Ndugai alimaanisha nini kusema 2025 wananchi wawapime kama wataendelea na hawa wakopaji?

Ndugai alimaanisha nini kusema 2025 wananchi wawapime kama wataendelea na hawa wakopaji?

Course Coordinator

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2019
Posts
1,742
Reaction score
3,224
Nimeshindwa kuelewa kwa kina juu ya maneno ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Spika nilimwelewa kwamba kuna tozo zinazoendelea kutozwa zililenga kuondoa upungufu wa madarasa.
Lakini tutakopa tena 1.3 trioni kwa ajili ya kujenga tena madarasa.
Ukweli ni kuwa tozo pekee zisingetosha kujenga madarasa hata ya mikoa miwili ,upungufu wa madarasa uliopo mkubwa sana hapa nchini.

Sina takwimu KAMILI lakini kwa haraka haraka nchi hii ina upungufu wa vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 10.
Mfano tu wilaya ya Mbinga ina upungufu wa vyumba 500.
Monduli 250.

Fedha za tozo pekee zitahitaji miaka 6 ili kukamilisha tu ujenzi wa vyumba vya madarasa.
Lakn mkopo wa Covid-19 umeenda hadi ujenzi wa zahanati na vituo vya afya na bado mkopo huo hauna riba na ni wa zaidi ya miaka 20.

Turudi kwenye kauli ya Ndugai aliposema
Mwaka 2025 wananchi wenyewe wataamua kama watarudi na hawa hawa wakukopa alikua ana maanisha nini?
Kwamba anaombea chama kingine kura kikitoe chama chake cha CCM madarakani?
Au vikao vya chama chake vije na mgombea mwingine.

Huyu Ndugai enzi za Mwendazake sio yeye alikua anamsindikiza hadi Magufuli chooni.

Sio yeye aliyenyamaza huu ukopaji.Ndani ya miaka 4 Magufuli alikopa 21 trioni .Ndugai alikua wapi kusema haya.

Au kwa vile SSH ni mama ndo maana wanaanza kumnanga
Enzi zile za Mwendazake zake si wangepiga makofi kabisa na sifa kedekede.

Alimwelea Ndugai kuhusu kauli yake ya 2025 atufafanunulie tafadhali.
 
Nimeshindwa kuelewa kwa kina juu ya maneno ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Spika nilimwelewa kwamba kuna tozo zinazoendelea kutozwa zililenga kuondoa upungufu wa madarasa.
Lakini tutakopa tena 1.3 trioni kwa ajili ya kujenga tena madarasa.
Ukweli ni kuwa tozo pekee zisingetosha kujenga madarasa hata ya mikoa miwili ,upungufu wa madarasa uliopo mkubwa sana hapa nchini.

Sina takwimu KAMILI lakini kwa haraka haraka nchi hii ina upungufu wa vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 10.
Mfano tu wilaya ya Mbinga ina upungufu wa vyumba 500.
Monduli 250.

Fedha za tozo pekee zitahitaji miaka 6 ili kukamilisha tu ujenzi wa vyumba vya madarasa.
Lakn mkopo wa Covid-19 umeenda hadi ujenzi wa zahanati na vituo vya afya na bado mkopo huo hauna riba na ni wa zaidi ya miaka 20.

Turudi kwenye kauli ya Ndugai aliposema
Mwaka 2025 wananchi wenyewe wataamua kama watarudi na hawa hawa wakukopa alikua ana maanisha nini?
Kwamba anaombea chama kingine kura kikitoe chama chake cha CCM madarakani?
Au vikao vya chama chake vije na mgombea mwingine.

Huyu Ndugai enzi za Mwendazake sio yeye alikua anamsindikiza hadi Magufuli chooni.

Sio yeye aliyenyamaza huu ukopaji.Ndani ya miaka 4 Magufuli alikopa 21 trioni .Ndugai alikua wapi kusema haya.

Au kwa vile SSH ni mama ndo maana wanaanza kumnanga
Enzi zile za Mwendazake zake si wangepiga makofi kabisa na sifa kedekede.

Alimwelea Ndugai kuhusu kauli yake ya 2025 atufafanunulie tafadhali.
Samia atalindwa na Mungu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kuna huu mchanganuo wa gharama za kuilinda Covid-19, sijui anauona ?
20211229_122314.jpg
 
Ndugai anahisi kutengwa. Kipindi cha Mwendazake kapu likitembezwa alikuwa anaambulia chenji, sasa mama kaja na machawa wake. Anaona kabisa mpunga unaingia lakini haambulii hata pumba, lazima aongee.

