Ndoto za Wanafunzi "Mashahidi" Waliouawa na uvamizi wa Mazayuni

Ndoto za Wanafunzi "Mashahidi" Waliouawa na uvamizi wa Mazayuni

Kwamb kwako mtz hana thaman kbs alipaswa auawe ? Hv watz mmelogwa na nan ?
Uwe unasoma na kuelewa kijana nyie vijana mnashida gani
Nioneshe sehem moja tu nimefurahia kuuwawa raia achilia mbali mtanzania raia yeyeote tu yule
Uwe unasoma nakuelewa
 
Katika wale watanzania 2 unaonaje tumuombe sir god arudishe zile roho zilizopotea bila sababu kisa upumbavu na interest za wajinga wachache harafu achukue roho ya baba yako na mama yako si wawili tu ili tuione furaha yako mjamzito wa mawazo wewe
 
Shida yako hujijui kama mjinga ungekua unajijua kua mjinga wala huu ujinga wako usingeuandika
Lini hams waliivamia israhell au unaropoka ropoka
Hakuna mpalestina anaejuta wote wanajua kua kuutetea uhuru wako sio kazi rahisi nawapo tayari kwahilo
Kama kujuta unajuta wewe mzayuni wa afrika mashariki tokea jf
Dini inakutia ujinga sana
 

Attachments

  • 38b1f17b7eb058cc832ac78530fdb43b.mp4
    17.2 MB
Lini hams waliivamia israhell au unaropoka ropoka
Hakuna mpalestina anaejuta wote wanajua kua kuutetea uhuru wako sio kazi rahisi nawapo tayari kwahilo
Kama kujuta unajuta wewe mzayuni wa afrika mashariki tokea jf
Tarehe 7/10/2023 hamas walifanya nini israel. Fala wewe
 
Ningekuwa mods ungekula ban ya milele. Shuaini zako wameuwawa watamzania wawili bila hatia unaleta porojo za udini hapa kisa hawakuwa wa dini pendwa yako.

Nawapa pole wanafamilia, kila nafsi itaonja umauti

N iwe fundisho kwa wengine kupeleka vijana kwa magaidi, wale sio watu wazuri.

Ingelikua wapo mikononi mwa Hamas/freedom fighters wala kusingekua na tabu yoyote, wangerudi salama salmini.
 
Wewe ni miongoni mwa wahubiri wanaofanya uhamasishaji wa kipuuzi wa misimamo ya Chuki za Kidini. Nafikiri umesikia mvua zinazoendelea kuwanyeshea wenzako huko Arusha wenye misimamo potofu kama yako.
Tanzania tuna Uhuru wa Kuabudu licha ya kwamba Katiba yenyewe inayotupatia uhuru huo ina mushkeli.

Sina chuki, ni mawazo yako tu ndio yanakupelekea uamini hivyo

Kuhusu arusha sijui, jikite kwenye mada
 
Ndio maana tunamsikitikia mtanzania aliyekufa, maana hao wengine sio maiti, Bali wanashangilia neema za Allah, hongera IDF kusabababisha watu kupata neema za Allah, na OLE wenu Hamas kwa kumuua mtanzania mwenzetu, bila shaka Mungu atawalipa chini ya jua hili

Nabii wa Mwisho ni Nabii Muhammad S.A.W

Ndio iwe fundisho kwa wengine kupeleka vijana kwa magaidi wasio na huruma, kama wangelikua chini ya Hamas mbona wangerudi salama salmini!

Palestine 🇵🇸 will be free in shaa Allah
 
View attachment 2843958
Halafu anakuja mtu from nowhere anaumia na kifo cha mtanzania mmoja!
View attachment 2843959
2 days ago

Inasikitisha sana kuona watu wasio na hatia wakiuawa, wakijeruhiwa na wengine kuachwa wakiwa katika ulemavu ilhali kuna watanzania wanafurahia!

Lakini pia msifikiri waliokufa ni maiti, Laa👇
وَلَا تَحْسَبَنَّ الَّذِينَ قُتِلُوا فِي سَبِيلِ اللَّهِ أَمْوَاتًا ۚ بَلْ أَحْيَاءٌ عِنْدَ رَبِّهِمْ يُرْزَقُونَ
169 Al-'imran(The Family of Imran)
Wala kabisa usiwadhanie walio uliwa katika Njia ya Mwenyezi Mungu kuwa ni maiti. Bali hao ni wahai, wanaruzukiwa kwa Mola wao Mlezi.

فَرِحِينَ بِمَا آتَاهُمُ اللَّهُ مِنْ فَضْلِهِ وَيَسْتَبْشِرُونَ بِالَّذِينَ لَمْ يَلْحَقُوا بِهِمْ مِنْ خَلْفِهِمْ أَلَّا خَوْفٌ عَلَيْهِمْ وَلَا هُمْ يَحْزَنُونَ
170 Al-Imran
Wanafurahia aliyo wapa Mwenyezi Mungu kwa fadhila yake, na wanawashangilia wale ambao bado hawajajiunga nao, walio nyuma yao, ya kwamba haitakuwa khofu juu yao wala hawatahuzunika.

