Huyo Mwenyezi ni Juha tu Ndugai alikuwa naibu spika wa Makinda sasa amekuwa Spika baada ya Malinda kustaafu inakuwaje leo aje hapa kuonge upumbavu! Watu wenye akili mdogo kama hawa eti ndo wanamjibu spika?wakati ndugai anapata uspika anna makinda alishastaafu. Anna makinda alipata uspika ili kumpunguza kasi sitta.