoto...

Hivyo si kila ndoto ni ya kupuuzwa kama ulivyoniambia kwenye ule uzi kisha ukakimbia.

Karibu
Maono ni aina ya ndoto ambayo mtu huota akiwa ktk hali ya RAPID EYE MOVEMENT (REM) ambayo ni hatua ya mwisho ya usingizi
the-four-stages-of-sleep-2795920_FINAL-5c05c2fc46e0fb00018dac3d.png


Una swali lingine?
 
1. In life every thing is probability true or false?.
Hii ni statment sio argument, alafu ina ambiguos terms, ili twende sawa anza kwa kudefine life ni nini? Then define probability!
According to your perception ndio tuanze kujadili.
2. There four/ three source of human knowledge one metaphysics, plz mention the other two/ three.
Mimi sio mtaalam wa falsafa, labda ungetoa facts kwa kutumia knowledge yako ili tuipime kama ina mantiki
 
Hii ni statment sio argument, alafu ina ambiguos terms, ili twende sawa anza kwa kudefine life ni nini? Then define probability!
According to your perception ndio tuanze kujadili.

Mimi sio mtaalam wa falsafa, labda ungetoa facts kwa kutumia knowledge yako ili tuipime kama ina mantiki
Nataka nijue you are a student of which theory? Kwasababu naona hapo unachaganya theory nyingi bila kuwa bayana, you are applying the theory of "if you cant convince them confuse them".......nataka kwanza nijue your source of knowledge/facts you base on ndo nipitie hapo hapo to prove you wrong.
 
Nataka nijue you are a student of which theory? Kwasababu naona hapo unachaganya theory nyingi bila kuwa bayana, you are applying the theory of "if you cant convince them confuse them".......nataka kwanza nijue your source of knowledge/facts you base on ndo nipitie hapo hapo to prove you wrong.
Source ni vitabu,
Mkuu wewe leta hoja acha kuelekeza target kusiko husika.
 
Source ni vitabu,
Mkuu wewe leta hoja acha kuelekeza target kusiko husika.
Mkuu usiwe kama layman vitabu are just tramission/preservation of knowledge has never been the source of human knowledge.......naomba unieleze the sources of knowledge you base on kusema kwamba ndoto are mere retrievals of brain with no any sort of reality?
 
Mimi siamini ktk ndoto, biblia ni masimulizi ya ndoto ambazo watu walikuwa wakiota, sasa wewe unataka unieleweshe kwa kutumia ndoto hizo hizo, maana yake ni kwamba hakuna ulichojibu leta facts usilete ndoto
Huna unalojuwa wewe.. nyamazaaa, WAKALA WA kuzimu wewe
 
Mkuu usiwe kama layman vitabu are just tramission/preservation of knowledge has never been the source of human knowledge.......naomba unieleze the sources of knowledge you base on kusema kwamba ndoto are mere retrievals of brain with no any sort of reality?
Naamini nikisema nikuelezee deep utachanganyikiwa tu bure mkuu labda kwa kukusaidia pitia uzi huu Akili ya binadamu unisome kwajza ndio urudi hapa kuuliza swali lako

NB hakikisha unasoma uzi wote
 
Back
Top Bottom