#COVID19 Ndugai: Chanjo ni hiyari ila hauna hiyari kuambukiza wenzako

#COVID19 Ndugai: Chanjo ni hiyari ila hauna hiyari kuambukiza wenzako

Viongozi wa dini watakuja juu sadaka watapata wapi? Naona wewe lengo lako ninkuchonganisha serikali na viongozi wa dini.Mama Samia Akifika huko atajjijua mwenyewe.

Kwenye dini Ni eneo nyeti hasa kwa watanzania
Dini gani nyeti au nyeti huzijui

USSR
 
Hilo chanjo Ni shetani pepo la kuzimu limekuja kuleta Vita Tanzania

Baada ya kuona Tanzania imekuwa Nchi ya amani na utulivu kwa miaka nenda Rudi wazungu wameona watumie chanjo Kama njia ya kuligawa taifa la Tanzania na kuchochea Vita na Mama Samia kaingia kichwa kichwa.Ila Mungu yupo hii agenda haitafanikiwa waambieni wazungu wenu kabisa

Tanzania Sio ulaya Wala marekani wala Rwanda ndio maana tunaitwa Tanzania hatuitwi Ulaya,Marekani Wala Rwanda

Mama Samia anataka kupasua taifa vipande vipande kupitia chanjo zake

Somebody must stand up and tell her No no no no boldly.
Kuanzia leo nimekudharau kumbe Ubungo wako umemjaa maji tililika namna hii eti ugonjwa ni pepo

USSR
 
Ni kwamba sijaelewa sababu ya low IQ yangu au sijaelewa sababu ya wrong comment on a right thread done by a low IQ member?!... Chadema imeingiaje hapa?!... Wahi foleni ukachanjwe...
Ndomaana huwa nasema hakuna hata moja la kweli ambalo CDM mmewahi kulipigiania , mara zote huwa mmetanguliza masilahi yenu na sio Taifa.

Hivi watu mnaolilia utawala wa sheria, unawezaje kushadadia swala la wabunge kulazimika kusupport kitu kwakua Rais kafanya? BUNGE NA Rais wapi na wapi?

Upuuzi mtupu, watcha mnyooshwe kabisa dukani kwa mangi uruhusiwi kuingia kama haujachanjwa
 
Kuna vitu Ni rahisi kufanyika Rwanda alikoenda kutembelea kuliko Tanzania !!! Watanzania sio wapole Kama wanavyodhaniwa Ni waking.Mkimya na mpole Ni watu tofauti .Mpole Ni wa kuzaliwa mkinywa anakulia Timing ukiingia anga zake anga zake ayakachokufanyia hutaamini . Watanzania Ni waking. unasema mabasi yote level sit wanakugomea kimya kimya Kuna mahali wanakusibiri walipuke ukojitia mjuaji

Level ya Sasa ya obedience kwenye measures za Corona ijo jui to kwa viongozi wa serikali na wafanyakazi wake. Mitaani watu hawataki .Kuna bomu litalipuka serikali ikijitia kutumia ubabe Hii tafsiri ya viongozi kuwa ndio obedient na wananchi hawataki ina Mambo Mengi Ukienda kwenye dini kubwa Kama katoliki Hali Ni hiyo hiyo barakoa anavaa padri na askofu tu waumini hawataki Misikitini hivyo hivyo..


Mama Samia anatengeneza bomu haya Mambo hayataki papara na kuiga tu Nchi zingine kwa kisingizio ohh Tanzania Sio kisiwa .Kuna Mambo Tanzania Ni kisiwa .
umazungumzia watanzania gani?
 
Hilo chanjo Ni shetani pepo la kuzimu limekuja kuleta Vita Tanzania

Baada ya kuona Tanzania imekuwa Nchi ya amani na utulivu kwa miaka nenda Rudi wazungu wameona watumie chanjo Kama njia ya kuligawa taifa la Tanzania na kuchochea Vita na Mama Samia kaingia kichwa kichwa.Ila Mungu yupo hii agenda haitafanikiwa waambieni wazungu wenu kabisa...
Semea nafsi yako, usiwasemee watanzania.
Huna mamlaka ya kunisemea.
Kwakuwa wewe hutaki chanjo unaona hiyo inaweza kuwa sababu ya mimi nipigane vita kukutetea?
Nchi ipasuke vipande kwa kuwa tu wewe hutaki kuchanjwa?
Acha kuota ndoto mchana wa jua kali.

Huna uwezo wa kuzuia chanjo, huna uwezo wa kupasua nchi, wala huna uwezo wa kuingiza nchi vitani.

