Ndoto za Wanafunzi "Mashahidi" Waliouawa na uvamizi wa Mazayuni

Ndoto za Wanafunzi "Mashahidi" Waliouawa na uvamizi wa Mazayuni

Mkuu ukitaka kujua ukweli wa mambo kwanza unatakiwa mahaba uyaweke pembeni ujitahidi kuwa neutral kisha ufanye utafiti kwa pande zote 2 pasi na kuelemea upande mmoja.
Katibu mkuu wa umoja wa mataifa aliweka wazi kua kilichotokea october7 sio kitu kilichokuja tu kwa kushtukiza.
Guterres said, to acknowledge that “the attacks by Hamas did not happen in a vacuum.” “The Palestinian people have been subjected to 56 years of suffocating occupation.
Zaidi ya miaka 50 ya occupation wayahudi hua wanafanya mauaji ya wapalestina kila wanavyojisikia.
Takwimu za umoja wa mataifa kwa mwaka huu tu 2023 kuanzia january mpaka September kabla ya hio october7 zaidi ya wapalestina 400 wameuliwa na serikali ya Israel, maelfu wameshikiliwa kwenye majela ya Israel wakiwepo na watoto kibao kwa kesi za kubambikiwa, mamia ya majumba ya wapalestina yamebolewa ili kujenga makazi ya wayahudi na pia wengine wananyang'anywa nyumba zao kisha wanapewa walowezi wa kizayuni wanaokuja kutoka ulaya.
Kwa kukusaidia tu sitakupa link a/c za wapestina unaweza kusema wanawasingizia wayahudi bali nakupa hii hapa link ya wayahudi wenyewe wanaelezea madhila na ukatili wanaoupitia wapalestina kutoka kwenye serikali ya kikaburu ya israel Login • Instagram
Sijaona utafiti wowote kwenye huu ufafanuzi wako. Ili kuwa neutral vizuri, utafiti wako kuhusu Israeli usianzia hiyo miaka 56 unayosemea, nenda zaidi ya hapo. Mungu alipoumba watu, aliwapa maeneo yao ya kuishi.
Hoja ya kuwa mashambulizi ya Hamas yalikuwa yanatazamiwa inaweza kuwa sawa, isipokuwa, kama aliweza kutabiri mashambulizi ya Hamas pia alipaswa kutabiri majibu ya Israel yangekuwaje.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Dini zote ni uongo mtupu..... ila Uislam ni janga la Dunia

Uislam ndio dini inaongoza kwa ukatili usiobadilika kwasababu ya mafundisho yao ya kitabu cha Mudi

Hakika Mudi alijua kuwajaza ujinga hawa waungwana..... ogopa sana mtu anayeona anachotaka yeye ndio haki ya Mungu wake na akikipigania akafa anakwenda kula bata la milele peponi plus mabikira 72
Yaani anapigana akishinda kheri akifa kheri zaidi..... huu ujinga unai cost sana dunia hii
 
Sijaona utafiti wowote kwenye huu ufafanuzi wako. Ili kuwa neutral vizuri, utafiti wako kuhusu Israeli usianzia hiyo miaka 56 unayosemea, nenda zaidi ya hapo. Mungu alipoumba watu, aliwapa maeneo yao ya kuishi.
Hoja ya kuwa mashambulizi ya Hamas yalikuwa yanatazamiwa inaweza kuwa sawa, isipokuwa, kama aliweza kutabiri mashambulizi ya Hamas pia alipaswa kutabiri majibu ya Israel yangekuwaje.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app

Mkuu binafsi nina tatizo sana na imani zenu za Mungu
Mungu hayupo na hajampa mtu yeyote aridhi fulani aitawale....... yaani dunia yote hii ni waisrael tu ndio wamepewa aridhi?

