Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwezo wa CCM kuwashinda CHADEMA bila ujanja ujanja kwenye uchaguzi wowote ule,haupo,kwa Watanzania wa Sasa..Chadema vs Ccm ni sawa na simba vs Yanga
Yaani CCM hofu yao kw asilimia mia ni CHADEMA
Kuna vyama zaidi ya 15 lakini jicho la ccm ni Chadema
Kila mchuma janga hula na wa kwao. Imekula kwenu.Naona mmekenua meno na vijinopembe huku mkisahau kuwa kisiasa mna hali mbaya sana. Maana pamoja na kutembeza mabakuli ya kidigital lakini hamkupata sapoti
Mbali na hilo wananchi hawana imani na nyie ya kisiasa tena maana hata mkiitisha mkutano hawajitokezi kabisa.View attachment 2071144
Yale yale ya Ndugai😅😅😅Ccm ni makauzu sana
YAni mnavyotumia dola kuiba kura halafu mnapata nguvu hata ya kutoka nje huwa nashangaa sana..
Eti walitaka tuwaunge mkono kwenye maugomvi yao😅😅😅Hapo ndipo mnapofeli kuiwaza Chadema mnapofanya madudu yenu.
Chadema ipo na itaendelea kuwepo.
Huyu mwamba akimaliA mwaka sijui. Kule Mpendwa wake Sabaya akala nyundo. Polepole wake akatiwa kibano.Idugunde wakati hujamalizia kilio cha March 6 mwaka jana ghafla wanaongeza nyundo nyingine kisogoni. Wewe lazima wakuue nakwambia!
Hizi nyundo mnazokula hii miaka mfululizo mtakufa.Naona mmekenua meno na vijinopembe huku mkisahau kuwa kisiasa mna hali mbaya sana. Maana pamoja na kutembeza mabakuli ya kidigital lakini hamkupata sapoti
Mbali na hilo wananchi hawana imani na nyie ya kisiasa tena maana hata mkiitisha mkutano hawajitokezi kabisa.View attachment 2071144
Haha bado unajarib kuhamisha mada. That an irrelevant questionUnaishi uswazi?
Chadema haijafa, halafu ndugai hawezi isambaratisha chama kikuu cha upinzaNaona mmekenua meno na vijinopembe huku mkisahau kuwa kisiasa mna hali mbaya sana. Maana pamoja na kutembeza mabakuli ya kidigital lakini hamkupata sapoti
Mbali na hilo wananchi hawana imani na nyie ya kisiasa tena maana hata mkiitisha mkutano hawajitokezi kabisa.View attachment 2071144
Ww ndio unajitoa ufaham x 2Usijitoe fahamu
Jamaa unahaha sana..Wewe upo hapa Tz?
Mimi nilijua Chadema imekufa! Kumbe bado ipo na inaendelea kuwatesa mpaka leo, na kama wako hoi kisiasa wewe unaumia wapi?Naona mmekenua meno na vijinopembe huku mkisahau kuwa kisiasa mna hali mbaya sana. Maana pamoja na kutembeza mabakuli ya kidigital lakini hamkupata sapoti
Mbali na hilo wananchi hawana imani na nyie ya kisiasa tena maana hata mkiitisha mkutano hawajitokezi kabisa.View attachment 2071144
Wakiwa hivyo ninyi mnaumia nini?Wanafurahia mambo yasiyokuwa na faida kwao
Hao ni wapenzi washangiliaji
Naona mmekenua meno na vijinopembe huku mkisahau kuwa kisiasa mna hali mbaya sana. Maana pamoja na kutembeza mabakuli ya kidigital lakini hamkupata sapoti
Mbali na hilo wananchi hawana imani na nyie ya kisiasa tena maana hata mkiitisha mkutano hawajitokezi kabisa.View attachment 2071144
Good riddanceWanafurahia mambo yasiyokuwa na faida kwao
Hao ni wapenzi washangiliaji