Unakuja Jf na jina la bandia halafu ujifanye mzalendo na mtetezi wa watanzania!!?
 
Wakuu soon tamko la katibu wa bunge kwenda kwa wabunge wote wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuwa lazima wachanjwe la sivyo hawataruhusiwa kuingia bungeni mwezi ujao...
Wote hao wameshapata chanjo
 
Semea nafsi yako, usiwasemee watanzania.
Huna mamlaka ya kunisemea...
Kama Ni hivyo tuheshimieni aliyechanja asijifanye kinara wa kulazimusha asiyechanja Kama vile ni mhalifu na atake asitake lazima achanje .Hapa ugomvi wa kupasua taifa ndipo unapianzia .Wewe unaamini chanjo ya Corona to hell with you amini huko huko.

Mwingine anaamini kujifukiza achana naye. Tukikomaliana Hapa Nchi itapasuka hii.Magufuli alitupa Solution tukaiamini na tukaikubali bila shuruti Wala kulazimishwa.

Mama Samia kaja na yake anataka kutulazimisha hatutaki kulazimishwa. Ndio maana nasema wazi Mama halitakii mema taifa hili.

Kalipokea kwa mtangulizi wake limetulia vizuri tu yeye anakuja na measures za kibabe za kugawa taifa kwa chanjo zake za ku force.Kutunza amani ya Nchi na utulivu kunamshinda.Chanjo anayo force italeta negative effect kwa taifa na kwake
 
Wakuu soon tamko la katibu wa bunge kwenda kwa wabunge wote wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuwa lazima wachanjwe la sivyo hawataruhusiwa kuingia bungeni mwezi ujao...
Walisema wanafuata misimamo ya marehemu
Watamfuata kaburini
 
Nchi hii imelaaniwa

Wenzetu waliozitengeneza hizo chanjo hawalazimishani Bali wananchi wao wanaelimishwa na wanakubali kwa hiari yao

Sasa ukija kwa hawa viongozi wetu mbumbumbu hawajui chochote kuhusu Uhuru wa mtu na faragha yake
 
Huyu mpiga debe wa wachina wa bandari ya Bagamoyo akae atulie kabisa huyu andunje.
Wapiga kura wa Ndugai wamechanjwa wote? Kwa hiyo hatatembelea jimboni?

Wakati anamtukuza Yule mchawi wa Chato hamkumuona ni andunje…
 
Wachague posho au misimamo, mtego mchungu kweli, ukiacha kuchanjwa na ukaacha posho bado chama kitakushughulikia kwa nini unaenda kinyume na maazimio ya chama.

Hapo ni lazima wote wachanje ili wawe na hivyo vyeti.
Wabunge ni mali ya chama kwa hiyo ni lazima wafuate matakwa ya chama
 
Wakuu soon tamko la katibu wa bunge kwenda kwa wabunge wote wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuwa lazima wachanjwe la sivyo hawataruhusiwa kuingia bungeni mwezi ujao.

Wabunge watatakiwa kuwasilisha kadi za chanjo kwa walinzi ili kuruhusiwa kuingia bungeni.

Wabunge wanatakiwa kuwa mifano ya jamii na chama Cha mapinduzi na kumuunga mkono mh. Rais ambaye tayari amesha chanjwa.

MY TAKE. Msimamamo wa Gwajima na poleople utaonekana hasa wakigoma kuingia bungeni

USSR
Jimbo la kawe linaenda kuwa wazi

Kuna kesi itapekelekwa kisutu..
 
Kwa hiyo mmeamua kulazimisha watu kuchanja? Taifa linaparanganyika . Varuvaru kila mtu anafanya kazi kumridhisha maza house.
 
Wakuu soon tamko la katibu wa bunge kwenda kwa wabunge wote wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kuwa lazima wachanjwe la sivyo hawataruhusiwa kuingia bungeni mwezi ujao.

Wabunge watatakiwa kuwasilisha kadi za chanjo kwa walinzi ili kuruhusiwa kuingia bungeni.

Wabunge wanatakiwa kuwa mifano ya jamii na chama Cha mapinduzi na kumuunga mkono mh. Rais ambaye tayari amesha chanjwa.

MY TAKE. Msimamamo wa Gwajima na poleople utaonekana hasa wakigoma kuingia bungeni

USSR
That shall be the end of the good relationship between the speaker of the national assembly and the members of the parliament.

Flexing muscles to tensility and bouncing back coercion brings closer the bucket to be kicked down

Let's wait and see the aftermath
 
Back
Top Bottom