Ndoto za Wanafunzi "Mashahidi" Waliouawa na uvamizi wa Mazayuni

Sijaona utafiti wowote kwenye huu ufafanuzi wako. Ili kuwa neutral vizuri, utafiti wako kuhusu Israeli usianzia hiyo miaka 56 unayosemea, nenda zaidi ya hapo. Mungu alipoumba watu, aliwapa maeneo yao ya kuishi.
Hoja ya kuwa mashambulizi ya Hamas yalikuwa yanatazamiwa inaweza kuwa sawa, isipokuwa, kama aliweza kutabiri mashambulizi ya Hamas pia alipaswa kutabiri majibu ya Israel yangekuwaje.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Dini zote ni uongo mtupu..... ila Uislam ni janga la Dunia

Uislam ndio dini inaongoza kwa ukatili usiobadilika kwasababu ya mafundisho yao ya kitabu cha Mudi

Hakika Mudi alijua kuwajaza ujinga hawa waungwana..... ogopa sana mtu anayeona anachotaka yeye ndio haki ya Mungu wake na akikipigania akafa anakwenda kula bata la milele peponi plus mabikira 72
Yaani anapigana akishinda kheri akifa kheri zaidi..... huu ujinga unai cost sana dunia hii
 

Mkuu binafsi nina tatizo sana na imani zenu za Mungu
Mungu hayupo na hajampa mtu yeyote aridhi fulani aitawale....... yaani dunia yote hii ni waisrael tu ndio wamepewa aridhi?

Katibu mkuu ameongea kitu kikubwa sana ni vile tu hatutaki kufikiri nje ya imani zetu

Wapalestina wameishi pale kwa miaka zaidi ya 600 yaani vizazi zaidi ya 10 halafu unakuja kuwaondoa na kuwafungia Gaza kwenye gereza la wazi.... hakuna future hakuna nini....
Kisa tu vitabu vyako vya imani vinasema Mungu wako alikupa hiyo aridhi miaka isiyojulikana.... huu ni upuuzi
 
Hakuna Taifa duniani linaweza kubaliana na upumbavu wa Hamas ndio maana ya dam yao ikawe juu ya watoto wetu na vijukuu huo ndio uwamuzi wa Hamas. Israel anatuma msg kwa Taifa lolote Duniani hasa majirani zake kuwa hicho ndicho kitawakuta wakiwagusa. Ndio maana Netanyauh ametuma msg kwa Hezbollah kuwa wakiendelea wagusa watakuwa next target... Yemen wanataka kumalizana naye kimya kimya 🤐..
 

Hakuna cha maana ulichokiongea zaidi ya kukashifu uislamu, pole sana myahudi mweusi. Sisi tunaendeleza kipigo, kipigo kipo pale pale.
 
Nawapa pole wanafamilia, kila nafsi itaonja umauti

N iwe fundisho kwa wengine kupeleka vijana kwa magaidi, wale sio watu wazuri.

Ingelikua wapo mikononi mwa Hamas/freedom fighters wala kusingekua na tabu yoyote, wangerudi salama salmini.
Na wanasumbiji mnachinja na kuchoma nyumba na wao wamewafanya nn?
 
Ndio mjifunze, temaneni na Wayahudi maana mtapigwa sana...
 
Hawa ndio freedom fighter wako ambao kutwa unawatetea humu
 

Attachments

  • video_1702824138747.mp4
    5.5 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…