Ndugai: Toka Magufuli aage Dunia, umuhimu wa Dodoma unafifishwa kwa makusudi kabisa

Ndugai: Toka Magufuli aage Dunia, umuhimu wa Dodoma unafifishwa kwa makusudi kabisa

Hivi nyinyi vitimbakwiri ni nani wa kumtisha Rais?

Yani genge la wahuni wa Kisukuma ndio mumjambishe Rais?

Subiri Mbowe aachiliwe tuanze kuwashughulikia wote.
.
20211212_091430.jpg
 
Kweli hilo jambo limemkwaza sana Ndugai wao wazee ni wapuuzi sana kwanza walishafanya mengi mabaya kwa nchi sasa wameona mama ni mdebwedo wanatopoka wanavyotaka hiyo Nnauye ni nani mpaka tuone Ndugai hafai anafaa yeye Nnauye!
Amenyimwa jina la soko !!Badala ya kuitwa Ndugai Limeitwa Nnauye
 
Hata Dar ni pori tu Mji mchafu na una slam kila sehemu sema ni sehemu ya kipiga hela za wananchi hasa hako kabandari subiri hangaya waingize chaka na bagamoyo ndo mtajua hamjui!
Acha hasira kameshakufa....
 
Na wale wa Chato wanasemaje? Bei ya hotel na guest house kwa sasa zimepanda?😄😄

Nina kiwanja nauza Chato laki mbili tu mwenye anakitaka anirushie tigo pesa nimkabidhi kwa mwenyekiti wa mtaa.😄😄
Mjinga weww😀😀😀watu mna maneno wallah...chatrol oyeeeee!!
 
Acha unafiki wewe fala mbona huwa sikusomi jamaa..... wewe leo unasema dom porini? Mmeshatumia pesa zetu kibao kuijenga dom now mnarudi dar hapa samia anachemka serikali iwe na kauli moja
Yaani hawa jamaa ni wajinga wajinga sana kuongozwa na majitu maswahili ni ujinga ujinga tu yaani kila siku Nyerere Road foleni na misafara!
 
Nitafurahi sana kama Ndugai atakuwa ni Sukuma Gang... Huyu mama inabidi atuachie nchi yetu
Ukielewa maana ya Amiri jeshi mkuu, huwezi kuwaza huo upuuzi wa kuamini huyo taahira wa Kongwa kwamba ni lolote kwenye nchi hii.

Rais ana mamlaka ya kulivunja bunge muda wowote na huyo mpuuzi wenu kurudi mtaani na mashine yetu ya dayalisis atukabidhi tuipeleke kwenye hospitali za umma.
 
Hivi nyinyi vitimbakwiri ni nani wa kumtisha Rais?

Yani genge la wahuni wa Kisukuma ndio mumjambishe Rais?

Subiri Mbowe aachiliwe tuanze kuwashughulikia wote.

Kuna rais aliyeshughulikia watu Kama Magufuli? Where is he and his fellas? i.e.: Sabaya, Makonda, Bashiru & Pole pole
 
Ukielewa maana ya Amiri jeshi mkuu, huwezi kuwaza huo upuuzi wa kuamini huyo taahira wa Kongwa kwamba ni lolote kwenye nchi hii.

Rais ana mamlaka ya kulivunja bunge muda wowote na huyo mpuuzi wenu kurudi mtaani na mashine yetu ya dayalisis atukabidhi tuipeleke kwenye hospitali za umma.
Rais kama huyu avunje bunge? Gwajima tu kamtoa jasho! Wewe kweli zezeta! Bila Mabeyo angekuwa hapo? Subiri ninyamaze tu!
 
Acha unafiki wewe fala mbona huwa sikusomi jamaa..... wewe leo unasema dom porini? Mmeshatumia pesa zetu kibao kuijenga dom now mnarudi dar hapa samia anachemka serikali iwe na kauli moja
Kwan waliamua pomoja kwenda dom?
Meco aliburuza wenzake alifikiri watu ni maroboti?
Kaanikeni mahindi sasa kwenye ule uwanja wa porini chatro
 
Back
Top Bottom