Ndoto ni matokeo ya ubongo kupumzika, hazina maana yeyote zipuuzeni

Ndoto ni matokeo ya ubongo kupumzika, hazina maana yeyote zipuuzeni

Ubongo unasiri kubwa sana, sema hatujui tu kuutumia. Imagine unakuotesha upo semu fulani nzuri mno yaan mazingira ni ya kijani, halafu upo peke yako. Cha ajabu toka uzaliwe hujawahi kufika/kuona sehemu hiyo.

Ifike tu mahali baada ya ndoto kuisha tuuambie ubongo hebu nipeleke live kule ulikonionesha. Shenz type
Mkuu ulishawahi kuona mchoro wa tembo mwenye mabawa?
baby-elephant-wings-engraving-vector-illustration-sketch-scratch-board-imitation-204899949.jpg

Hii inaitwa Arts
Yaani unatoa, kuongeza au kupunguza rangi au kiungo cha idea ya kitu flani unakipachika kwenye kitu kingine, lakini kiuhalisia hakuna kitu kama hicho,
Ubongo unauwezo wa kufanya hiyo kitu mtu akiwa ktk hali ya usingizi au ndoto yaani ina extend idea ya kitu flani
 
Mkuu hapa umechemka kidogo,binafsi naaamini kuwa ndoto Zina maana kubwa sana,kwa upande wangu asilimia 70 ya ndoto zangu huwa Ni kweli,Kuna Kaka yangu aliota ndoto mwaka 2010 akaniambia kuwa nimeota Tanzania imetawaliwa na mwanamke,binafsi nilimpinga na niliona kuwa haiwezekani lakini ukweli umekuja kuonekana,Leo hii tuko chini ya utawala wa mwanamke!!!

Juzi tu Kaka yangu kaniambia ameota kuwa nchi yetu viongozi wa juu wote,yaani prime minister,makamu wa rais na rais mwenyewe wote watakuja kuwa wa wakiume na akadai kuwa mpango ambaye Ni makamu wa rais atakuwa rais hili bado narisubiria,

Lakini akadai kuwa yote hayo yatatokea katika Hali ya sintofahamu.

But tuzidi kumwomba Allah atupishilie mbali Mambo haya!!!!
Ulishawahi kubet?
 
Mkuu ulishawahi kuona mchoro wa tembo mwenye mabawa? View attachment 1914831
Hii inaitwa Arts
Yaani unatoa, kuongeza au kupunguza rangi au kiungo cha idea ya kitu flani unakipachika kwenye kitu kingine, lakini kiuhalisia hakuna kitu kama hicho,
Ubongo unauwezo wa kufanya hiyo kitu mtu akiwa ktk hali ya usingizi au ndoto yaani ina extend idea ya kitu flani
Daaah hakika kweli mkuu.
 
Ndio mkuu, nitafurahi sana
Pitia huu uzi
 
Habari wakuu,

Kama unaota unakimbizwa na majini, unaota mtoto wako wa kumzaa sio wako, unaota upo darasani mnafundishwa na lecturer ilihali ulishamaliza chuo kitambo na upo kazini tayari, unaota ndugu yako kafariki, unaota umekuwa Raisi wa JMT ili hali hujawahi kuwa hata barozi wa nyumba kumi n.k
View attachment 1912293

Puuza hizo ni ndoto tu hazina maana yeyote, usihangaike kutafuta mtu akutafsirie atakujaza ujinga na imani mbovu mbovu,

Mtu anayeamini ktk ndoto hana utofauti na yule anayeamini kuwa dunia ni bapa, hana utofauti na mtu anayeamini kuwa ukiwa vitani ukitamka neno maji risasi zinazopigwa kuelekea kwako zitageuka kuwa maji.

Hii thread itaendeshwa kwa njia/mtindo wa maswali, maana nikisema nianze kueleza kila kitu ni ngumu sana kumaliza kueleza mambo yote maelezo ni mengi sana, ila maswali yataniguide na nitafafanunua kiundani zaidi (deep) kila mtu ataelewa vizuri kabisa.

Nakaribisha maswali.​
Upon sawia kabisa ndoto siyo lolote wala chochote . Ndoto ni mkusanyiko wa mambo ambayo unakuwa ukiyawazia na kuyafikiria wakati ukiwa ktkshughuli za kila siku. Hivyo unapolala ubongo unapopumzika unaanza kuota ndoto ambazo chimbuko lake ni mawazo ya siku kabla ya kulala. Hayo ni mawazo yangu tu.
 
Pitia huu uzi
Mkuu uzi umeshiba sana huu, shukrani nyingi zikufikie[emoji120][emoji120]
 
Upon sawia kabisa ndoto siyo lolote wala chochote . Ndoto ni mkusanyiko wa mambo ambayo unakuwa ukiyawazia na kuyafikiria wakati ukiwa ktkshughuli za kila siku. Hivyo unapolala ubongo unapopumzika unaanza kuota ndoto ambazo chimbuko lake ni mawazo ya siku kabla ya kulala. Hayo ni mawazo yangu tu.
Uoo sahihi unaukaribia ukweli
 
Vipi kuhusu ndoto zinazootwa na kutokea?
 
Habari wakuu,

Kama unaota unakimbizwa na majini, unaota mtoto wako wa kumzaa sio wako, unaota upo darasani mnafundishwa na lecturer ilihali ulishamaliza chuo kitambo na upo kazini tayari, unaota ndugu yako kafariki, unaota umekuwa Raisi wa JMT ili hali hujawahi kuwa hata barozi wa nyumba kumi n.k
View attachment 1912293

Puuza hizo ni ndoto tu hazina maana yeyote, usihangaike kutafuta mtu akutafsirie atakujaza ujinga na imani mbovu mbovu,

Mtu anayeamini ktk ndoto hana utofauti na yule anayeamini kuwa dunia ni bapa, hana utofauti na mtu anayeamini kuwa ukiwa vitani ukitamka neno maji risasi zinazopigwa kuelekea kwako zitageuka kuwa maji.

