Ndugai alimaanisha nini kusema 2025 wananchi wawapime kama wataendelea na hawa wakopaji?

Ndugai alimaanisha nini kusema 2025 wananchi wawapime kama wataendelea na hawa wakopaji?

Nimeshindwa kuelewa kwa kina juu ya maneno ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Spika nilimwelewa kwamba kuna tozo zinazoendelea kutozwa zililenga kuondoa upungufu wa madarasa.
Lakini tutakopa tena 1.3 trioni kwa ajili ya kujenga tena madarasa.
Ukweli ni kuwa tozo pekee zisingetosha kujenga madarasa hata ya mikoa miwili ,upungufu wa madarasa uliopo mkubwa sana hapa nchini.

Sina takwimu KAMILI lakini kwa haraka haraka nchi hii ina upungufu wa vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 10.
Mfano tu wilaya ya Mbinga ina upungufu wa vyumba 500.
Monduli 250.

Fedha za tozo pekee zitahitaji miaka 6 ili kukamilisha tu ujenzi wa vyumba vya madarasa.
Lakn mkopo wa Covid-19 umeenda hadi ujenzi wa zahanati na vituo vya afya na bado mkopo huo hauna riba na ni wa zaidi ya miaka 20.

Turudi kwenye kauli ya Ndugai aliposema
Mwaka 2025 wananchi wenyewe wataamua kama watarudi na hawa hawa wakukopa alikua ana maanisha nini?
Kwamba anaombea chama kingine kura kikitoe chama chake cha CCM madarakani?
Au vikao vya chama chake vije na mgombea mwingine.

Huyu Ndugai enzi za Mwendazake sio yeye alikua anamsindikiza hadi Magufuli chooni.

Sio yeye aliyenyamaza huu ukopaji.Ndani ya miaka 4 Magufuli alikopa 21 trioni .Ndugai alikua wapi kusema haya.

Au kwa vile SSH ni mama ndo maana wanaanza kumnanga
Enzi zile za Mwendazake zake si wangepiga makofi kabisa na sifa kedekede.

Alimwelea Ndugai kuhusu kauli yake ya 2025 atufafanunulie tafadhali.
Huyo inatakiwa apewe case ya kutakatisha akafie jela na ukimwi wake
 
Chawa hao ni SAwa na mbwa wabwekaji hatuna haraka nao watafyekwa na wajumbe tu
Mwambieni mama yenu aivunje kamati kuu CC aunde upya ya kwake, hii kamati ya mwendakuzimu aachane nayo.

Mwehu kama huyu Ndugai ni wa kumvuwa uanachama wala si mtu wa kuchekewa.

Kuna watu nguvu zao ni pale wanapovaa mishati ya kijani tu, lakini ukiwatupa nje ni bora hata Manara ana wafuasi.
 
Nimeshindwa kuelewa kwa kina juu ya maneno ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Spika nilimwelewa kwamba kuna tozo zinazoendelea kutozwa zililenga kuondoa upungufu wa madarasa.
Lakini tutakopa tena 1.3 trioni kwa ajili ya kujenga tena madarasa.
Ukweli ni kuwa tozo pekee zisingetosha kujenga madarasa hata ya mikoa miwili ,upungufu wa madarasa uliopo mkubwa sana hapa nchini.

Sina takwimu KAMILI lakini kwa haraka haraka nchi hii ina upungufu wa vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 10.
Mfano tu wilaya ya Mbinga ina upungufu wa vyumba 500.
Monduli 250.

Fedha za tozo pekee zitahitaji miaka 6 ili kukamilisha tu ujenzi wa vyumba vya madarasa.
Lakn mkopo wa Covid-19 umeenda hadi ujenzi wa zahanati na vituo vya afya na bado mkopo huo hauna riba na ni wa zaidi ya miaka 20.

Turudi kwenye kauli ya Ndugai aliposema
Mwaka 2025 wananchi wenyewe wataamua kama watarudi na hawa hawa wakukopa alikua ana maanisha nini?
Kwamba anaombea chama kingine kura kikitoe chama chake cha CCM madarakani?
Au vikao vya chama chake vije na mgombea mwingine.

Huyu Ndugai enzi za Mwendazake sio yeye alikua anamsindikiza hadi Magufuli chooni.

Sio yeye aliyenyamaza huu ukopaji.Ndani ya miaka 4 Magufuli alikopa 21 trioni .Ndugai alikua wapi kusema haya.

Au kwa vile SSH ni mama ndo maana wanaanza kumnanga
Enzi zile za Mwendazake zake si wangepiga makofi kabisa na sifa kedekede.

Alimwelea Ndugai kuhusu kauli yake ya 2025 atufafanunulie tafadhali.
Hoja ya tozo ilikuwa tunadhamira ya kupunguza mikopo, una mitigate madhara ya corona kiuchumi kwa kujenga madarasa hio akili Au uchoko?
 
Hamjajibu ndugai kwa nini tukubaliane kuweka tozo then mwende kukopa kufanya kile kile tulicho itaji kwenye tozo. Unamlaumu bure tu ndugai ajibiwe.

Tozo tunazolipa zinaenda kufanyia nini. Mkopo gani unapewa usiokua na riba jamani ata ya asilimia 0??
Safi sana wabongo ni mandezi sana kiakili hoja ya Ndugai ipo wazi kuna upigwaji wa pesa mahali itafahamika tu.
 
