Mi jana nimeota naolewa na michango ishatolewa lakin muoaji simuoni na simjui hata jina halaf watu wamejaaa wana shangweee,mi nikawa nashangaa mbona naolewa halaf mwanaune simjui wala simuoni mahala pa tukio,nikashtukaa .je maana yake nini1. Kuna mtego umetegewa huenda ukanasa, jitahidi kuwa makini na marafiki na watu wanaokuzunguka.
Kama ni ndoto itokayo kwa Mungu, inamaanisha Jambo hilo Mungu alitimiza kwa upesi na amelithibitisha.. La sivyo unakuta ni ndoto tu ambazo zinasababishwa na mawazo au shughuli zako za kila sikukutafsiri ndoto ni elimu pana sana ndugu, sio kama unavyodhani. Kuna mawili hapo. Kuna ndoto unazoota kwa kurejea kumbukumbu za mchana, huweza kujirudi kutegemeana na shughuli na fikra za mambo ya mchana.
Kama ndoto sio ya mrejesho wa shughuli za mchana, basi ni ya kiroho, hapo sasa lazma ujue ndoto uliotaje, kuna sababu nyingi sana ya kujirudia ndoto kutegemea na kile mtu alichoota.
Karibu sana rofejo ndugu yangu
Kuna mipango uliyoipanga maishani mwako,,, hutaweza kuikamilishaNa mie nasubiri maana ya ndoto hii
Hiyo ni ndoto mbaya,,, unaoneshwa namba ambavyo maisha yako hayakui kimafanikio,, umebaki eneo moja kwa mida mrefumimi naotaga sana mambo ya shule ya msingi kabisa...
ila nafikiri ni mkusanyiko wa mawazo ya shule ya mchana kutwa
..
maana mm binafsi nmeshindwa kuendelea na shule kwahiyo nakua naumia ndo mana naota ota
Hata mimi ndoto ya shule inajirudia siku ya leo nitamuomba YEHOVA anivusheUMEKWAMA SEHEMU KATIKA MAISHA YAKO KUNA SEHEMU BADO HUJAVUKA KATIKA ULIMWENGU WA ROHO, KATIKA PHYSICAL WORLD UNAWEZA KUJIONA TIYARI LAKINI SHETANI AMEBANA MUDA WAKO BADO UPO KISHULE YA MSINGI, FANYA MAOMBI YA KUMWOMBA MUNGU ARUDISHE KILICHOLIWA NA TUNUTU, NA MADUMADU NA PARARE NA NZIGE. HATA MIMI LILISHAWAHI KUTOKEA NIKAMWOMBA MUNGU AKANIRUDISHIA NA SASA NIMEVUKA NAFANYA MUNGU ANACHONIELEKEZA. NDOTO SIO KITU CHA MCHEZO MCHEZO LILE NI FUMBO NA KULITANGUA UNAMWITAJI MUNGU, NIMEONGEA KWA UZOEFU WANGU KUWA MAKINI NA TAFSIRI UNAZOPEWA
Mizimu ya kwao inamsumbua,,, ukifanya mchezo hiyo ndoa itavunjika very soonMke wangu amekuwa anaota sana ndoto na inamrudiarudia.
Kwamba ameenda nyumba yao ya zamani walipokuwa wanaishi na wakati fulani anakuwa na mtu anamuita na anakuwa anaona mazingira yale ya nyumbani kwao ya zamani kabla hawajahama.
Je hii inamaana gani?
Mhhhh tumeishatengana tayari na tunakaribia talaka. Very sadMizimu ya kwao inamsumbua,,, ukifanya mchezo hiyo ndoa itavunjika very soon
Ooh pole sana,,,Naweza kurejesha tena hiyo ndoa,,, je bado unamuhitajiMhhhh tumeishatengana tayari na tunakaribia talaka. Very sad
Umekwama kimaisha,,, haufikii malengo uliyoyakusudia,,,, kiingereza wanaita procrastinationukiota bdo uko shule ya msingi na sekondar unasoma na ili hali ulishapita ngaz hiyo ya elimu ulishamaliza hadi chuo...na kujirudia kila mara...
tafsir yke nn???
Suluhisho ni nn apo??.Umekwama kimaisha,,, haufikii malengo uliyoyakusudia,,,, kiingereza wanaita procrastination
Bado namhitaji haswaa, but how mkuu?Ooh pole sana,,,Naweza kurejesha tena hiyo ndoa,,, je bado unamuhitaji
DeliveranceSuluhisho ni nn apo??.
Njoo pmBado namhitaji haswaa, but how mkuu?
Periodmtu anaumwa na ukaota amefariki...tena anazikiwa maana yke nn???
cjakuelewa mkuuPeriod
Pitia comments za hapo juuPeriod
SOMA COMMENTB YANGU HAPO JUUukiota bdo uko shule ya msingi na sekondar unasoma na ili hali ulishapita ngaz hiyo ya elimu ulishamaliza hadi chuo...na kujirudia kila mara...
tafsir yke nn???
NAOMBA ISIWE NI MAOMBI YA SIKU MOJA MAANA KWANGU ILICHUKUA MDA SANA MPAKA MUNGU ALIPONIDHIBITISHIA KABISA NIMEVUKA. MIMI HAIKUWA TUU KUWA MAZINGIRA YA SHULE NIMEMALIZA CHUO ILA NAJIONA NIKIFANYA MITIHANI NAFELI SANA JAPO NIMEMALIZA CHUO KWA HIYO KWA MIEZI ZAIDI YA MITANO NILIKUWA NAFANYA YA STAILI HIYO MPAKA NILIPOVUKA. UWAOMBE NA WENGINE WAKUBEBE KWENYE MAOMBI, KAMA HUTAJALI NI PM TUBEBEANE HUO MZIGO PAMOJAHata mimi ndoto ya shule inajirudia siku ya leo nitamuomba YEHOVA anivushe