يَسْتَبْشِرُونَ بِنِعْمَةٍ مِنَ اللَّهِ وَفَضْلٍ وَأَنَّ اللَّهَ لَا يُضِيعُ أَجْرَ الْمُؤْمِنِينَ
171 Al-Imran
Wanashangilia neema na fadhila za Mwenyezi Mungu, na ya kwamba Mwenyezi Mungu hapotezi ujira wa Waumini

الَّذِينَ اسْتَجَابُوا لِلَّهِ وَالرَّسُولِ مِنْ بَعْدِ مَا أَصَابَهُمُ الْقَرْحُ ۚ لِلَّذِينَ أَحْسَنُوا مِنْهُمْ وَاتَّقَوْا أَجْرٌ عَظِيمٌ
172 Al-Imran
Walio mwitikia Mwenyezi Mungu na Mtume baada ya kwisha patwa na majeraha - kwa walio fanya wema miongoni mwao na wakamchamngu utakuwa ujira mkubwa

Nitawashangaa sana Mods wakiuhamisha ama kuufuta uzi huu
Pumbafu, mtanzania anathamani kuliko mpaleatina na myahudi. Wafe wote lakini mtanzania mmoja ni wathamani sana. Ukizingatia hakuwa sehemu ya mapigano. Wapalestina wameua wayahudi,nao wayahudi wanaua wapalestina. Damu hulipwa kwa damu.
 
Unadhani kua mod jambo dogo
Pole kijana yafundishe macho yako na masikio kupenda kusikia na kuyaona wasio yapenda hata kama yanachoma
Hamas kamatieni hapo hapo

Yani kuna watu wanaumia sana kuona IDF wanauawa, nahofia tu wasipate heart attack
 
Pumbafu, mtanzania anathamani kuliko mpaleatina na myahudi. Wafe wote lakini mtanzania mmoja ni wathamani sana. Ukizingatia hakuwa sehemu ya mapigano. Wapalestina wameua wayahudi,nao wayahudi wanaua wapalestina. Damu hulipwa kwa damu.

Punguza hasira ewe myahudi mweusi

Unathubutuje kusema mtanzania ana thamani kumzidi mpalestina! Mara oh muisrael mmoja sawa na wapalestina 10! Hivi unaelewa unachokiongea!

Fuatilia historia ya palestina na hao magaidi waliomuuwa kijana wetu Mollel, na sio kuongea usichokijua
 
Mjinga wa kwanza ni wewe, hamas ndio waliovamia Israel na virocket vyao. Israel wanajitetea mnalalamika. Nakushauri ilaumu hamas. Palestine wanajuta kuwakumbatia hamas
Mkuu ukitaka kujua ukweli wa mambo kwanza unatakiwa mahaba uyaweke pembeni ujitahidi kuwa neutral kisha ufanye utafiti kwa pande zote 2 pasi na kuelemea upande mmoja.
Katibu mkuu wa umoja wa mataifa aliweka wazi kua kilichotokea october7 sio kitu kilichokuja tu kwa kushtukiza.
Guterres said, to acknowledge that “the attacks by Hamas did not happen in a vacuum.” “The Palestinian people have been subjected to 56 years of suffocating occupation.
Zaidi ya miaka 50 ya occupation wayahudi hua wanafanya mauaji ya wapalestina kila wanavyojisikia.
Takwimu za umoja wa mataifa kwa mwaka huu tu 2023 kuanzia january mpaka September kabla ya hio october7 zaidi ya wapalestina 400 wameuliwa na serikali ya Israel, maelfu wameshikiliwa kwenye majela ya Israel wakiwepo na watoto kibao kwa kesi za kubambikiwa, mamia ya majumba ya wapalestina yamebolewa ili kujenga makazi ya wayahudi na pia wengine wananyang'anywa nyumba zao kisha wanapewa walowezi wa kizayuni wanaokuja kutoka ulaya.
Kwa kukusaidia tu sitakupa link a/c za wapestina unaweza kusema wanawasingizia wayahudi bali nakupa hii hapa link ya wayahudi wenyewe wanaelezea madhila na ukatili wanaoupitia wapalestina kutoka kwenye serikali ya kikaburu ya israel Login • Instagram
 
Magaidi hamas ndio wamewaua vijana wetu
Nawapa pole wanafamilia, kila nafsi itaonja umauti

N iwe fundisho kwa wengine kupeleka vijana kwa magaidi, wale sio watu wazuri.

Ingelikua wapo mikononi mwa Hamas/freedom fighters wala kusingekua na tabu yoyote, wangerudi salama salmini.
 
Back
Top Bottom