Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walahi, Hii nchi ngumu Sana.CAG: BODI YA WAKURUGENZI YA ATCL HAINA MJUMBE MWENYE UZOEFU NA MASUALA YA ANGA
Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali amesema hayo na pia kuongeza kuwa Shirika linadaiwa hivyo inakuwa changamoto kuruka kwenye baadhi ya maeneo
Pia Viwanja vya Ndege vimetajwa kuwa na changamoto
Hayo wenye akili tuliyajua hata kabla bombadier ya pili haijatua hapa, Ndugai alisimama kidete kufukuza kina Mdee, Heche, Msigwa ili hayo yasizungumzwe na hata kukataa hotuba za bajeti ya wapinzani leo ndio anataka wafunguke si unafiki uliopitiliza?!Spika wa Bunge Job Ndugai amewaasa wbunge kuchangia kwa uwazi bila kuogopa mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022 na sio kusubiri serikali ifeli kisha walaumu
Spika amesemakwa mfano Taarifa ya CAG imeonyesha ATCL imepata hasara ya bilioni 60 na kuuliza je ni sahihi kuendelea kununua ndege nyingine?
Pia ameshauri sekta binafsi kuhusishwa kwenye uwekezaji wa miradi mikubwa kama kununua mabehewa ya treni za kisasa zitakazokuja na sio kila kitu kufanya Serikali huku akisema wabunge nao inabidi washiriki na sio kuwaachia wawekezaji wa kutoka nje pekee japo nayo ni vizuri
....nasema uongo ndugu zangu??"Upinzani Ulituchelewesha sana"
Spika wa Bunge Job Ndugai amewaasa wbunge kuchangia kwa uwazi bila kuogopa mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022 na sio kusubiri serikali ifeli kisha walaumu
Spika amesemakwa mfano Taarifa ya CAG imeonyesha ATCL imepata hasara ya bilioni 60 na kuuliza je ni sahihi kuendelea kununua ndege nyingine?
Pia ameshauri sekta binafsi kuhusishwa kwenye uwekezaji wa miradi mikubwa kama kununua mabehewa ya treni za kisasa zitakazokuja na sio kila kitu kufanya Serikali huku akisema wabunge nao inabidi washiriki na sio kuwaachia wawekezaji wa kutoka nje pekee japo nayo ni vizuri
Leo ndo umejua alikuwa anauwa sekta binfsi siyo?siye wewe ukipita humu macho juu juu kupingana na waliokuwa wanamkataa?Ndugai naona mitazamo yake ya kiuchumi ni kama ya Samia Suluhu. Yule jamaa aliyekuwa anaua sekta binafsi alikuwa anaturudisha miaka 40 nyuma
Watu mnalumu tu kwa nini hawakuongea Magufuli akiwa madarakani, pengine mlikuwa hamumjui Magufuli
Kabla ya uchaguzi huyu Ndungai alisema hawahitaji wabunge makini sana, wanachohitaji ni 3/4 ya wabunge wawe CCM ili hoja zao zipite.Hayo wenye akili tuliyajua hata kabla bombadier ya pili haijatua hapa, Ndugai alisimama kidete kufukuza kina Mdee, Heche, Msigwa ili hayo yasizungumzwe na hata kukataa hotuba za bajeti ya wapinzani leo ndio anataka wafunguke si unafiki uliopitiliza?!
..wakati wa kuzipokea zile ndege Ndugai kwa kujikongoja kongoja alikua akicheza na dansi kabisa ...Huu uongozi ndiyo ulishinda Airport kusubiri ndege mpya.
😂 😂 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 atashangaa wamefikaje bungeni??Kuna siku Ndugai atauliza:
Kuna haja ya kuwa na akina Halima Mdee humu bungeni maana sijui wameingiaje?
aisee hebu pitia profile yangu uniletee comment au uzi unaonionyesha nikifanya hivyoLeo ndo umejua alikuwa anauwa sekta binfsi siyo?siye wewe ukipita humu macho juu juu kupingana na waliokuwa wanamkataa?
Duh! Huyu ndiye alikuwa kimbelembele kupokea ndege na kusifia leo kageuka?. Wanafiki hawataisha hadi kiama, kageuka Yuda Isikariote.Spika wa Bunge Job Ndugai amewaasa wbunge kuchangia kwa uwazi bila kuogopa mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022 na sio kusubiri serikali ifeli kisha walaumu
Spika amesemakwa mfano Taarifa ya CAG imeonyesha ATCL imepata hasara ya bilioni 60 na kuuliza je ni sahihi kuendelea kununua ndege nyingine?
Pia ameshauri sekta binafsi kuhusishwa kwenye uwekezaji wa miradi mikubwa kama kununua mabehewa ya treni za kisasa zitakazokuja na sio kila kitu kufanya Serikali huku akisema wabunge nao inabidi washiriki na sio kuwaachia wawekezaji wa kutoka nje pekee japo nayo ni vizuri