Ndugai ashukiwa "kama Mwewe" na Mwenezi wa Njombe

Mbona hamkumwelewa kumbe eeh!? Alisema msikope atatoa zake za mfukon
 
Loo siku hadi siku watu wanapata their voices back!!
 
Mnhhh!!!!
Ngoma inogileeee....

Ndugai jiuzulu tu.
 
Umesahau Magu alivyokuwa anaendesha mambo yake?
 
Wale wabunge wa COVID-19 amewazungumzia?
 
Ndugai kama anatayapata yote haya angefanya moango ajiuzulu vinginevyo ana wakati mgumu sana.
 
ujasiri wa kumkosoa job anaupata wapi jamani hiki chama cha kijani kimelogwa na nani..anaongea hayo kama hajui job ni mjumbe wa kamati kuuya chama..pia mpaka anafikia hatua ya kuwa mjumbe ,mbunge wa vichaa na bufa la nchi ya wanyonge ni kupitia taratibu za chama ?

kwa maneno ya bwana mdogo ukitazama kiundani zaidi shida sio job na simaanishi job ni mzima la hasha bali chama ndio msingi wa matatizo..kiufupi anakata tawi alilokalia.

itaendelea......
 
CCM vumilianeni!
Johnthebaptist siku hizi unajitahidi kuwa objective. Acha mnyukano uendelee una faida. Una fundisho. moja ni hili la wabunge 19 ambalo limefumbiwa macho kwa makusudi. Kumbe kiapo cha kulinda katiba ni danganya toto tu.
 
Hakuna anayemsikiliza ndio maana anachekwa nchi nzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…