kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
Hahahaaa madege waliyapokea naye akiwepo mstari wambele na ngonjera bungeni za kumpongeza aliyenunua,Leo imekuwa hasara tupu!! Bora yangenunuliwa kwa mkopo!! Sasa wanataka kustop kuleta nyingine nao walishalipia??
Hayati alisema tusibinafsishe vitu muhimu ikiwemo treni zetu Leo hayupo wanataka binafsisha kijanja janja kujidai PPR...mbona ndege hamkutaka PPR mpaka fastjet ikapotea?
Bunge lililopita litaingia kwenye rekodi kama bnge dhaifu lakini hili linaweza ingia kama bnge ondoa dhai weka m kabisa!! Na spwika huyu akiwa kinara wa kuliangamiza!
Siku zote "Haramu haizai halali" tusiweke vitu haramu kwenye bunge tena linaloanza na sala alafu tukategemea matokeo mazuri Abadan!!
Hayati alisema tusibinafsishe vitu muhimu ikiwemo treni zetu Leo hayupo wanataka binafsisha kijanja janja kujidai PPR...mbona ndege hamkutaka PPR mpaka fastjet ikapotea?
Bunge lililopita litaingia kwenye rekodi kama bnge dhaifu lakini hili linaweza ingia kama bnge ondoa dhai weka m kabisa!! Na spwika huyu akiwa kinara wa kuliangamiza!
Siku zote "Haramu haizai halali" tusiweke vitu haramu kwenye bunge tena linaloanza na sala alafu tukategemea matokeo mazuri Abadan!!