Ndugai alimaanisha nini kusema 2025 wananchi wawapime kama wataendelea na hawa wakopaji?

Ndugai alimaanisha nini kusema 2025 wananchi wawapime kama wataendelea na hawa wakopaji?

Kabla ya tozo yote hayo yalitoka wapi?
Ndugu yangu
Magufuli aliingiza nchi kwenye chaka la kuanzisha miradi mikubwa bila kujiandaa.
Hivyo lazima tujipige kila sehemu kuziba baadhi ya magepu.
Ebu angalia ndani ya miezi 5 hela zimepatikana na madarasa yamekamilika.
Wanafunzi wengi walikua hawapat nafas wanasubr sec selection wanakuta wenzao wameanza masomo.
Twende taratibu mkuu wangu nchi changa mkopo wa IMF wa covid 19 umetolewa kwa mataifa yote kwa ajili ya kupambana na athari za kiuchumi.
 
Na huenda tumepunguza huo mkopo lbd tungeweza kuchukua 1.5 tumechkua 1.3 trioni
Hoja iko pale pale je fedha za tozo zinatosha kukimbizana na umaziliaj wa madarasa ya sec pekee bado primary bado zahanati na vituo vya afya ?
Unakopa kipindi cha corona ili ujenge madarasa? Akili za matope kbsa, anzeni mkope na za madawati n.a. vyoo n.a. nyumba za waalimu. Itafika mahali Ndugai akisema watakimbiana kuna kitu anamaanisha cha ziada endapo kama si political spinning kuzima mjadala wa katiba.
 
Nimeshindwa kuelewa kwa kina juu ya maneno ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Spika nilimwelewa kwamba kuna tozo zinazoendelea kutozwa zililenga kuondoa upungufu wa madarasa.
Lakini tutakopa tena 1.3 trioni kwa ajili ya kujenga tena madarasa.
Ukweli ni kuwa tozo pekee zisingetosha kujenga madarasa hata ya mikoa miwili ,upungufu wa madarasa uliopo mkubwa sana hapa nchini.

Sina takwimu KAMILI lakini kwa haraka haraka nchi hii ina upungufu wa vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 10.
Mfano tu wilaya ya Mbinga ina upungufu wa vyumba 500.
Monduli 250.

Fedha za tozo pekee zitahitaji miaka 6 ili kukamilisha tu ujenzi wa vyumba vya madarasa.
Lakn mkopo wa Covid-19 umeenda hadi ujenzi wa zahanati na vituo vya afya na bado mkopo huo hauna riba na ni wa zaidi ya miaka 20.

Turudi kwenye kauli ya Ndugai aliposema
Mwaka 2025 wananchi wenyewe wataamua kama watarudi na hawa hawa wakukopa alikua ana maanisha nini?
Kwamba anaombea chama kingine kura kikitoe chama chake cha CCM madarakani?
Au vikao vya chama chake vije na mgombea mwingine.

Huyu Ndugai enzi za Mwendazake sio yeye alikua anamsindikiza hadi Magufuli chooni.

Sio yeye aliyenyamaza huu ukopaji.Ndani ya miaka 4 Magufuli alikopa 21 trioni .Ndugai alikua wapi kusema haya.

Au kwa vile SSH ni mama ndo maana wanaanza kumnanga
Enzi zile za Mwendazake zake si wangepiga makofi kabisa na sifa kedekede.

Alimwelea Ndugai kuhusu kauli yake ya 2025 atufafanunulie tafadhali.
Acha wanyukane,ila hiyo ya kukopa wanawazuzua tu Watanzania.Ndugai,Mh Rais Samia na wenzao huko chamani/serikalini wanafahamu kila kitu A-Z.
Hawa wenzetu UTU uliwatoka zamani sana.Wanaongea as if Tanzania imezaliwa jana au iliwahi kuongozwa na wasiojulikana.
That only can make us throw them to hell for the jokes.
 
Mwambieni mama yenu aivunje kamati kuu CC aunde upya ya kwake, hii kamati ya mwendakuzimu aachane nayo.

Mwehu kama huyu Ndugai ni wa kumvuwa uanachama wala si mtu wa kuchekewa.

Kuna watu nguvu zao ni pale wanapovaa mishati ya kijani tu, lakini ukiwatupa nje ni bora hata Manara ana wafuasi.
Siyo kazi nyepesi usijidanganye, kuiwezA itamchukua miaka 10 kulimaliza kundi
 
Kabla ya tozo yote hayo yalitoka wapi?
Kwamba Hatujawahi jenga madarasa? Hospitals na barabara?
Na ukiondoa 7.7 tilion alizokopa mama katika 80 tilion,unabaki na deni 72 na point lililokopwa na serikali zilizopita.Sasa unafikiri hizo 72 tilion zilizokopwa na awamu zilizopita zilitumika wapi kama hospitali,zahanati na shule zilikuwa zinajengwa?.

Chuki ni dalili ya uchawi pia.
 
Nimeshindwa kuelewa kwa kina juu ya maneno ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Spika nilimwelewa kwamba kuna tozo zinazoendelea kutozwa zililenga kuondoa upungufu wa madarasa.
Lakini tutakopa tena 1.3 trioni kwa ajili ya kujenga tena madarasa.
Ukweli ni kuwa tozo pekee zisingetosha kujenga madarasa hata ya mikoa miwili ,upungufu wa madarasa uliopo mkubwa sana hapa nchini.

