Ndugai amejiuzulu, CHADEMA mtafufuka kisiasa?

Ndugai amejiuzulu, CHADEMA mtafufuka kisiasa?

Ni aibu sana kwa mwananchi kudhani kuwa mustakabali wa uhuru, utawala bora na maendeleo endelevu yataletwa na CDM!
Vyama ni nyenzo tu. Kama wananchi bado hawajitambui kama mleta mada anavyodhihirisha basi ccm itazidi kutawala pamoja na uchakavu wake wote!

NB: Kikwazo cha mabadiliko Tanzania ni wananchi wenyewe!
 
Naona mmekenua meno na vijinopembe huku mkisahau kuwa kisiasa mna hali mbaya sana. Maana pamoja na kutembeza mabakuli ya kidigital lakini hamkupata sapoti

Mbali na hilo wananchi hawana imani na nyie ya kisiasa tena maana hata mkiitisha mkutano hawajitokezi kabisa.View attachment 2071144
sio wao tuu, wananchi wote wamefurahi huyu bwana kujiuzulu!!alikosa sifa na weledi wa kuendesha bunge
 
Chadema ilishamdharau ndugai miaka mingi sana, tena ilimpuuza sana baada ya kujua akili yake ilivyo.
ccm ndio ilichukua muda mrefu kumjua kuwa sio mtu mwenye kuaminika majuzi.
 
Sukuma Gang chaliii, hilo tu linatosha!!!

Wametesa sana watu kwa chuki zao binafsi,,

Mwacheni mama aendeshe nchi sasa watanzania wakae kwenye nchi yao kwa amani! Mtu unaishi kwenye nchi yako kama upo Somalia!!

Karma iendelee kuwakamata wote walioumiza Watanzania!
Hii amani inamhusu hata gaidi pia?
 
Hahahaha,sisi tunaendelea kufukiza Kuni mbichi kwenye pango!Mtifuano ndio kwanza imeanza,mpaka mbaki vipande vipande!
Bado Kuna za chini chini juu ya uzanzibar wa Maushungi!
Bado Kuna zile kero za muungano zilizotatuliwa Kwa Zanzibar kupewa kila watakacho!
Bado Kuna team Ndugai humo CCM kwenu,ukijumlisha na sukuma gang basi mpasuko ni lazima!

Sisi ni kuchochea Kuni tu!!!
Wote hao wataungana 2025 kuwapelekea moto!

Au hamjifunzi kutokana na historia?
 
🤣🤣🤣👇
 
Hii amani inamhusu hata gaidi pia?
Gaidi kwani hapa somalia, utawapa wa kisomalia tanzania ulishapita, samia hoyeee,,

Penda usipende akimaliza mikumu hata kama hapendi tunampa mikumi tena, ukisikia mimba ya kichefu chefu kajifungulie huko
 
Gaidi kwani hapa somalia, utawapa wa kisomalia tanzania ulishapita, samia hoyeee,,

Penda usipende akimaliza mikumu hata kama hapendi tunampa mikumi tena, ukisikia mimba ya kichefu chefu kajifungulie huko
Sasa kwani yule gaidi pale ukonga anafanya nini?

Nyie machawa wa mama vipi?
 
Watapata nini ? Nani achague li CHADEMA lililojifia siku mwenyekiti wao alipobadili gia angani.
Sisiyemu kama wanaamini katika maendeleo waliyoleta waruhusu mikutano ya kisiasa au tume huru ya uchaguzi.

Au tufanye uchaguzi tuu wanajaribio majibu watapata
 
Sasa kwani yule gaidi pale ukonga anafanya nini?

Nyie machawa wa mama vipi?
Wenye gaidi watajua wenyewe, tunachojua Tanzania ina amani, hakuna kutishiana wasiojulikana, hakuna miungu watu, binadamu wote ni sawa,

Tarehe 17 March, ni kumbukumbu ya furaha, Mungu fundi, na chawa wake wote wataendelea kupukutika na kuisha kabisa! Karma is a bitch!!
 
Wenye gaidi watajua wenyewe, tunachojua Tanzania ina amani, hakuna kutishiana wasiojulikana, hakuna miungu watu, binadamu wote ni sawa,

Tarehe 17 March, ni kumbukumbu ya furaha, Mungu fundi, na chawa wake wote wataendelea kupukutika na kuisha kabisa! Karma is a bitch!!
Na nyie chawa wa mama ndio mmeamua kunajisi na bunge kabisa?
 
Wanafurahia mambo yasiyokuwa na faida kwao

Hao ni wapenzi washangiliaji

Nilitarajia na wewe utakuwa umefurahia sana mapenzi ya Rais wetu Mama Samia kutimizwa kwa mtu fitna kujiuzulu, kumbe sio!

Are you torn between the two - as usual?

CHADEMA walishajifia zamani. Hawana uwezo wa kujua faida wala hasara. No need to keep flogging a “dead horse” [emoji16]
 
Naona mmekenua meno na vijinopembe huku mkisahau kuwa kisiasa mna hali mbaya sana. Maana pamoja na kutembeza mabakuli ya kidigital lakini hamkupata sapoti

Mbali na hilo wananchi hawana imani na nyie ya kisiasa tena maana hata mkiitisha mkutano hawajitokezi kabisa.View attachment 2071144
Unahaha sana kiongozi..!!! Mara useme ile clip ya Ndugai ilidukuliwa, mara Ndugai kajiuzulu sijui CDM makorokocho yaani ilimradi useme
 
sio wao tuu, wananchi wote wamefurahi huyu bwana kujiuzulu!!alikosa sifa na weledi wa kuendesha bunge

Sawa kabisa. Na hao wananchi wengi ndio hiyo CHADEMA inayohofiwa na CCM kiasi cha kuianzishia mada kila msiba ukiwafikia.

Wakipata matatizo tu wanaiona CHADEMA kila upande. Hata vivuli vyao wanavishtukia. Wanaweweseka na CHADEMA kupita kiasi. Ni hatari sana. Wanahitaji msaada wa kisaikolojia.
 
Ni aibu sana kwa mwananchi kudhani kuwa mustakabali wa uhuru, utawala bora na maendeleo endelevu yataletwa na CDM!
Vyama ni nyenzo tu. Kama wananchi bado hawajitambui kama mleta mada anavyodhihirisha basi ccm itazidi kutawala pamoja na uchakavu wake wote!

NB: Kikwazo cha mabadiliko Tanzania ni wananchi wenyewe!

Kwa yaliyotokea kwenye chaguzi za 2019 na 2020, kilichobakia labda wananchi waanzishe mapambano ya vurugu na dola.

Wawe tayari kwa maafa makubwa ya kitaifa kama yanayoendelea Sudan na Kazakhstan muda huu. Inawezekana na inakubalika?
 
Back
Top Bottom