#COVID19 Ndugai: Chanjo ni hiyari ila hauna hiyari kuambukiza wenzako

Viongozi wa dini watakuja juu sadaka watapata wapi? Naona wewe lengo lako ninkuchonganisha serikali na viongozi wa dini.Mama Samia Akifika huko atajjijua mwenyewe.

Kwenye dini Ni eneo nyeti hasa kwa watanzania
Dini gani nyeti au nyeti huzijui

USSR
 
Kuanzia leo nimekudharau kumbe Ubungo wako umemjaa maji tililika namna hii eti ugonjwa ni pepo

USSR
 
Ni kwamba sijaelewa sababu ya low IQ yangu au sijaelewa sababu ya wrong comment on a right thread done by a low IQ member?!... Chadema imeingiaje hapa?!... Wahi foleni ukachanjwe...
 
umazungumzia watanzania gani?
 
Semea nafsi yako, usiwasemee watanzania.
Huna mamlaka ya kunisemea.
Kwakuwa wewe hutaki chanjo unaona hiyo inaweza kuwa sababu ya mimi nipigane vita kukutetea?
Nchi ipasuke vipande kwa kuwa tu wewe hutaki kuchanjwa?
Acha kuota ndoto mchana wa jua kali.

Huna uwezo wa kuzuia chanjo, huna uwezo wa kupasua nchi, wala huna uwezo wa kuingiza nchi vitani.

Unakuja Jf na jina la bandia halafu ujifanye mzalendo na mtetezi wa watanzania!!?
 
Wakuu soon tamko la katibu wa bunge kwenda kwa wabunge wote wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuwa lazima wachanjwe la sivyo hawataruhusiwa kuingia bungeni mwezi ujao...
Wote hao wameshapata chanjo
 
Semea nafsi yako, usiwasemee watanzania.
Huna mamlaka ya kunisemea...
Kama Ni hivyo tuheshimieni aliyechanja asijifanye kinara wa kulazimusha asiyechanja Kama vile ni mhalifu na atake asitake lazima achanje .Hapa ugomvi wa kupasua taifa ndipo unapianzia .Wewe unaamini chanjo ya Corona to hell with you amini huko huko.

Mwingine anaamini kujifukiza achana naye. Tukikomaliana Hapa Nchi itapasuka hii.Magufuli alitupa Solution tukaiamini na tukaikubali bila shuruti Wala kulazimishwa.

Mama Samia kaja na yake anataka kutulazimisha hatutaki kulazimishwa. Ndio maana nasema wazi Mama halitakii mema taifa hili.

Kalipokea kwa mtangulizi wake limetulia vizuri tu yeye anakuja na measures za kibabe za kugawa taifa kwa chanjo zake za ku force.Kutunza amani ya Nchi na utulivu kunamshinda.Chanjo anayo force italeta negative effect kwa taifa na kwake
 
Wakuu soon tamko la katibu wa bunge kwenda kwa wabunge wote wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuwa lazima wachanjwe la sivyo hawataruhusiwa kuingia bungeni mwezi ujao...
Walisema wanafuata misimamo ya marehemu
Watamfuata kaburini
 
Nchi hii imelaaniwa

Wenzetu waliozitengeneza hizo chanjo hawalazimishani Bali wananchi wao wanaelimishwa na wanakubali kwa hiari yao

Sasa ukija kwa hawa viongozi wetu mbumbumbu hawajui chochote kuhusu Uhuru wa mtu na faragha yake
 
Huyu mpiga debe wa wachina wa bandari ya Bagamoyo akae atulie kabisa huyu andunje.
Wapiga kura wa Ndugai wamechanjwa wote? Kwa hiyo hatatembelea jimboni?

Wakati anamtukuza Yule mchawi wa Chato hamkumuona ni andunje…
 
Wachague posho au misimamo, mtego mchungu kweli, ukiacha kuchanjwa na ukaacha posho bado chama kitakushughulikia kwa nini unaenda kinyume na maazimio ya chama.

Hapo ni lazima wote wachanje ili wawe na hivyo vyeti.
Wabunge ni mali ya chama kwa hiyo ni lazima wafuate matakwa ya chama
 
Jimbo la kawe linaenda kuwa wazi

Kuna kesi itapekelekwa kisutu..
 
Kwa hiyo mmeamua kulazimisha watu kuchanja? Taifa linaparanganyika . Varuvaru kila mtu anafanya kazi kumridhisha maza house.
 
That shall be the end of the good relationship between the speaker of the national assembly and the members of the parliament.

Flexing muscles to tensility and bouncing back coercion brings closer the bucket to be kicked down

Let's wait and see the aftermath
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…