Katibu mkuu ameongea kitu kikubwa sana ni vile tu hatutaki kufikiri nje ya imani zetu

Wapalestina wameishi pale kwa miaka zaidi ya 600 yaani vizazi zaidi ya 10 halafu unakuja kuwaondoa na kuwafungia Gaza kwenye gereza la wazi.... hakuna future hakuna nini....
Kisa tu vitabu vyako vya imani vinasema Mungu wako alikupa hiyo aridhi miaka isiyojulikana.... huu ni upuuzi
 
View attachment 2843958
Halafu anakuja mtu from nowhere anaumia na kifo cha mtanzania mmoja!
View attachment 2843959
2 days ago

Inasikitisha sana kuona watu wasio na hatia wakiuawa, wakijeruhiwa na wengine kuachwa wakiwa katika ulemavu ilhali kuna watanzania wanafurahia!

Lakini pia msifikiri waliokufa ni maiti, Laa👇
وَلَا تَحْسَبَنَّ الَّذِينَ قُتِلُوا فِي سَبِيلِ اللَّهِ أَمْوَاتًا ۚ بَلْ أَحْيَاءٌ عِنْدَ رَبِّهِمْ يُرْزَقُونَ
169 Al-'imran(The Family of Imran)
Wala kabisa usiwadhanie walio uliwa katika Njia ya Mwenyezi Mungu kuwa ni maiti. Bali hao ni wahai, wanaruzukiwa kwa Mola wao Mlezi.

فَرِحِينَ بِمَا آتَاهُمُ اللَّهُ مِنْ فَضْلِهِ وَيَسْتَبْشِرُونَ بِالَّذِينَ لَمْ يَلْحَقُوا بِهِمْ مِنْ خَلْفِهِمْ أَلَّا خَوْفٌ عَلَيْهِمْ وَلَا هُمْ يَحْزَنُونَ
170 Al-Imran
Wanafurahia aliyo wapa Mwenyezi Mungu kwa fadhila yake, na wanawashangilia wale ambao bado hawajajiunga nao, walio nyuma yao, ya kwamba haitakuwa khofu juu yao wala hawatahuzunika.

يَسْتَبْشِرُونَ بِنِعْمَةٍ مِنَ اللَّهِ وَفَضْلٍ وَأَنَّ اللَّهَ لَا يُضِيعُ أَجْرَ الْمُؤْمِنِينَ
171 Al-Imran
Wanashangilia neema na fadhila za Mwenyezi Mungu, na ya kwamba Mwenyezi Mungu hapotezi ujira wa Waumini

الَّذِينَ اسْتَجَابُوا لِلَّهِ وَالرَّسُولِ مِنْ بَعْدِ مَا أَصَابَهُمُ الْقَرْحُ ۚ لِلَّذِينَ أَحْسَنُوا مِنْهُمْ وَاتَّقَوْا أَجْرٌ عَظِيمٌ
172 Al-Imran
Walio mwitikia Mwenyezi Mungu na Mtume baada ya kwisha patwa na majeraha - kwa walio fanya wema miongoni mwao na wakamchamngu utakuwa ujira mkubwa

Nitawashangaa sana Mods wakiuhamisha ama kuufuta uzi huu
Hakuna Taifa duniani linaweza kubaliana na upumbavu wa Hamas ndio maana ya dam yao ikawe juu ya watoto wetu na vijukuu huo ndio uwamuzi wa Hamas. Israel anatuma msg kwa Taifa lolote Duniani hasa majirani zake kuwa hicho ndicho kitawakuta wakiwagusa. Ndio maana Netanyauh ametuma msg kwa Hezbollah kuwa wakiendelea wagusa watakuwa next target... Yemen wanataka kumalizana naye kimya kimya 🤐..
 
