Course Coordinator
JF-Expert Member
- Jul 27, 2019
- 1,742
- 3,224
- Thread starter
-
- #41
Ndugu yanguKabla ya tozo yote hayo yalitoka wapi?
Kwa kweli amevuruga kusema wananchi waamue kama watawarudisha hawa wa kukopa kukopa.Huyo Ndugai lini anaitwa kwenye kamati ya maaadili hawezi kutuvurugia chama
Upinzani ndani ya upinzani?! Embu idadavue hiyo kauli mkuuNdugai kaanzisha upinzani ndani ya upinzani.Ile kichwa imemisi Sana upinzani bungeni.
Bora yeye SSH akae ikulu hata miaka 100 lakini sio JYN,hata Kama ni MtanganyikaPigeni kelele ila mama yenu harudi Ikulu..
Unakopa kipindi cha corona ili ujenge madarasa? Akili za matope kbsa, anzeni mkope na za madawati n.a. vyoo n.a. nyumba za waalimu. Itafika mahali Ndugai akisema watakimbiana kuna kitu anamaanisha cha ziada endapo kama si political spinning kuzima mjadala wa katiba.Na huenda tumepunguza huo mkopo lbd tungeweza kuchukua 1.5 tumechkua 1.3 trioni
Hoja iko pale pale je fedha za tozo zinatosha kukimbizana na umaziliaj wa madarasa ya sec pekee bado primary bado zahanati na vituo vya afya ?
Acha wanyukane,ila hiyo ya kukopa wanawazuzua tu Watanzania.Ndugai,Mh Rais Samia na wenzao huko chamani/serikalini wanafahamu kila kitu A-Z.Nimeshindwa kuelewa kwa kina juu ya maneno ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Spika nilimwelewa kwamba kuna tozo zinazoendelea kutozwa zililenga kuondoa upungufu wa madarasa.
Lakini tutakopa tena 1.3 trioni kwa ajili ya kujenga tena madarasa.
Ukweli ni kuwa tozo pekee zisingetosha kujenga madarasa hata ya mikoa miwili ,upungufu wa madarasa uliopo mkubwa sana hapa nchini.
Sina takwimu KAMILI lakini kwa haraka haraka nchi hii ina upungufu wa vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 10.
Mfano tu wilaya ya Mbinga ina upungufu wa vyumba 500.
Monduli 250.
Fedha za tozo pekee zitahitaji miaka 6 ili kukamilisha tu ujenzi wa vyumba vya madarasa.
Lakn mkopo wa Covid-19 umeenda hadi ujenzi wa zahanati na vituo vya afya na bado mkopo huo hauna riba na ni wa zaidi ya miaka 20.
Turudi kwenye kauli ya Ndugai aliposema
Mwaka 2025 wananchi wenyewe wataamua kama watarudi na hawa hawa wakukopa alikua ana maanisha nini?
Kwamba anaombea chama kingine kura kikitoe chama chake cha CCM madarakani?
Au vikao vya chama chake vije na mgombea mwingine.
Huyu Ndugai enzi za Mwendazake sio yeye alikua anamsindikiza hadi Magufuli chooni.
Sio yeye aliyenyamaza huu ukopaji.Ndani ya miaka 4 Magufuli alikopa 21 trioni .Ndugai alikua wapi kusema haya.
Au kwa vile SSH ni mama ndo maana wanaanza kumnanga
Enzi zile za Mwendazake zake si wangepiga makofi kabisa na sifa kedekede.
Alimwelea Ndugai kuhusu kauli yake ya 2025 atufafanunulie tafadhali.
Nani kakudanganya??????!!!!!!Ndugai,tulia, covid-19,waunga juhudi,chawa wa Magu,kituo chao cha basi mwisho wake ni October 2025.
Siyo kazi nyepesi usijidanganye, kuiwezA itamchukua miaka 10 kulimaliza kundiMwambieni mama yenu aivunje kamati kuu CC aunde upya ya kwake, hii kamati ya mwendakuzimu aachane nayo.
Mwehu kama huyu Ndugai ni wa kumvuwa uanachama wala si mtu wa kuchekewa.
Kuna watu nguvu zao ni pale wanapovaa mishati ya kijani tu, lakini ukiwatupa nje ni bora hata Manara ana wafuasi.
Na ukiondoa 7.7 tilion alizokopa mama katika 80 tilion,unabaki na deni 72 na point lililokopwa na serikali zilizopita.Sasa unafikiri hizo 72 tilion zilizokopwa na awamu zilizopita zilitumika wapi kama hospitali,zahanati na shule zilikuwa zinajengwa?.Kabla ya tozo yote hayo yalitoka wapi?
Kwamba Hatujawahi jenga madarasa? Hospitals na barabara?
Tutachapisha fomu moja tuu ya urais kama mlivo fanya 2020Pigeni kelele ila mama yenu harudi Ikulu..
Nani atakuwa rais 2025?Pigeni kelele ila mama yenu harudi Ikulu..
WeeeeeeePigeni kelele ila mama yenu harudi Ikulu..
Hili wanaliona sana ila wanajifanya hawalioniHamjajibu ndugai kwa nini tukubaliane kuweka tozo then mwende kukopa kufanya kile kile tulicho itaji kwenye tozo. Unamlaumu bure tu ndugai ajibiwe.
