Ndoto tunazoota na tafsiri zake

Nipe tafsiri yandoto hii. Naota nipo sokoni… kuna mtu anagawa pesa kwasiri polisi wasijue. Ilipofika zam yangu nikapokea pesa. Hapohapo polisi wakatokea wakaanza kunifukuzia. Ila chakushangaza nilikua nakimbia ila sitoki kwenye nipo. Najiraidi kukimbia ila sitoki chini. Nipe tafsiri ya iyo mkuu.
 
Kiukweli ndoto namba 3 kwangu imekuwa kiwazo katika maendeleo yangu,mimi mimemaliza degree yangu ila mara nyingi nikiota nafanya mtihani wa kidato cha nne na sijui lolote lile au kuna mtihani unakuja wasomo fulani alafu sijawahi kusoma hilo somo au kuingia katika kipindi cha hilo somo basi haitochukua miezi kadhaa nitafukuzwa kazi hii imetokea mara mbili, mara yakwanza niliota then baada ya miezi miwili nikafukuzwa kazi kwakosa ambalo silo langu kabisa ila sikuelewa au kuunganisha ndoto na matokeo ya kufukuzwa kazi, mara yapili niliota na nikafukuzwa kazi ndipo hapo nilipoelewa ile maana ya ndoto ila kwamara ya pili nilianza kujiandaa mapema kwani nilianza kuhisi uhusiano wandoto na maisha yangu ya kazi, hivyo naomba mtu ambaye anaweza kujua njia ya kuicontrol ndoto ili iweze kuibadilisha kwenda kwenye matakwa yangu
 
Mimi kuna siku niliota nipo katika shamba kubwa lililozingirwa na sengenge(uzio wa waya) likiwa na walinzi wenye silaha,upande wa pili kulikua na soko watu walikua wakiuza na kununua ghafla ilitokea kitu kama kunyakuliwa watu kutoweka ghafla na kuacha mavazi yao. badhi ya watu walipotea na wengine wakabakia.
kisha ndege za kivita zikapita zikilipua watu walihangaika kujitetea na kuokoa maisha yao.wengi waliuwawa mimi nililala chini na kutembea na tumbo na kupita katika uzio kuelekea walipokua wale walinzi waliokua wakishambulia kwa silaha watu nilipotoka nilikimbilia nami ghafla nikapotea nakujikuta sehemu yenye amani,watu wakiwa na furaha sana.


ndoto ya pili.
Niliota nipo na mwanamke mjamzito nampeleka Hospital tukiwa tunatembea niligeuka nyuma na kuona jitu linalotisha likitufata nililishinda jitu ilo kwa sala niliponyoosha mkono likaungua na moto,kisha ikanyanyuka ngome ya ajabu kubwa pembeni ya njia tuliyokua tunapita yakawa yapo mengine nilinyoosha mkono zikashuka radi kubwa yenye miali ya moto mbele ikiwa kama jiwe kubwa liwakalo moto na miale ya Shoti ya umeme,yakashuka na kupiga ile ngome na kuivunja vunja yote hadi ikawa mavumbi wala hapakua na jiwe lililobaki. nikashtuka katika ndoto nilihisi kama mtu anaongea nami akatasema utavunja ngome zote. kisha pakawa kimya.
 
HABARI, NIMEOTA NINA URAFIKI NA JAJI NINI TAFSIRI YAKE
 
Duuh
 
Amani iwe juu yenu





leo nawapa tafsiri ya ndoto hii ya kupaa au kuruka na kwenda hewani



Ndoto hii huotwa sana na watu wenye ustaarabu au wapole na wenye dalili za mafanikio au wenye mipango mikubwa inayokwama



Kuota unapaa kama wewe ni mtegemeaji kazi za vibarua na kazi za kuitwa ukiiota mara moja ndoto hii utaitwa kazini au kibaruani



Kuota ndoto hii mara moja ni dalili ya kufanikiwa



Kuiota mara kwa mara ni dalili ya kusumbuliwa na jini subiani mbaya na huyu huwa katika kundi la jini mahabba na hapa ndo utaona mambo hayaendi yamekwama kila ufanyalo huishia kupata hasara



Ndoto hii pia huiota mtu mwenye kuumwa mara kwa mara na hasa wale wanaoumwa sana vichwa miguu na mikono



Ndoto hii unapoiota unakimbizwa kisha ukapaa ni dalili ya kumshinda mpinzani wako au adui yako



Kadhalika kuiota unakimbizwa na mbwa au simba ni dalili ya uadui lakini utaushinda uadui huu



Ndoto hii ni ndoto nzuri na mbaya



Nzuri ukiiota mara moja moja



Mbaya ukiiota mara kwa mara.
 

Mimi nimeshaota napaa zaidi ya maramoja
Are you serious ndugu yangu ukiota unapaa ni mikosi
Yaani ulichoandika kama kinanilenga hasa suala la upole
 
Mimi nimeshaota napaa zaidi ya maramoja
Are you serious ndugu yangu ukiota unapaa ni mikosi
Yaani ulichoandika kama kinanilenga hasa suala la upole
Zaidi ya mara moja mkuu muone dokta tafadhali akuepushe
 
Msiopata usingizi saa hizi mwambie mwenzi wako akupe "Valium au piriton" aka mashindo mmoja mkimaliza tu kila mmoja chali mtaanza kukoroma
 
Wewe umesha pewa valium? mbona ujakoroma
 
Mimi kila siku naota nipo shule tena secondary tafsiri yake huwa ni nini
Tafsiri yake ni kuwa uko shule na unapenda sana kula chipsi yai sasa acha kwa kuwa madhara ya chipsi ni mimbaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…