Ndugai amejiuzulu, CHADEMA mtafufuka kisiasa?

Ndugai amejiuzulu, CHADEMA mtafufuka kisiasa?

Chadema vs Ccm ni sawa na simba vs Yanga

Yaani CCM hofu yao kw asilimia mia ni CHADEMA

Kuna vyama zaidi ya 15 lakini jicho la ccm ni Chadema
 
Naona mmekenua meno na vijinopembe huku mkisahau kuwa kisiasa mna hali mbaya sana. Maana pamoja na kutembeza mabakuli ya kidigital lakini hamkupata sapoti

Mbali na hilo wananchi hawana imani na nyie ya kisiasa tena maana hata mkiitisha mkutano hawajitokezi kabisa.View attachment 2071144
Kila mchuma janga hula na wa kwao. Imekula kwenu.
 
Naona mmekenua meno na vijinopembe huku mkisahau kuwa kisiasa mna hali mbaya sana. Maana pamoja na kutembeza mabakuli ya kidigital lakini hamkupata sapoti

Mbali na hilo wananchi hawana imani na nyie ya kisiasa tena maana hata mkiitisha mkutano hawajitokezi kabisa.View attachment 2071144
Hizi nyundo mnazokula hii miaka mfululizo mtakufa.

Polepole chali, Sabaya Jela, Makonda Balaa tupu, Ndugai tupa kule.
 
Naona mmekenua meno na vijinopembe huku mkisahau kuwa kisiasa mna hali mbaya sana. Maana pamoja na kutembeza mabakuli ya kidigital lakini hamkupata sapoti

Mbali na hilo wananchi hawana imani na nyie ya kisiasa tena maana hata mkiitisha mkutano hawajitokezi kabisa.View attachment 2071144
Chadema haijafa, halafu ndugai hawezi isambaratisha chama kikuu cha upinza
 
Naona mmekenua meno na vijinopembe huku mkisahau kuwa kisiasa mna hali mbaya sana. Maana pamoja na kutembeza mabakuli ya kidigital lakini hamkupata sapoti

Mbali na hilo wananchi hawana imani na nyie ya kisiasa tena maana hata mkiitisha mkutano hawajitokezi kabisa.View attachment 2071144
Mimi nilijua Chadema imekufa! Kumbe bado ipo na inaendelea kuwatesa mpaka leo, na kama wako hoi kisiasa wewe unaumia wapi?
 
Kwani walikuwa wamekufa au jpm aliamua kutumia malisasi tu kuiua chadema lakini hakujua kuwa chadema iko kwenye damu ya watanzania. We ngoja hiyo tume huru ya uchaguzi ije ndo utaona mziki wa chadema. Kama hawatakomba viti vyote vya ubunge na udiwani utaniambia
Naona mmekenua meno na vijinopembe huku mkisahau kuwa kisiasa mna hali mbaya sana. Maana pamoja na kutembeza mabakuli ya kidigital lakini hamkupata sapoti

Mbali na hilo wananchi hawana imani na nyie ya kisiasa tena maana hata mkiitisha mkutano hawajitokezi kabisa.View attachment 2071144
 
Back
Top Bottom