Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Chawa wamepokonywa tongePigeni kelele ila mama yenu harudi Ikulu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chawa wamepokonywa tongePigeni kelele ila mama yenu harudi Ikulu..
Ni lini alikuwanayo hiyo heshima?Ndugai kajivunjia heshima sana
Huyo inatakiwa apewe case ya kutakatisha akafie jela na ukimwi wakeNimeshindwa kuelewa kwa kina juu ya maneno ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Spika nilimwelewa kwamba kuna tozo zinazoendelea kutozwa zililenga kuondoa upungufu wa madarasa.
Lakini tutakopa tena 1.3 trioni kwa ajili ya kujenga tena madarasa.
Ukweli ni kuwa tozo pekee zisingetosha kujenga madarasa hata ya mikoa miwili ,upungufu wa madarasa uliopo mkubwa sana hapa nchini.
Sina takwimu KAMILI lakini kwa haraka haraka nchi hii ina upungufu wa vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 10.
Mfano tu wilaya ya Mbinga ina upungufu wa vyumba 500.
Monduli 250.
Fedha za tozo pekee zitahitaji miaka 6 ili kukamilisha tu ujenzi wa vyumba vya madarasa.
Lakn mkopo wa Covid-19 umeenda hadi ujenzi wa zahanati na vituo vya afya na bado mkopo huo hauna riba na ni wa zaidi ya miaka 20.
Turudi kwenye kauli ya Ndugai aliposema
Mwaka 2025 wananchi wenyewe wataamua kama watarudi na hawa hawa wakukopa alikua ana maanisha nini?
Kwamba anaombea chama kingine kura kikitoe chama chake cha CCM madarakani?
Au vikao vya chama chake vije na mgombea mwingine.
Huyu Ndugai enzi za Mwendazake sio yeye alikua anamsindikiza hadi Magufuli chooni.
Sio yeye aliyenyamaza huu ukopaji.Ndani ya miaka 4 Magufuli alikopa 21 trioni .Ndugai alikua wapi kusema haya.
Au kwa vile SSH ni mama ndo maana wanaanza kumnanga
Enzi zile za Mwendazake zake si wangepiga makofi kabisa na sifa kedekede.
Alimwelea Ndugai kuhusu kauli yake ya 2025 atufafanunulie tafadhali.
Mwambieni mama yenu aivunje kamati kuu CC aunde upya ya kwake, hii kamati ya mwendakuzimu aachane nayo.Chawa hao ni SAwa na mbwa wabwekaji hatuna haraka nao watafyekwa na wajumbe tu
Hoja ya tozo ilikuwa tunadhamira ya kupunguza mikopo, una mitigate madhara ya corona kiuchumi kwa kujenga madarasa hio akili Au uchoko?Nimeshindwa kuelewa kwa kina juu ya maneno ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Spika nilimwelewa kwamba kuna tozo zinazoendelea kutozwa zililenga kuondoa upungufu wa madarasa.
Lakini tutakopa tena 1.3 trioni kwa ajili ya kujenga tena madarasa.
Ukweli ni kuwa tozo pekee zisingetosha kujenga madarasa hata ya mikoa miwili ,upungufu wa madarasa uliopo mkubwa sana hapa nchini.
Sina takwimu KAMILI lakini kwa haraka haraka nchi hii ina upungufu wa vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 10.
Mfano tu wilaya ya Mbinga ina upungufu wa vyumba 500.
Monduli 250.
Fedha za tozo pekee zitahitaji miaka 6 ili kukamilisha tu ujenzi wa vyumba vya madarasa.
Lakn mkopo wa Covid-19 umeenda hadi ujenzi wa zahanati na vituo vya afya na bado mkopo huo hauna riba na ni wa zaidi ya miaka 20.
Turudi kwenye kauli ya Ndugai aliposema
Mwaka 2025 wananchi wenyewe wataamua kama watarudi na hawa hawa wakukopa alikua ana maanisha nini?
Kwamba anaombea chama kingine kura kikitoe chama chake cha CCM madarakani?
Au vikao vya chama chake vije na mgombea mwingine.
Huyu Ndugai enzi za Mwendazake sio yeye alikua anamsindikiza hadi Magufuli chooni.
Sio yeye aliyenyamaza huu ukopaji.Ndani ya miaka 4 Magufuli alikopa 21 trioni .Ndugai alikua wapi kusema haya.
Au kwa vile SSH ni mama ndo maana wanaanza kumnanga
Enzi zile za Mwendazake zake si wangepiga makofi kabisa na sifa kedekede.
Alimwelea Ndugai kuhusu kauli yake ya 2025 atufafanunulie tafadhali.
Safi sana wabongo ni mandezi sana kiakili hoja ya Ndugai ipo wazi kuna upigwaji wa pesa mahali itafahamika tu.Hamjajibu ndugai kwa nini tukubaliane kuweka tozo then mwende kukopa kufanya kile kile tulicho itaji kwenye tozo. Unamlaumu bure tu ndugai ajibiwe.