Dini zote ni uongo mtupu..... ila Uislam ni janga la Dunia

Uislam ndio dini inaongoza kwa ukatili usiobadilika kwasababu ya mafundisho yao ya kitabu cha Mudi

Hakika Mudi alijua kuwajaza ujinga hawa waungwana..... ogopa sana mtu anayeona anachotaka yeye ndio haki ya Mungu wake na akikipigania akafa anakwenda kula bata la milele peponi plus mabikira 72
Yaani anapigana akishinda kheri akifa kheri zaidi..... huu ujinga unai cost sana dunia hii

Hakuna cha maana ulichokiongea zaidi ya kukashifu uislamu, pole sana myahudi mweusi. Sisi tunaendeleza kipigo, kipigo kipo pale pale.
 
Nawapa pole wanafamilia, kila nafsi itaonja umauti

N iwe fundisho kwa wengine kupeleka vijana kwa magaidi, wale sio watu wazuri.

Ingelikua wapo mikononi mwa Hamas/freedom fighters wala kusingekua na tabu yoyote, wangerudi salama salmini.
Na wanasumbiji mnachinja na kuchoma nyumba na wao wamewafanya nn?
 
Ndio mjifunze, temaneni na Wayahudi maana mtapigwa sana...
 
View attachment 2843958
Halafu anakuja mtu from nowhere anaumia na kifo cha mtanzania mmoja!
View attachment 2843959
2 days ago

Inasikitisha sana kuona watu wasio na hatia wakiuawa, wakijeruhiwa na wengine kuachwa wakiwa katika ulemavu ilhali kuna watanzania wanafurahia!

Lakini pia msifikiri waliokufa ni maiti, Laa👇
وَلَا تَحْسَبَنَّ الَّذِينَ قُتِلُوا فِي سَبِيلِ اللَّهِ أَمْوَاتًا ۚ بَلْ أَحْيَاءٌ عِنْدَ رَبِّهِمْ يُرْزَقُونَ
169 Al-'imran(The Family of Imran)
Wala kabisa usiwadhanie walio uliwa katika Njia ya Mwenyezi Mungu kuwa ni maiti. Bali hao ni wahai, wanaruzukiwa kwa Mola wao Mlezi.

فَرِحِينَ بِمَا آتَاهُمُ اللَّهُ مِنْ فَضْلِهِ وَيَسْتَبْشِرُونَ بِالَّذِينَ لَمْ يَلْحَقُوا بِهِمْ مِنْ خَلْفِهِمْ أَلَّا خَوْفٌ عَلَيْهِمْ وَلَا هُمْ يَحْزَنُونَ
170 Al-Imran
Wanafurahia aliyo wapa Mwenyezi Mungu kwa fadhila yake, na wanawashangilia wale ambao bado hawajajiunga nao, walio nyuma yao, ya kwamba haitakuwa khofu juu yao wala hawatahuzunika.

يَسْتَبْشِرُونَ بِنِعْمَةٍ مِنَ اللَّهِ وَفَضْلٍ وَأَنَّ اللَّهَ لَا يُضِيعُ أَجْرَ الْمُؤْمِنِينَ
171 Al-Imran
Wanashangilia neema na fadhila za Mwenyezi Mungu, na ya kwamba Mwenyezi Mungu hapotezi ujira wa Waumini

الَّذِينَ اسْتَجَابُوا لِلَّهِ وَالرَّسُولِ مِنْ بَعْدِ مَا أَصَابَهُمُ الْقَرْحُ ۚ لِلَّذِينَ أَحْسَنُوا مِنْهُمْ وَاتَّقَوْا أَجْرٌ عَظِيمٌ
172 Al-Imran
Walio mwitikia Mwenyezi Mungu na Mtume baada ya kwisha patwa na majeraha - kwa walio fanya wema miongoni mwao na wakamchamngu utakuwa ujira mkubwa

Nitawashangaa sana Mods wakiuhamisha ama kuufuta uzi huu
Hawa ndio freedom fighter wako ambao kutwa unawatetea humu
 

Attachments

  • video_1702824138747.mp4
    5.5 MB
Back
Top Bottom