Tozo tunazolipa zinaenda kufanyia nini. Mkopo gani unapewa usiokua na riba jamani ata ya asilimia 0??
Nimeshindwa kuelewa kwa kina juu ya maneno ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Spika nilimwelewa kwamba kuna tozo zinazoendelea kutozwa zililenga kuondoa upungufu wa madarasa.
Lakini tutakopa tena 1.3 trioni kwa ajili ya kujenga tena madarasa.
Ukweli ni kuwa tozo pekee zisingetosha kujenga madarasa hata ya mikoa miwili ,upungufu wa madarasa uliopo mkubwa sana hapa nchini.
Sina takwimu KAMILI lakini kwa haraka haraka nchi hii ina upungufu wa vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 10.
Mfano tu wilaya ya Mbinga ina upungufu wa vyumba 500.
Monduli 250.
Fedha za tozo pekee zitahitaji miaka 6 ili kukamilisha tu ujenzi wa vyumba vya madarasa.
Lakn mkopo wa Covid-19 umeenda hadi ujenzi wa zahanati na vituo vya afya na bado mkopo huo hauna riba na ni wa zaidi ya miaka 20.
Turudi kwenye kauli ya Ndugai aliposema
Mwaka 2025 wananchi wenyewe wataamua kama watarudi na hawa hawa wakukopa alikua ana maanisha nini?
Kwamba anaombea chama kingine kura kikitoe chama chake cha CCM madarakani?
Au vikao vya chama chake vije na mgombea mwingine.
Huyu Ndugai enzi za Mwendazake sio yeye alikua anamsindikiza hadi Magufuli chooni.
Sio yeye aliyenyamaza huu ukopaji.Ndani ya miaka 4 Magufuli alikopa 21 trioni .Ndugai alikua wapi kusema haya.
Au kwa vile SSH ni mama ndo maana wanaanza kumnanga
Enzi zile za Mwendazake zake si wangepiga makofi kabisa na sifa kedekede.
Alimwelea Ndugai kuhusu kauli yake ya 2025 atufafanunulie tafadhali.
Mwenyekiti wa ccm ni Mungu mtu hakuna wa kumpinga.Siyo kazi nyepesi usijidanganye, kuiwezA itamchukua miaka 10 kulimaliza kundi
Spika amenyimwa mgao ndio ARV zikapanda kichwani, hana lolote mpuuzi kabisa huyo.Wewe na Spika nani mwenye taarifa kamili juu ya upungufu wa madarasa nchini? Wewe na Spika nani ambaye ana uwezo wa kujua kiasi kinachopatikana kutokana na tozo? Wewe na Spika nani anajua masharti ya hiyo mikopo? Wewe na Spika nani ni rahisi kupata taarifa kuhusu fedha na matumizi yake?
Ni kweli alikuwa kimya miaka 5 nyuma Je aendelee kukaa kimya? Spika anajua hiyo mikopo inapokwenda ndio maana anapiga kelele
Hizo comments zako mwishoni nimegundua ww unatokea mchambawimaNimeshindwa kuelewa kwa kina juu ya maneno ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Spika nilimwelewa kwamba kuna tozo zinazoendelea kutozwa zililenga kuondoa upungufu wa madarasa.
Lakini tutakopa tena 1.3 trioni kwa ajili ya kujenga tena madarasa.
Ukweli ni kuwa tozo pekee zisingetosha kujenga madarasa hata ya mikoa miwili ,upungufu wa madarasa uliopo mkubwa sana hapa nchini.
Sina takwimu KAMILI lakini kwa haraka haraka nchi hii ina upungufu wa vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 10.
Mfano tu wilaya ya Mbinga ina upungufu wa vyumba 500.
Monduli 250.
Fedha za tozo pekee zitahitaji miaka 6 ili kukamilisha tu ujenzi wa vyumba vya madarasa.
Lakn mkopo wa Covid-19 umeenda hadi ujenzi wa zahanati na vituo vya afya na bado mkopo huo hauna riba na ni wa zaidi ya miaka 20.
Turudi kwenye kauli ya Ndugai aliposema
Mwaka 2025 wananchi wenyewe wataamua kama watarudi na hawa hawa wakukopa alikua ana maanisha nini?
Kwamba anaombea chama kingine kura kikitoe chama chake cha CCM madarakani?
Au vikao vya chama chake vije na mgombea mwingine.
Huyu Ndugai enzi za Mwendazake sio yeye alikua anamsindikiza hadi Magufuli chooni.
Sio yeye aliyenyamaza huu ukopaji.Ndani ya miaka 4 Magufuli alikopa 21 trioni .Ndugai alikua wapi kusema haya.
Au kwa vile SSH ni mama ndo maana wanaanza kumnanga
Enzi zile za Mwendazake zake si wangepiga makofi kabisa na sifa kedekede.
Alimwelea Ndugai kuhusu kauli yake ya 2025 atufafanunulie tafadhali.
Labda kwenu kongwaLakini tozo si ni endelevu ? Alaf Kwa Mwezi zaidi ya 50 billion zinakusanywa kwenye tozo , ukiziba na mianya inaweza fika 100 ...!! Ndungai for president