Tozo tunazolipa zinaenda kufanyia nini. Mkopo gani unapewa usiokua na riba jamani ata ya asilimia 0??
Pole kama unamuona Ndugai ana hata chembe ya akili.Safi sana wabongo ni mandezi sana kiakili hoja ya Ndugai ipo wazi kuna upigwaji wa pesa mahali itafahamika tu.
Safi sana wabongo ni mandezi sana kiakili hoja ya Ndugai ipo wazi kuna upigwaji wa pesa mahali itafahamika tu.
Kwa haraka Tz inahitaji 1.2 Trion kumaliza tatizo la madarasaLakini tozo si ni endelevu ? Alaf Kwa Mwezi zaidi ya 50 billion zinakusanywa kwenye tozo , ukiziba na mianya inaweza fika 100 ...!! Ndungai for president
Huyu ndo Rais wako mbona hana kumbukumbuLakini tozo si ni endelevu ? Alaf Kwa Mwezi zaidi ya 50 billion zinakusanywa kwenye tozo , ukiziba na mianya inaweza fika 100 ...!! Ndungai for president
Tuambie kwanza tozo serikali inakusanya kiasi gani?Nimeshindwa kuelewa kwa kina juu ya maneno ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Spika nilimwelewa kwamba kuna tozo zinazoendelea kutozwa zililenga kuondoa upungufu wa madarasa.
Lakini tutakopa tena 1.3 trioni kwa ajili ya kujenga tena madarasa.
Ukweli ni kuwa tozo pekee zisingetosha kujenga madarasa hata ya mikoa miwili ,upungufu wa madarasa uliopo mkubwa sana hapa nchini.
Sina takwimu KAMILI lakini kwa haraka haraka nchi hii ina upungufu wa vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 10.
Mfano tu wilaya ya Mbinga ina upungufu wa vyumba 500.
Monduli 250.
Fedha za tozo pekee zitahitaji miaka 6 ili kukamilisha tu ujenzi wa vyumba vya madarasa.
Lakn mkopo wa Covid-19 umeenda hadi ujenzi wa zahanati na vituo vya afya na bado mkopo huo hauna riba na ni wa zaidi ya miaka 20.
Turudi kwenye kauli ya Ndugai aliposema
Mwaka 2025 wananchi wenyewe wataamua kama watarudi na hawa hawa wakukopa alikua ana maanisha nini?
Kwamba anaombea chama kingine kura kikitoe chama chake cha CCM madarakani?
Au vikao vya chama chake vije na mgombea mwingine.
Huyu Ndugai enzi za Mwendazake sio yeye alikua anamsindikiza hadi Magufuli chooni.
Sio yeye aliyenyamaza huu ukopaji.Ndani ya miaka 4 Magufuli alikopa 21 trioni .Ndugai alikua wapi kusema haya.
Au kwa vile SSH ni mama ndo maana wanaanza kumnanga
Enzi zile za Mwendazake zake si wangepiga makofi kabisa na sifa kedekede.
Alimwelea Ndugai kuhusu kauli yake ya 2025 atufafanunulie tafadhali.
Hata akivunja hawa watu lazima wawemo.Mwambieni mama yenu aivunje kamati kuu CC aunde upya ya kwake, hii kamati ya mwendakuzimu aachane nayo.
Mwehu kama huyu Ndugai ni wa kumvuwa uanachama wala si mtu wa kuchekewa.
Kuna watu nguvu zao ni pale wanapovaa mishati ya kijani tu, lakini ukiwatupa nje ni bora hata Manara ana wafuasi.
50 billion ni ndogo sana, mtandao mmoja unaweza kukava zaidi ya 90% ya budget kwa mwaka. Je, budget ya taifa ni bei gani kwa mwaka mzima?Lakini tozo si ni endelevu ? Alaf Kwa Mwezi zaidi ya 50 billion zinakusanywa kwenye tozo , ukiziba na mianya inaweza fika 100 ...!! Ndungai for president
Takwimu za uhakika sina japo tuliambiwa ni 38 bilioni.Tuambie kwanza tozo serikali inakusanya kiasi gani?
Kabla ya tozo yote hayo yalitoka wapi?Takwimu za uhakika sina japo tuliambiwa ni 38 bilioni.
Ila ndugu fedha za tozo zina mgawanyo ufuatao.
1.Kujenga madarasa primary na sec
2.Kujenga zahanati na vituo vya afya
3.Kujenga miundombinu ya barabara vijijini.
Itachukua miaka 100 kujenga vitu vyote hivo kwa wakati mmoja kwa kutegema tozo na hela zako za ndani.
Hatujawa na uchumi wa hivo.
Na huenda tumepunguza huo mkopo lbd tungeweza kuchukua 1.5 tumechkua 1.3 trioniHoja ya tozo ilikuwa tunadhamira ya kupunguza mikopo, una mitigate madhara ya corona kiuchumi kwa kujenga madarasa hio akili Au uchoko?