Hakuna jipya linalotokea ambalo halikufanyika huko nyuma, Tatizo ni kuwa kila anaeongea sasa hivi kapokonywa tonge kinywani kupelekea hasira zote hizi.

Kampeni safari hii zinaanza mapema mno. Ila hata kwa bahati mbaya ikatokea Ndugai akapata uraisi tutaanza kupigwa bakora kama shule. Mungu atusimamie tu aje mwenye akili timamu angalau.
 
Nimeshindwa kuelewa kwa kina juu ya maneno ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Spika nilimwelewa kwamba kuna tozo zinazoendelea kutozwa zililenga kuondoa upungufu wa madarasa.
Lakini tutakopa tena 1.3 trioni kwa ajili ya kujenga tena madarasa.
Ukweli ni kuwa tozo pekee zisingetosha kujenga madarasa hata ya mikoa miwili ,upungufu wa madarasa uliopo mkubwa sana hapa nchini.

Sina takwimu KAMILI lakini kwa haraka haraka nchi hii ina upungufu wa vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 10.
Mfano tu wilaya ya Mbinga ina upungufu wa vyumba 500.
Monduli 250.

Fedha za tozo pekee zitahitaji miaka 6 ili kukamilisha tu ujenzi wa vyumba vya madarasa.
Lakn mkopo wa Covid-19 umeenda hadi ujenzi wa zahanati na vituo vya afya na bado mkopo huo hauna riba na ni wa zaidi ya miaka 20.

Turudi kwenye kauli ya Ndugai aliposema
Mwaka 2025 wananchi wenyewe wataamua kama watarudi na hawa hawa wakukopa alikua ana maanisha nini?
Kwamba anaombea chama kingine kura kikitoe chama chake cha CCM madarakani?
Au vikao vya chama chake vije na mgombea mwingine.

Huyu Ndugai enzi za Mwendazake sio yeye alikua anamsindikiza hadi Magufuli chooni.

Sio yeye aliyenyamaza huu ukopaji.Ndani ya miaka 4 Magufuli alikopa 21 trioni .Ndugai alikua wapi kusema haya.

Au kwa vile SSH ni mama ndo maana wanaanza kumnanga
Enzi zile za Mwendazake zake si wangepiga makofi kabisa na sifa kedekede.

Alimwelea Ndugai kuhusu kauli yake ya 2025 atufafanunulie tafadhali.
Ongea, swala la kuwa ni mwanamke liondoe. Alisema wote tupo sawa. Marumbano ya viongozi hawa ndio picha halisi ya utawala ulivyo Tanzania, hatuna utawala wa kisheria. Watazibwa midomo watu kwa kuhitaji katiba mpya, ukweli haujifichi.
 
Nimeshindwa kuelewa kwa kina juu ya maneno ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Spika nilimwelewa kwamba kuna tozo zinazoendelea kutozwa zililenga kuondoa upungufu wa madarasa.
Lakini tutakopa tena 1.3 trioni kwa ajili ya kujenga tena madarasa.
Ukweli ni kuwa tozo pekee zisingetosha kujenga madarasa hata ya mikoa miwili ,upungufu wa madarasa uliopo mkubwa sana hapa nchini.

Sina takwimu KAMILI lakini kwa haraka haraka nchi hii ina upungufu wa vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 10.
Mfano tu wilaya ya Mbinga ina upungufu wa vyumba 500.
Monduli 250.

Fedha za tozo pekee zitahitaji miaka 6 ili kukamilisha tu ujenzi wa vyumba vya madarasa.
Lakn mkopo wa Covid-19 umeenda hadi ujenzi wa zahanati na vituo vya afya na bado mkopo huo hauna riba na ni wa zaidi ya miaka 20.

Turudi kwenye kauli ya Ndugai aliposema
Mwaka 2025 wananchi wenyewe wataamua kama watarudi na hawa hawa wakukopa alikua ana maanisha nini?
Kwamba anaombea chama kingine kura kikitoe chama chake cha CCM madarakani?
Au vikao vya chama chake vije na mgombea mwingine.

Huyu Ndugai enzi za Mwendazake sio yeye alikua anamsindikiza hadi Magufuli chooni.

Sio yeye aliyenyamaza huu ukopaji.Ndani ya miaka 4 Magufuli alikopa 21 trioni .Ndugai alikua wapi kusema haya.

Au kwa vile SSH ni mama ndo maana wanaanza kumnanga
Enzi zile za Mwendazake zake si wangepiga makofi kabisa na sifa kedekede.

Alimwelea Ndugai kuhusu kauli yake ya 2025 atufafanunulie tafadhali.
Kipindi cha Magu wanaCCM waliufyata
 
Back
Top Bottom