Ndugai: Taarifa ya CAG imeonyesha ATCL inapata hasara, je tuendelee kununua nyingine?

Ndugai: Taarifa ya CAG imeonyesha ATCL inapata hasara, je tuendelee kununua nyingine?

Spika wa Bunge Job Ndugai amewaasa wabunge kuchangia kwa uwazi bila kuogopa mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022 na sio kusubiri serikali ifeli kisha walaumu

Spika amesema kwa mfano Taarifa ya CAG imeonyesha ATCL imepata hasara ya bilioni 60 na kuuliza je ni sahihi kuendelea kununua ndege nyingine?

Pia ameshauri sekta binafsi kuhusishwa kwenye uwekezaji wa miradi mikubwa kama kununua mabehewa ya treni za kisasa zitakazokuja na sio kila kitu kufanya Serikali huku akisema wabunge nao inabidi washiriki na sio kuwaachia wawekezaji wa kutoka nje pekee japo nayo ni vizuri

Ndugai , hupaswi kuyasema hayo kwa wabunge wanojua umefunja katiba, maana yake hujali sheria za nchi. KWA mujibu wa katiba yetu hatuna Mbunge binafsi, Mbunge anayetokana na chama ,uwanachama wake ukikoma na ubunge wake hukoma pia. Umefunja katiba, unataka kujadiri ndege! Anza kwanza kusafisha nyumba yako kabla kutaka kusafisha nyumba ya mwenzio. Leo unayasema hayo kwa kuwa Magufuri hayupo ,usisubiri spika ajae akuseme wakati haupo. Unawalipa mishahara wabunge ambao kisheria siyo wabunge! Watanzania hawatakuelewa kamwe.na ukifa utasemwa vibaya kama inavyotokea sasa

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Wakati ule wabunge wa upinzani wanatoa Maoni kuhusu hili shirika mliwaita mawakala wa mabeberu, sio wazalendo, wanatumika na meneno mengine kibao hadi wengine kupewa adhabu za ovyo ovyo.

Leo mmeingiza nchi hasara mnasema wabunge wachangie kwa uwazi, wabunge wenyewe wako wapi wa kuchangia kwa uwazi.?

Hawa akina Babu Taletale? Waliopekwa bungeni kama watoto wanapelekwa chekechea..

CCM na Mwendazake mmeifirisi sana nchi hii na bado mnaendelea kuifirisi na kutuona Watanzania kama mazwazwa.
Kabisa mkuu.tena walipiga makofi
 
Whose space, vipi TRC wakiwa na mizigo yao and what about maintance?
Kunakuwa na mutual agreement between the two parties.Ni kama ubia fulani kati ya hiyo kampuni na TRA!
 
Ndugai naona mitazamo yake ya kiuchumi ni kama ya Samia Suluhu. Yule jamaa aliyekuwa anaua sekta binafsi alikuwa anaturudisha miaka 40 nyuma na wala hashauriki. Mashirika binafsi ya ndege alifanya juhudi yafe wakati ATCL ni hasara, PPP ilikuwa imeshakufa

Watu mnalumu tu kwa nini hawakuongea Magufuli akiwa madarakani, pengine mlikuwa hamumjui Magufuli. Pengine waliona anaharibu sana na haambiliki wakaamua wamtangulize tu kama baadhi ya watu wanavyodai
Rais wa hovyo kuwahi kutokea tz huyu marehemu, sijui kwanini alizikww kwa heshima vile.
 
Kunakuwa na mutual agreement between the two parties.Ni kama ubia fulani kati ya hiyo kampuni na TRA!
Ndio maana nikasema more details are required on how the whole thing works, ila sikatai Bakhresa kuweza kumiliki mabehewa yake considering soko la ngano East Africa yeye ndio market leader nchi karibu zote you expect him to source large volumes and trains provides him with ‘economies of scale’.
 
Ndugai naona mitazamo yake ya kiuchumi ni kama ya Samia Suluhu. Yule jamaa aliyekuwa anaua sekta binafsi alikuwa anaturudisha miaka 40 nyuma na wala hashauriki. Mashirika binafsi ya ndege alifanya juhudi yafe wakati ATCL ni hasara, PPP ilikuwa imeshakufa

Watu mnalumu tu kwa nini hawakuongea Magufuli akiwa madarakani, pengine mlikuwa hamumjui Magufuli. Pengine waliona anaharibu sana na haambiliki wakaamua wamtangulize tu kama baadhi ya watu wanavyodai
Akaamua kuwa mbabe na kuingiza bungeni wabunge wake 19 wa viti maalum kama yeye
 
Kama kuna watu kila nikiwaangalia katika mikutano ya Rais Samia namuona hana furaha kabisa na anakaa kinyonge sana ni huyu bwana Ndugai. Sijui tatizo ni nini?
Anastahili kuendelea kuwa speaker?
 
