Ndugai alimaanisha nini kusema 2025 wananchi wawapime kama wataendelea na hawa wakopaji?

We change our voice when we talk to people we like.
Spika ni mhimimili mwingine wa serikali kaz yake kusimamia serikali na kaz kuu ni kutunga sheria.

Nina uhakika Ndugai hajui takwimu kuhusu uhaba wa madawati ,vyumba vya madarasa ,uhaba wa vituo vya afya.
Sababu hapokei taarifa wala hapewi takwimu sio kazi yake
Kazi yake ni kusimamia bunge lipitishe bajeti.
Ndo maana kuna sheria zilipitishwa na bunge akasema alikua sijui hayupo sijui anaumwa sijui alikua safarini
Yule ni Head yake ni nothing (empty kipututu).
 
Trillion 66 ni deni la tangu Uhuru yaani miaka 60.
Trillion 7.7 ni deni la ndani ya miezi 8.
Mapenzi ni dalili ya uchawi pia.
 
Ni kweli kabisa mkuu. Mamama kaja na machawa wake. Na la kushtua zaidi ni kwamba akitulia tu wanamtia moto fulani hafai, fulani hafai. Na ndio maana jamii inashuhudia kelele nyingi sana kiasi hiki mpaka raia wanachanganyikiwa. Anyway, tutafiuka tu. Na msimu huu lazima kieleweka. Nani mweupe, nani mweusi, subiri tu utaona
 
Ndio maana Rais kamtolea uvivu ,mshenzi yule..

Wachumi wanakubali approach ya mikopo ila tuu isiwe mikopo ya kibiashara.

Ona hapa 👇





 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…