Mzee Chayai
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 429
- 782
Ndugai ni moja na viongozi ambao wanapaswa kutumia busara tu kupisha kwenye kiti alichokikalia.. Huyu mtu ni mmoja na watu waliotufikisha hapa, Huyu aliunga mkono sana haya mambo kufanyika, Ndugai huoni aibu??