Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Separation of powers chrks and balanceHawana mipango wala mahesabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Separation of powers chrks and balanceHawana mipango wala mahesabu
Naona mmekenua meno na vijinopembe huku mkisahau kuwa kisiasa mna hali mbaya sana. Maana pamoja na kutembeza mabakuli ya kidigital lakini hamkupata sapoti
Mbali na hilo wananchi hawana imani na nyie ya kisiasa tena maana hata mkiitisha mkutano hawajitokezi kabisa.View attachment 2071144
Hahaha unajarib ku spin issue iliyopo kiaina.Naona mmekenua meno na vijinopembe huku mkisahau kuwa kisiasa mna hali mbaya sana. Maana pamoja na kutembeza mabakuli ya kidigital lakini hamkupata sapoti
Mbali na hilo wananchi hawana imani na nyie ya kisiasa tena maana hata mkiitisha mkutano hawajitokezi kabisa.View attachment 2071144
Naona mmekenua meno na vijinopembe huku mkisahau kuwa kisiasa mna hali mbaya sana. Maana pamoja na kutembeza mabakuli ya kidigital lakini hamkupata sapoti
Mbali na hilo wananchi hawana imani na nyie ya kisiasa tena maana hata mkiitisha mkutano hawajitokezi kabisa.View attachment 2071144
Idugunde wakati hujamalizia kilio cha March 6 mwaka jana ghafla wanaongeza nyundo nyingine kisogoni. Wewe lazima wakuue nakwambia!
Naona mmekenua meno na vijinopembe huku mkisahau kuwa kisiasa mna hali mbaya sana. Maana pamoja na kutembeza mabakuli ya kidigital lakini hamkupata sapoti
Mbali na hilo wananchi hawana imani na nyie ya kisiasa tena maana hata mkiitisha mkutano hawajitokezi kabisa.View attachment 2071144
Hawana mipango wala mahesabu
Hivi huwa una akili?Naona mmekenua meno na vijinopembe huku mkisahau kuwa kisiasa mna hali mbaya sana. Maana pamoja na kutembeza mabakuli ya kidigital lakini hamkupata sapoti
Mbali na hilo wananchi hawana imani na nyie ya kisiasa tena maana hata mkiitisha mkutano hawajitokezi kabisa.View attachment 2071144
Wanafurahia mambo yasiyokuwa na faida kwao
Hao ni wapenzi washangiliaji
Sukuma gang ni kina nani?Sukuma Gang chaliii, hilo tu linatosha!!!
Wametesa sana watu kwa chuki zao binafsi,,
Mwacheni mama aendeshe nchi sasa watanzania wakae kwenye nchi yao kwa amani! Mtu unaishi kwenye nchi yako kama upo Somalia!!
Karma iendelee kuwakamata wote walioumiza Watanz
Naona umeshakula za uso tena!!kweli sponsor akifa ni mateso, maumivu ya Le General ole sabaya, hayajaisha, leo tena ya le field Marshall Ndugai!!kweli kulia ni kupokezana!!bado yule mwingine radar zina msearch tu akiingia 18 tu, imooo!!Naona mmekenua meno na vijinopembe huku mkisahau kuwa kisiasa mna hali mbaya sana. Maana pamoja na kutembeza mabakuli ya kidigital lakini hamkupata sapoti
Mbali na hilo wananchi hawana imani na nyie ya kisiasa tena maana hata mkiitisha mkutano hawajitokezi kabisa.View attachment 2071144
Leo wamegeuka wameanza kumtetea, hawa jamaa hawaeleweki wanataka kitu gani
Si mchezo Ngedere katema bungo!!Hasira zenu mnawamalizia CDM? 😂
Chama siyo jengo wewe....Ni Imani ya MTU toka moyoni..Wekeni usawa kwenye uchaguzi nyie CCM...Policcm wakae Kando pia...Tufani itakayotoka kwenye Hilo jengo bovu Na chakavu,CCM,hawawezi kuikabili walahi..,Ni mapema tu CCM,Chali...Cheki Na Waitara pia..Naona mmekenua meno na vijinopembe huku mkisahau kuwa kisiasa mna hali mbaya sana. Maana pamoja na kutembeza mabakuli ya kidigital lakini hamkupata sapoti
Mbali na hilo wananchi hawana imani na nyie ya kisiasa tena maana hata mkiitisha mkutano hawajitokezi kabisa.View attachment 2071144
Sukuma gang ni kina nani?