Kwa haraka haraka unagundua tu,kwamba Spika aliutamani sana Urais baada ya Mwendazake kuondoka. Baada ya katiba kumuweka mama Jamaa kimsingi bado anaona kwa nini 2025 isiwe ukomo wa mama ili auchukue yeye
 
Lakini tozo si ni endelevu ? Alaf Kwa Mwezi zaidi ya 50 billion zinakusanywa kwenye tozo , ukiziba na mianya inaweza fika 100 ...!! Ndungai for president
Kwa haraka Tz inahitaji 1.2 Trion kumaliza tatizo la madarasa
 
Lakini tozo si ni endelevu ? Alaf Kwa Mwezi zaidi ya 50 billion zinakusanywa kwenye tozo , ukiziba na mianya inaweza fika 100 ...!! Ndungai for president
Huyu ndo Rais wako mbona hana kumbukumbu
 

Attachments

  • twitter_20211229_133253.mp4
    1.3 MB
Nimeshindwa kuelewa kwa kina juu ya maneno ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Spika nilimwelewa kwamba kuna tozo zinazoendelea kutozwa zililenga kuondoa upungufu wa madarasa.
Lakini tutakopa tena 1.3 trioni kwa ajili ya kujenga tena madarasa.
Ukweli ni kuwa tozo pekee zisingetosha kujenga madarasa hata ya mikoa miwili ,upungufu wa madarasa uliopo mkubwa sana hapa nchini.

Sina takwimu KAMILI lakini kwa haraka haraka nchi hii ina upungufu wa vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 10.
Mfano tu wilaya ya Mbinga ina upungufu wa vyumba 500.
Monduli 250.

Fedha za tozo pekee zitahitaji miaka 6 ili kukamilisha tu ujenzi wa vyumba vya madarasa.
Lakn mkopo wa Covid-19 umeenda hadi ujenzi wa zahanati na vituo vya afya na bado mkopo huo hauna riba na ni wa zaidi ya miaka 20.

Turudi kwenye kauli ya Ndugai aliposema
Mwaka 2025 wananchi wenyewe wataamua kama watarudi na hawa hawa wakukopa alikua ana maanisha nini?
Kwamba anaombea chama kingine kura kikitoe chama chake cha CCM madarakani?
Au vikao vya chama chake vije na mgombea mwingine.

Huyu Ndugai enzi za Mwendazake sio yeye alikua anamsindikiza hadi Magufuli chooni.

Sio yeye aliyenyamaza huu ukopaji.Ndani ya miaka 4 Magufuli alikopa 21 trioni .Ndugai alikua wapi kusema haya.

Au kwa vile SSH ni mama ndo maana wanaanza kumnanga
Enzi zile za Mwendazake zake si wangepiga makofi kabisa na sifa kedekede.

Alimwelea Ndugai kuhusu kauli yake ya 2025 atufafanunulie tafadhali.
Tuambie kwanza tozo serikali inakusanya kiasi gani?
 
Mwambieni mama yenu aivunje kamati kuu CC aunde upya ya kwake, hii kamati ya mwendakuzimu aachane nayo.

Mwehu kama huyu Ndugai ni wa kumvuwa uanachama wala si mtu wa kuchekewa.

Kuna watu nguvu zao ni pale wanapovaa mishati ya kijani tu, lakini ukiwatupa nje ni bora hata Manara ana wafuasi.
Hata akivunja hawa watu lazima wawemo.
Spika
Waziri mkuu
Labda awafukuze uanachama
 
Lakini tozo si ni endelevu ? Alaf Kwa Mwezi zaidi ya 50 billion zinakusanywa kwenye tozo , ukiziba na mianya inaweza fika 100 ...!! Ndungai for president
50 billion ni ndogo sana, mtandao mmoja unaweza kukava zaidi ya 90% ya budget kwa mwaka. Je, budget ya taifa ni bei gani kwa mwaka mzima?

Nimeangalia kwa 2020/21 budget ni 30.8T! Kama niko sahihi basi tozo zinazokusanywa ni nyingi mno kwa mwaka sababu kila muamala serikali inachukua hela sio chini ya buku😅 aidha utume au kutoa pesa lazma serikali uipe hela.
 
Tuambie kwanza tozo serikali inakusanya kiasi gani?
Takwimu za uhakika sina japo tuliambiwa ni 38 bilioni.
Ila ndugu fedha za tozo zina mgawanyo ufuatao.
1.Kujenga madarasa primary na sec
2.Kujenga zahanati na vituo vya afya
3.Kujenga miundombinu ya barabara vijijini.
Itachukua miaka 100 kujenga vitu vyote hivo kwa wakati mmoja kwa kutegema tozo na hela zako za ndani.
Hatujawa na uchumi wa hivo.
 
Takwimu za uhakika sina japo tuliambiwa ni 38 bilioni.
Ila ndugu fedha za tozo zina mgawanyo ufuatao.
1.Kujenga madarasa primary na sec
2.Kujenga zahanati na vituo vya afya
3.Kujenga miundombinu ya barabara vijijini.
Itachukua miaka 100 kujenga vitu vyote hivo kwa wakati mmoja kwa kutegema tozo na hela zako za ndani.
Hatujawa na uchumi wa hivo.
Kabla ya tozo yote hayo yalitoka wapi?
Kwamba Hatujawahi jenga madarasa? Hospitals na barabara?
 
Hoja ya tozo ilikuwa tunadhamira ya kupunguza mikopo, una mitigate madhara ya corona kiuchumi kwa kujenga madarasa hio akili Au uchoko?
Na huenda tumepunguza huo mkopo lbd tungeweza kuchukua 1.5 tumechkua 1.3 trioni
Hoja iko pale pale je fedha za tozo zinatosha kukimbizana na umaziliaj wa madarasa ya sec pekee bado primary bado zahanati na vituo vya afya ?
 
Back
Top Bottom