Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Una miaka mingapi ya kuzaliwa? Unajua kipindi kigumu cha inchi hii ww?
Ni ni kile kipindi cha 5yrs of Magu in power.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una miaka mingapi ya kuzaliwa? Unajua kipindi kigumu cha inchi hii ww?
CCM yangu ni jinamizi dhidi ya nchi hii.Huyu bwana amemchanachana Ndungai na "RAFIKI" yake huyo anayeshinda naye bungeni wakidanganyana kupeana Urais kisa anajibujibu vimaswali, tena huwa vinapangwa, anapewa kabla, akifika pale anajifanya eti kashtukizwa.
Rais ana chama, Rais ana watanzania.
Sasa wataongea, na hakuna Polisi watawakamata, Sasa na nyie igeni muone nani anaamuru Polisi nchi hii
Hawamu ya tano kilikuwa kipindi kigumu, waulize wafanyabiashara, wakulima wa mahindi, mbaazi, korosho, wafanyabiashara biashara maduka ya fedha, wanasiasa nje ya CCM na ndani, pia tambua kipindi kigumu ni jinsi kinavyo adhiri makundi mengi!Una miaka mingapi ya kuzaliwa? Unajua kipindi kigumu cha inchi hii ww?
Fuatilia mambo, tunaondoa virobotoIla CCM ya awamu hii lazima iuwe bend.
Ndio akina ndugu wa Gai au nije polepole mkuu.Fuatilia mambo, tunaondoa viroboto
Anachekechwa kisiasa tu,atatosha nyamaume huyu, hata yule aliyempiga fimbo,alimpiga kabla hajapata kinga, akibisha DPP yupoNi ccm haohao waliokubali kumuwekea spika kinga ya kushtakiwa, yaani kwa kifupi Rais na Spika wanatoshana nguvu[emoji23][emoji23]
Walidhani wanawakomoa wapinzani, kumbe wanajikomoa wao.
Ccm wakishindwana kidola wanahamia kwenye matumizi ya silaha za moto, utasikia tu fulani ameshambuliwa na watu wasiojulikanaNi ccm haohao waliokubali kumuwekea spika kinga ya kushtakiwa, yaani kwa kifupi Rais na Spika wanatoshana nguvu[emoji23][emoji23]
Walidhani wanawakomoa wapinzani, kumbe wanajikomoa wao.
July mama alisema anapandisha mahahara, 2022, ajira zitamwagika kama mvua ya enzi za nuhu, andaa vyeti tu mkuu, wenye roho mbaya Mungu kawafyeka 2021, March 17Nimekuja kugundua kuwa CCM ni upumbavu fulani hivi wa kishabiki tu.
Go to hell CCM! Fvkk u!
No increment, no employment for youth graduates!
Sijui anaishi wapi huyu watu wana visononoDuh.....kweli Kuna watu hawafuatilii vitu zaidi ni kulaumu
Halafu anacoment kwa uhakika utafikiri ana uhakikaDuh.....kweli Kuna watu hawafuatilii vitu zaidi ni kulaumu
Erasto Ngole ana maneno mengi yasiyo na point