Hii thread itaendeshwa kwa njia/mtindo wa maswali, maana nikisema nianze kueleza kila kitu ni ngumu sana kumaliza kueleza mambo yote maelezo ni mengi sana, ila maswali yataniguide na nitafafanunua kiundani zaidi (deep) kila mtu ataelewa vizuri kabisa.

Nakaribisha maswali.​
Habari wakuu,

Kama unaota unakimbizwa na majini, unaota mtoto wako wa kumzaa sio wako, unaota upo darasani mnafundishwa na lecturer ilihali ulishamaliza chuo kitambo na upo kazini tayari, unaota ndugu yako kafariki, unaota umekuwa Raisi wa JMT ili hali hujawahi kuwa hata barozi wa nyumba kumi n.k
View attachment 1912293

Puuza hizo ni ndoto tu hazina maana yeyote, usihangaike kutafuta mtu akutafsirie atakujaza ujinga na imani mbovu mbovu,

Mtu anayeamini ktk ndoto hana utofauti na yule anayeamini kuwa dunia ni bapa, hana utofauti na mtu anayeamini kuwa ukiwa vitani ukitamka neno maji risasi zinazopigwa kuelekea kwako zitageuka kuwa maji.

Hii thread itaendeshwa kwa njia/mtindo wa maswali, maana nikisema nianze kueleza kila kitu ni ngumu sana kumaliza kueleza mambo yote maelezo ni mengi sana, ila maswali yataniguide na nitafafanunua kiundani zaidi (deep) kila mtu ataelewa vizuri kabisa.

Nakaribisha maswali.​
Sayansi gani unayoishi iliyoshindwa kukupa uhalisia wako,kesho yako,kukuepusha na misukosuko ya kimaisha,yani inashangaza mtu hata hujui kesho utaamkaje unajinadi unaishi kisayansi,hujui chochote kuhusu ndoto,kwanza watu walio na uelewa wa haya maisha tunayopambana nayo kiroho na kimwili akisoma ulichoandika inasikitisha sana.ndoto ziko hadi kwenye vitabu vitakatifu ,hongera wewe mwanasayansi maana wanaofuata maandiko matakatifu ni washamba.
 
Ushawahi ota umeokota hela ukiwa ndotoni huko huko ukazishikilia ili ukiamka uamke nazo?

Mkuu ndoto za kweli zipo ila hazijawa based on prediction, au visions kama wengi wanavyo tudanganya, mathalani kama unaota unakojoa basi hiyo ni live streaming ukiamka unaikuta ishakua offline

Kuna siku geto niliishiwa maji ya kunywa, nikalala usiku nikiwa na kiu kikali sana. Nikiwa nimelala nikaota niko porini jua kali kiu kimenibana nikabahatika kuona makazi ya watu ila huwezi amini kila naye muomba maji anani nyima na maji nayaona yalee
Sasa huoni kama hii ndoto yako ilikuwa na maana?

Mleta mada anasema ni sehemu ya ubongo kupumzika. Sasa hebu twambie hii ndoto yako ilikuwa inapumzik kitu gani na huku unaota uhalisia kabisa.?
 
Sasa huoni kama hii ndoto yako ilikuwa na maana?

Mleta mada anasema ni sehemu ya ubongo kupumzika. Sasa hebu twambie hii ndoto yako ilikuwa inapumzik kitu gani na huku unaota uhalisia kabisa.?
Ndoto kuwa na maana ni tofauti na kutabiri, concept yangu ni kuhusisha ndoto na habari za maono (kuona tukio ambalo linakuja mbele)

Watafiti bado wanaendelea kujifunza mengi kuhusiana na usingizi na matokeo yake, japo tumejifunza mengi sana kuhusiana na usingizi lakini yapo mengi tusiyoyajua kuhusiana na usingizi. Kwenye mzunguko wa usingizi vitu vingi zikiwemo kemikali za ubongo zinahusika kama neurotransmitters ambayo huzisaidia nerves ziweze kuwasiliana

Kwa hiyo maoni yangu kuhusu usingizi yanaweza tofautiana na maoni ya mtu mwingine lakini haimaanishi kua mmoja kapotosha, hapana hili ni jambo lenye wigo mpana kila mmoja anaweza kuelezea part yake ambayo kaielewa vizuri. Mfano kupitia hoja ya mtoa mada ukiidadisi utaona ina relate na kitu kinacho itwa REM SLEEP
 
Sayansi gani unayoishi iliyoshindwa kukupa uhalisia wako,kesho yako,kukuepusha na misukosuko ya kimaisha,yani inashangaza mtu hata hujui kesho utaamkaje unajinadi unaishi kisayansi,hujui chochote kuhusu ndoto,kwanza watu walio na uelewa wa haya maisha tunayopambana nayo kiroho na kimwili akisoma ulichoandika inasikitisha sana.ndoto ziko hadi kwenye vitabu vitakatifu ,hongera wewe mwanasayansi maana wanaofuata maandiko matakatifu ni washamba.
Kwa comment hii Huu uzi sio saizi yako
 
kuna jama yuko muhumbili alipata ajali..na amepoteza kumbu kumbu zote isipokuwa maneo mawili...Nyasubi na kahama ndio anayotamka..huyu unamzungumziaje mkuu..
 
Back
Top Bottom