Ndugai naona mitazamo yake ya kiuchumi ni kama ya Samia Suluhu. Yule jamaa aliyekuwa anaua sekta binafsi alikuwa anaturudisha miaka 40 nyuma na wala hashauriki. Mashirika binafsi ya ndege alifanya juhudi yafe wakati ATCL ni hasara, PPP ilikuwa imeshakufa

Watu mnalumu tu kwa nini hawakuongea Magufuli akiwa madarakani, pengine mlikuwa hamumjui Magufuli. Pengine waliona anaharibu sana na haambiliki wakaamua wamtangulize tu kama baadhi ya watu wanavyodai

inafaa mtulie kwanza hata mwaka upite.

haya yote mnayoandika yasijewatokea puani.
 
Spika wa Bunge Job Ndugai amewaasa wabunge kuchangia kwa uwazi bila kuogopa mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022 na sio kusubiri serikali ifeli kisha walaumu

Spika amesema kwa mfano Taarifa ya CAG imeonyesha ATCL imepata hasara ya bilioni 60 na kuuliza je ni sahihi kuendelea kununua ndege nyingine?

Pia ameshauri sekta binafsi kuhusishwa kwenye uwekezaji wa miradi mikubwa kama kununua mabehewa ya treni za kisasa zitakazokuja na sio kila kitu kufanya Serikali huku akisema wabunge nao inabidi washiriki na sio kuwaachia wawekezaji wa kutoka nje pekee japo nayo ni vizuri


Mpuuzi mshenzi ndugai siye uliyeuza mhimili wetu wa bunge kwa jiwe. Hii acct ilifichwa vote 20 ya ikulu ili tusijue madudu yao. Utuambie kama ile hongo ya $12m kule india kwa matibabu fake? Ilikuwa ni pamoja na hizi.
 
Spika wa Bunge Job Ndugai amewaasa wabunge kuchangia kwa uwazi bila kuogopa mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022 na sio kusubiri serikali ifeli kisha walaumu

Spika amesema kwa mfano Taarifa ya CAG imeonyesha ATCL imepata hasara ya bilioni 60 na kuuliza je ni sahihi kuendelea kununua ndege nyingine?

Pia ameshauri sekta binafsi kuhusishwa kwenye uwekezaji wa miradi mikubwa kama kununua mabehewa ya treni za kisasa zitakazokuja na sio kila kitu kufanya Serikali huku akisema wabunge nao inabidi washiriki na sio kuwaachia wawekezaji wa kutoka nje pekee japo nayo ni vizuri

Mnafiki sana huyu saaboofey
 
Ndugai ni takataka hamna anachoongea na wanaomsikiliza wote ni bogus kama yeye. Alijifanya anamhusudu Magufuli mbona hakuzikwa naye. Very stupid speaker.
 
Mheshimiwa spika, kitaalam kupata hasara siyo sababu ya kuacha biashara Bali ni sababu ya kuwa mwangalifu zaidi na kuangalia namna ya kuziba mapengo yaliyosababisha hasara.
Ni kama vile mimba kuharibika siyo sababu ya kuamua kutokuzaa kabisa. Ukikuta mtu mzima anajifanya hazijui changamoto hizi za kibiashara ujue huyo mtu ana lake jambo.
Niseme tu kuwa "we are watching"!!!
 
Spika wa Bunge Job Ndugai amewaasa wabunge kuchangia kwa uwazi bila kuogopa mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022 na sio kusubiri serikali ifeli kisha walaumu.

Spika amesema kwa mfano Taarifa ya CAG imeonyesha ATCL imepata hasara ya bilioni 60 na kuuliza; je ni sahihi kuendelea kununua ndege nyingine?

Pia ameshauri sekta binafsi kuhusishwa kwenye uwekezaji wa miradi mikubwa kama kununua mabehewa ya treni za kisasa zitakazokuja na sio kila kitu kufanya Serikali huku akisema wabunge nao inabidi washiriki na sio kuwaachia wawekezaji wa kutoka nje pekee japo nayo ni vizuri.


1. Natamani taarifa ile ungeichambua ukaweka hayo madudu moja baada ya lingine tukayajadili hapa.

2. Masuala mengine ni wahusika kuwa wazembe kushindwa kurejesha majibu kwa wakati kwa CAG (kujibu hoja)

3. Nina imani kubwa Bunge litakapojadili mengi yatatolewa ufafanuzi na yataondoka!

4. Tunamshukuru sana CAG ametekeleza maagizo ya mzee marehemu Hayati JPM na Rais wa sasa Mhe. Samia Sukuhu Hassan kama alivyomwambia ukaandike report ya kina ili tuisaidie serikali na kukomesha ufisadi na wizi. Hivyo CAG amefanya kazi yake kwa weledi kama mwalimu wetu Prof. Assad

Tuwe na akiba ya maneno ndg zangu. Tusubiri Bunge lipitie taarifa hiyo kwa kina tujue mbivu na mbichi.

Namshauri Rais wetu mama yetu Mhe. Samia. Kama kuna mtendaji yoyote yupo madarakani na itathibitika kuiletea Serikali hasara na pia uzembe wa kutokujibu hoja za CAG, basi amtoe haraka sana kabla hajamuharibia kazi
 
Back
Top Bottom