Sina takwimu KAMILI lakini kwa haraka haraka nchi hii ina upungufu wa vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 10.
Mfano tu wilaya ya Mbinga ina upungufu wa vyumba 500.
Monduli 250.

Fedha za tozo pekee zitahitaji miaka 6 ili kukamilisha tu ujenzi wa vyumba vya madarasa.
Lakn mkopo wa Covid-19 umeenda hadi ujenzi wa zahanati na vituo vya afya na bado mkopo huo hauna riba na ni wa zaidi ya miaka 20.

Turudi kwenye kauli ya Ndugai aliposema
Mwaka 2025 wananchi wenyewe wataamua kama watarudi na hawa hawa wakukopa alikua ana maanisha nini?
Kwamba anaombea chama kingine kura kikitoe chama chake cha CCM madarakani?
Au vikao vya chama chake vije na mgombea mwingine.

Huyu Ndugai enzi za Mwendazake sio yeye alikua anamsindikiza hadi Magufuli chooni.

Sio yeye aliyenyamaza huu ukopaji.Ndani ya miaka 4 Magufuli alikopa 21 trioni .Ndugai alikua wapi kusema haya.

Au kwa vile SSH ni mama ndo maana wanaanza kumnanga
Enzi zile za Mwendazake zake si wangepiga makofi kabisa na sifa kedekede.

Alimwelea Ndugai kuhusu kauli yake ya 2025 atufafanunulie tafadhali.

Wewe na Spika nani mwenye taarifa kamili juu ya upungufu wa madarasa nchini? Wewe na Spika nani ambaye ana uwezo wa kujua kiasi kinachopatikana kutokana na tozo? Wewe na Spika nani anajua masharti ya hiyo mikopo? Wewe na Spika nani ni rahisi kupata taarifa kuhusu fedha na matumizi yake?

Ni kweli alikuwa kimya miaka 5 nyuma Je aendelee kukaa kimya? Spika anajua hiyo mikopo inapokwenda ndio maana anapiga kelele
 
Siyo kazi nyepesi usijidanganye, kuiwezA itamchukua miaka 10 kulimaliza kundi
Mwenyekiti wa ccm ni Mungu mtu hakuna wa kumpinga.

Na usisahau kinana na JK wapo nyuma ya mama kwa full support, na usisahau Tiss inaripoti kwa mama na siyo kwa Sukuma gang, na mama ndio Amiri jeshi mkuu na CDF ameonesha kumtii na kumuheshimu.

IMG-20211117-WA0009.jpg
 
Wewe na Spika nani mwenye taarifa kamili juu ya upungufu wa madarasa nchini? Wewe na Spika nani ambaye ana uwezo wa kujua kiasi kinachopatikana kutokana na tozo? Wewe na Spika nani anajua masharti ya hiyo mikopo? Wewe na Spika nani ni rahisi kupata taarifa kuhusu fedha na matumizi yake?

Ni kweli alikuwa kimya miaka 5 nyuma Je aendelee kukaa kimya? Spika anajua hiyo mikopo inapokwenda ndio maana anapiga kelele
Spika amenyimwa mgao ndio ARV zikapanda kichwani, hana lolote mpuuzi kabisa huyo.
 
Nimeshindwa kuelewa kwa kina juu ya maneno ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Spika nilimwelewa kwamba kuna tozo zinazoendelea kutozwa zililenga kuondoa upungufu wa madarasa.
Lakini tutakopa tena 1.3 trioni kwa ajili ya kujenga tena madarasa.
Ukweli ni kuwa tozo pekee zisingetosha kujenga madarasa hata ya mikoa miwili ,upungufu wa madarasa uliopo mkubwa sana hapa nchini.

Sina takwimu KAMILI lakini kwa haraka haraka nchi hii ina upungufu wa vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 10.
Mfano tu wilaya ya Mbinga ina upungufu wa vyumba 500.
Monduli 250.

Fedha za tozo pekee zitahitaji miaka 6 ili kukamilisha tu ujenzi wa vyumba vya madarasa.
Lakn mkopo wa Covid-19 umeenda hadi ujenzi wa zahanati na vituo vya afya na bado mkopo huo hauna riba na ni wa zaidi ya miaka 20.

Turudi kwenye kauli ya Ndugai aliposema
Mwaka 2025 wananchi wenyewe wataamua kama watarudi na hawa hawa wakukopa alikua ana maanisha nini?
Kwamba anaombea chama kingine kura kikitoe chama chake cha CCM madarakani?
Au vikao vya chama chake vije na mgombea mwingine.

Huyu Ndugai enzi za Mwendazake sio yeye alikua anamsindikiza hadi Magufuli chooni.

Sio yeye aliyenyamaza huu ukopaji.Ndani ya miaka 4 Magufuli alikopa 21 trioni .Ndugai alikua wapi kusema haya.

Au kwa vile SSH ni mama ndo maana wanaanza kumnanga
Enzi zile za Mwendazake zake si wangepiga makofi kabisa na sifa kedekede.

Alimwelea Ndugai kuhusu kauli yake ya 2025 atufafanunulie tafadhali.
Hizo comments zako mwishoni nimegundua ww unatokea mchambawima
 
Back
Top Bottom