Ndugai amejiuzulu, CHADEMA mtafufuka kisiasa?

Ndugai amejiuzulu, CHADEMA mtafufuka kisiasa?

Naona umeshakula za uso tena!!kweli sponsor akifa ni mateso, maumivu ya Le General ole sabaya, hayajaisha, leo tena ya le field Marshall Ndugai!!kweli kulia ni kupokezana!!bado yule mwingine radar zina msearch tu akiingia 18 tu, imooo!!
Yaani nchi ilikuwa kama somalia vile enzi za wababe wa kivita!!MUNGU FUNDI.
Mmmhhhh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bunge halikuanza kuumizwa jana au leo....awamu ya 5 ni mfano tosha wa namna bunge lilivyoumizwa.
Kwa hiyo sasa kwa vike tumezoea basi tuendelee kuchekelea na kushangilia tu likiumizwa zaidi?
 
Kwa hiyo sasa kwa vike tumezoea basi tuendelee kuchekelea na kushangilia tu likiumizwa zaidi?
...hizi kelele kama hazikusaidia jana unadhani zitasaidia leo?...kwanini tutatue matokeo badala ya kutatua chanzo (katiba).
 
...hizi kelele kama hazikusaidia jana unadhani zitasaidia leo?...kwanini tutatue matokeo badala ya kutatua chanzo (katiba).
Chanzo siyo katiba!

Maana hata hii ya sasa haijaruhusu hayo kutokea..

Chanzo ni upumbavu wa watz. Si umeona wameshangilia bunge kubutuliwa wakidhani wanamkomoa Ndugai?
 
Chanzo siyo katiba!

Maana hata hii ya sasa haijaruhusu hayo kutokea..

Chanzo ni upumbavu wa watz. Si umeona wameshangilia bunge kubutuliwa wakidhani wanamkomoa Ndugai?
Hao Watz wameshangilia tu anguko la Ndugai ila sio bunge kubutuliwa.

Ndugai pia usisahau ndio aliofungua njia ya bunge kuingiliwa na muhimili mwingine kwa kukubali kuwa kibaraka na ndio maana hata madaraka yake ya kikatiba yameshindwa kumlinda maana yeye ndio alianza kuyadharau.
 
Hao Watz wameshangilia tu anguko la Ndugai ila sio bunge kubutuliwa.

Ndugai pia usisahau ndio aliofungua njia ya bunge kuingiliwa na muhimili mwingine kwa kukubali kuwa kibaraka na ndio maana hata madaraka yake ya kikatiba yameshindwa kumlinda maana yeye ndio alianza kuyadharau.
Sasa Ndugai amebutuliwa vipi?

Kilichobutuliwa pale ni bunge
 
Sasa Ndugai amebutuliwa vipi?

Kilichobutuliwa pale ni bunge
Huenda bunge likawa ndio limefungwa mdomo mazima ila Ndugai na wabunge wake hawawezi kukwepa lawama.
 
Aliyesema wadhibiti Bungeni wakitoka nje huku Mimi nitawadhibiti - hana uwezo wa kudhibiti tena

Aliyepewa maelekezo ya kuwadhibiti Bungeni - Naye anadhibitiwa muda huu

lakini bado chadema iko hoi hata hivyo.
 
Huenda bunge likawa ndio limefungwa mdomo mazima ila Ndugai na wabunge wake hawawezi kukwepa lawama.
Lawama zipi tena wakati alipijaribu kupanua mdomo mmeungana kumshambulia?
 
Nilitarajia na wewe utakuwa umefurahia sana mapenzi ya Rais wetu Mama Samia kutimizwa kwa mtu fitna kujiuzulu, kumbe sio!

Are you torn between the two - as usual?

CHADEMA walishajifia zamani. Hawana uwezo wa kujua faida wala hasara. No need to keep flogging a “dead horse” [emoji16]

Kuzitii mamlaka ni lazima
Kuongea kwa Job hakufanya bila kujua analichokua anafanya akiwa kiongozi wa mhimili
Ametimiza haja zake
 
Kwa yaliyotokea kwenye chaguzi za 2019 na 2020, kilichobakia labda wananchi waanzishe mapambano ya vurugu na dola.

Wawe tayari kwa maafa makubwa ya kitaifa kama yanayoendelea Sudan na Kazakhstan muda huu. Inawezekana na inakubalika?
Nchi ni ya wananchi... maamuzi ya watawaliwe na nani kwa kipindi gani yapo mikononi mwao!
Kuvumilia utawala mbaya ni laana!
 
Back
Top Bottom