nizakale
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,035
- 2,938
We ni nani mpaka useme lazima ? Wenye nchi wakiamua itakuwa lakini usiseme lazima.Point kubwa na Geographical difficulties na sio umbali pekee..
Ingekuwa Ni umbali pekee,Wilaya ya Tunduru ingekuwa Mkoa.
Mwisho Morogoro lazima igawanywe na Mkoa wa Kilombero utakuwa sehemu ya Nyanda za Juu Kusini